Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
U judge ni natural talent, ebu muone monalisa aki judge anavyojiachia yaani yupo free kuji express hisia zake kwa kiwango kinachotakiwa, hajazubaa mchangamfu na haboi.
Huyo roy anaweza kuwa hata na ma phd lakini u judge usi mfit, Yes the guy is boring somehow, japokuwa namkubali sana nadhan ni mmoja wa ma boss wa tmt, inshort kampuni yao imejipanga vibaya, kwanza inaendeshwa na watu wasomi na wanaojielewa, kingine wapo financially strong na wako serious na wanachokifanya, nadhan wataleta mapinduzi kweny mambo ya film
Wema nae awe judge kwa lipi hasa wakati yeye mwenyewe hata kuigiza hawezi
kipindi kipo lini na saa ngapi?
Hiyo nafasi ya wema si bora akae mzee majuto lol!
binamu we mbaya ....
niliwahi kukiona Mara moja hiko kipindi.
kipindi kipo lini na saa ngapi?
kivyovyote vile utakavyodai but msg sent.polewe unaongea kishabiki and not realistic way
Kwa nini binamu? Kipindi chao kizur nilimshangaa tu lulu jinsi alivyokuwa na kipaji cha kutangaza cha hali ya juu, nadhan uko panamfaa zaidi kuliko filamu, yeye na monalisa wako poa sana kwenye utangazaji,
halafu nasikia huyo romy ni mchepuko wa lulu, nasikia jamaa anamgharamia kila kitu, ila jamaa wamekuja vizur sana na wamejipanga vibay kuiteka film industry
Na sidhani hata hicho kigodoro anakiweza.Yani kile kisauti ndo kinachonichefuaga kabisaaa na kujidai kitoto wakati umri umeishamtupa mkono
Si useme tu unamtaka wema,maana umejizungusha wee kama mcheza kigodoro.
anzisha chako
Si useme tu unamtaka wema,maana umejizungusha wee kama mcheza kigodoro.