TMDA: Wanaotumia dawa za kuongeza nguvu za kiume watakufa

Wanaume tukkutane hapa tujue tunafanyaje sasa
Kunywa chai ya tangawizi kali, kula samaki wenye madini mengi ya zinc kama pweza na supu yake, tumia vitunguu swaumu, kula ugali dona bila kusahau mbogamboga, kunywa juice ya staferi na juice ya tende pia changanya na maziwa fresh, mazoezi pia muhimu kwa afya yako.

Kwa uchache ukifanya hayo huitaji booster yoyote ambayo baadaye itakuletea ukhanisi tu.
 
😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳
 
Kwa hiyo katoa kabisa conclusion, yaani ni kufa tu hakuna namna nyingine.....
 
Maana halisi ya kufa kiume. Ndo kifo pekee ambacho kitawapata wanaume tuπŸ˜€πŸ˜€πŸ’ͺπŸ’ͺ. Sio unakufa kwa vijisababu vya kike wakati wewe dumeπŸ˜€
 
Mbaya sana wanakufa Magestini wakisini na kufanya usarati! Mwee!! Setani anawangojea kwa hamu na uma wake wa kugeusia-geusia wa futi saba!
 
Sasa kwanini mnaziruhusu zinauzwa madukani? Tena ni maduka makubwa?
 
Hii Ni sababu mojawapo ya wanaume kufa mapema kuliko wanawake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…