TMDA: Wanaotumia dawa za kuongeza nguvu za kiume watakufa

TMDA: Wanaotumia dawa za kuongeza nguvu za kiume watakufa

Hapo ndio waandishi wetu wanapokwama
Mpeni [emoji441] huyo atoe takwimu wamekufa wangapi
 
Mkurugenzi Mkuu wa TMDA, Dk. Adam Fimbo amesema dawa za kuongeza nguvu za kiume zinaongoza kwa sasa kwa kununuliwa zaidi kwenye maduka makubwa ya dawa nchini.

Watumiaji wa dawa hizi watakufa kwa sababu zinapanua mishipa ya damu. Mishipa ya kichwani ikishapanuka, itapasuka na hivyo mtumiaji wa dawa hizi atakufa tu.

Chanzo: Nipashe
Huyu afisa wa TMDA usikute kachapiwa mkewe na mjuba aliyejishindilia maviagra,roho inamuuma,anaamua kutishia watu sasa!!
 
Kwanza: Mishipa miyembamba yanini nani anaitaka na hali hii ya hewa isiyotabirika. Mara jua mara Mvua. Mpaka watu tunajichanganya tusijue tufanye Kilimo cha Watoto au tujenge Taifa kwanza kwa kudai Katiba Mpya.

Pili: Hizo dawa huko zilikotoka India & Marekani kwa wataalam haswa, wajuvi na wabobezi a.k.a 'Wakali wa hizi Kazi'. Mbona hatusikii Matamko kama hayo? Yeye aseme tu Watu wafuate utaratibu katika kuzitumia sio anaongea kwa jazba na kwa kurupuka. Akitulize Kidude!

Tatu: Hivi anajua au kuelewa ile feeling Mhuni unaipata wakati Mkuyenge Uko 5G for 4hrs non-stop.

Taikoni Khabari zako kwa Manzi watahadithiana nakwambia.

Lastly but not list: Hivi anajua wenye Vibamia vyao Mjini wanamuona kama Mchawi Manara kavamia Shughuli na Nguo [emoji156] zake za Mbibi wa Kimasai.

WABATA TUNAKUTANA USIKU HUU ZOOM, ATAJUTA!!!


Mfikishieni hili Bango.
IMG-20220423-WA0005.jpg
 
Mkurugenzi Mkuu wa TMDA, Dk. Adam Fimbo amesema dawa za kuongeza nguvu za kiume zinaongoza kwa sasa kwa kununuliwa zaidi kwenye maduka makubwa ya dawa nchini.

Watumiaji wa dawa hizi watakufa kwa sababu zinapanua mishipa ya damu. Mishipa ya kichwani ikishapanuka, itapasuka na hivyo mtumiaji wa dawa hizi atakufa tu.

Chanzo: Nipashe
Ni mwandishi kaandika/kanukuu vibaya au kweli huyo jamaa wa TMDA ndivyo alivyosema. Una maana wasiyotumia dawa za kuongeza nguvu za kiume hawatakufa.
 
😂😂😂Hivi ukifa kwa aibu inakucost nn marehemu?
Mkifika huko motoni kila mmoja anaeleza sababu iliyompeleka huko, hapo ndo utajuta😁

Kuna matabaka, walionguka mtini ndo mawaziri, waliofumaniwa wanadeki vyoo.
 
Mkifika huko motoni kila mmoja anaeleza sababu iliyompeleka huko, hapo ndo utajuta😁

Kuna matabaka, walionguka mtini ndo mawaziri, waliofumaniwa wanadeki vyoo.
Ha haaaaaa kudeki vyoo sio poa mkuu!....Ila umenichekesha sana.
 
Ndiyo maana Mwendazake alikuwa anawatumbua kutoa matamko unprofessional...unaposema zinaua kwanini wewe kama mdhibiti unaruhusu ziingizwe na kuuzwa kwenye pharmacy?Je ni dawa gani ambazo hazina madhara zikitumiwa vibaya?elimisha watu matumizi ya hizo dawa zilizopitishwa ili zitumiwe vizuri na kwa ushauri wa wataalamu wa afya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkurugenzi Mkuu wa TMDA, Dk. Adam Fimbo amesema dawa za kuongeza nguvu za kiume zinaongoza kwa sasa kwa kununuliwa zaidi kwenye maduka makubwa ya dawa nchini.

Watumiaji wa dawa hizi watakufa kwa sababu zinapanua mishipa ya damu. Mishipa ya kichwani ikishapanuka, itapasuka na hivyo mtumiaji wa dawa hizi atakufa tu.

Chanzo: Nipashe
Ohoooooo
 
Back
Top Bottom