MrConveter
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,290
- 2,361
Kama zina madhara yanayopelekea. Kifo kwanini zinaruhusiwa kuingia nchini?
Kama wameonyesha nia ya kudhibiti vipodozi kwanini washindwe kuzui hizo?
Je, ni kipi chenye madhara zaidi, ni kile kinachochubua ngozi ama kinachotanua mshipa wa damu hadi kupasuka na kupelekea kifo?
Kama wameonyesha nia ya kudhibiti vipodozi kwanini washindwe kuzui hizo?
Je, ni kipi chenye madhara zaidi, ni kile kinachochubua ngozi ama kinachotanua mshipa wa damu hadi kupasuka na kupelekea kifo?