Wadada wa siku hizi wamekua sugu sana.
Njia hiyohiyo inapitishwa matango na vyupa vya soda daily, sasa sharobaro akijipigia nusu saa anaanza kunangwa kua hawezi kitu,
Mwisho wa siku kijana wa watu anaenda kujipoteza kwenye uraibu wa kutumia hayo madawa.
Hili tendo likichukuliwa kama tendo la starehe mbona halina mambo mengi, ila tatizo siku hizi vijana wanalichukulia ni tendo la kukomeshana na kuonesha umwamba.
Kabla ya mechi unakuta kijana na binti wanatambiana kabisa kua leo nakutoa kwa knock out(KO).