To my JF family, nina DEPRESSION

To my JF family, nina DEPRESSION

Depression hii imesababishwa na anguko kubwa la kiuchumi ninalopitia.

Biashara imechakaa, sina mzigo wala pesa bali madeni tu, I am stalked.

Things are not moving, napitia kipindi kigumu sana kuliko vipindi vyangu vyote vigumu hapa duniani.

I'm in btn devil and deep blue sea.

View attachment 2903809
Kwenye picha hapo chini kulia kuna kikapu famous duniani yaani Iringa Basket.

Mkuu kuna breakthrough kwenye hiyo item. Karibu inbox....
 
[emoji24] mama yangu usiku wakuamkia j5 kapigwa tukio la kijambazi , bongo yakisefenge sana ,imebidi niende bar kabisa leo mkuu , coz ilibaki kidgo waniondolee uhai wa kipenz changu mama yangu mzazi[emoji24][emoji24][emoji24]
yaani kavamiwa au?
 
Depression hii imesababishwa na anguko kubwa la kiuchumi ninalopitia.

Biashara imechakaa, sina mzigo wala pesa bali madeni tu, I am stalked.

Things are not moving, napitia kipindi kigumu sana kuliko vipindi vyangu vyote vigumu hapa duniani.

I'm in btn devil and deep blue sea.

View attachment 2903809
Kwa kuweza tu kuandika hapa tayari uko pazuri! Mshukuru sana Mungu kuna wengine hawana hata uwezo huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Depression hii imesababishwa na anguko kubwa la kiuchumi ninalopitia.

Biashara imechakaa, sina mzigo wala pesa bali madeni tu, I am stalked.

Things are not moving, napitia kipindi kigumu sana kuliko vipindi vyangu vyote vigumu hapa duniani.

I'm in btn devil and deep blue sea.

View attachment 2903809
Hiyo frampen shingap?
 
Biashara nafanyia iringa..
0614228735
Naomba mje mnunue hata kisu nipate kusurvive wakuu[emoji120]
Kumbuka kutoa zaka 10% kila unachopata, hutokula mapato yako na shetani.
Pia mtafute Mungu kwa nguvu zako,ulijisahau umekaribisha wageni wanakula na wewe sasa.
 
Back
Top Bottom