pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Mshamba ni wewe. Wakenya huwa wanahoji serikali yao kila mara kuhusu matumizi ya hela zao, tena bila uoga. Hivi majuzi kulikuwa na Summit ya COMESA(nchi 21 za Afrika) hapa hapa Nairobi. Ulisikia wapi kwamba GoK ilinunua magari mapya kwasababu ya wageni?ACHA USHAMBA, HAWATANGAZI TU, KWANI HAO WAGENI WANAPANDA MATATU?
Kwenye summit ipi? Maanake ni nyingi mno. U.N., COMESA(nchi 21) hivi majuzi au Blue Economy? Blue Economy Summit ilihudhuriwa na delegates rasmi kutoka nchi 180 duniani. Hapo ni marais, mawaziri husika na stakeholders wengine.
Hata mimi nashangaa, kwa nini wasikodishe? Wakiondoka inakuwaje? Wangekodi magari wangetumia sehemu ndogo sana ya hela walizotumia, hizo nyingine kuna mabo kibao ya kufanyia. Hii si sawa, ni matumizi mabaya ya pesa.Ni ujinga wa hali ya juu kununua gari kisa mgeni wasl siku moja bora wangekodisha au wangechukua magari ya ma rc na ma dc
Kwani ya GoK ni ya Rwanda? Hayo yenu yalikuwa ya Mo? Punguza mihadarati Kaka.Kenya mazoea mmepata wapi? Fala wewe? Au magari ya UNEP ya GoK?
Kununua gari kwa ajili ya wageni ni ulimbukeni???...we inaonekana hata akija mdogo wako kukutembelea nyumbani kwako huwezi kumnunulia hata zawadi...hayo ni mawazo ya kiroho mbaya na ushetani!!🤧🤧Nadhani hamna mazoea ya kupata wageni, kununua magari kwasababu ya wageni ni ulimbukeni wa hali ya juu. Kenya huwa ina'host' mikutano na summit kubwa sana za kimataifa ila hutasikia vitu vya ajabu kama hivi hata siku moja.
Nchi 195. Boss, mbona unauliza maswali ya darasa la nne?Weee duniani kuna nchi ngapi?
Na mhakikishe mmeosha barabara pia. Tutawapa msaada wa omo.Uhuru road ikarabatiwe ina mahandaki si haba. Na lile koti lako ambalo limejaa chawa utupe mbali sana Nunua nguo mpya oga vizuri na upige mswaki (Colgate na dettol tutawapatia kama hamna) kisha ujipulizie manukato yanayonukia. LAZIMA MFUATE AMRI ZA MKONDA msiaibishe nchi.Sehemu ya hayo magari yatasambazwa kwenye Taasisi na tawala za serikali ikiwemo ofisi ya RC wa Mara, sio kama hayo magari hayatakuwa na kazi baada ya mkutano
Watzedi ni washamba sana 😁😁😁Hahaha! 😀 Janerose umenikumbusha walivodeki barabara na kupuliza dawa ya kuua mbu Dar nzima Otieno Obama alipotua Tz. [emoji38]
Sasa mpenzi wangu we mwenyewe unapanda kitandani na miguu michafu mpaka nikushtue ndio uende bafuni kuoga unategemea mimi mumeo nitakuwaje? Tuvumiliane tu sababu yote wewe ndio chanzo, Punguza ukapurwa my wife Jane. 😙Na mhakikishe mmeosha barabara pia. Tutawapa msaada wa omo.Uhuru road ikarabatiwe ina mahandaki si haba. Na lile koti lako ambalo limejaa chawa utupe mbali sana Nunua nguo mpya oga vizuri na upige mswaki (Colgate na dettol tutawapatia kama hamna) kisha ujipulizie manukato yanayonukia. LAZIMA MFUATE AMRI ZA MKONDA msiaibishe nchi.
Budget inagharamiwa na SADC sio pesa binafsi ya hosting government, Unajua SADC summit ni kama G20 ya Africa, usituchukulie poa.Kwani ya GoK ni ya Rwanda? Hayo yenu yalikuwa ya Mo? Punguza mihadarati Kaka.
Wageni 2000 mbili jamani? Hio ni Kama shule moja ya msingi ikiwa na kikao na Mwalimu wao mkuu hapa Kenya.Wakenya punguzeni wivu
Upuzi mtupu, SADC ni upuzi mtupu hamna lolote imesaidia Nchi za Muungano huo kiuchumi au hata politically...Budget inagharamiwa na SADC sio pesa binafsi ya hosting government, Unajua SADC summit ni kama G20 ya Africa, usituchukulie poa.
View attachment 1176769
Executive Secretary is a Tanzanian
Nchi kumi wageni 2000 mbili wanafanya mpige kelele hivi na Kama mgepokea 10000 Kama Wakenya si mgetupiga?Weee duniani kuna nchi ngapi?
Wapumbavu na wabishi by nature embu tuambie nyie COMESA mmesaidia nn kuzuia madini unayosema yanayotoroshwa DRC,Wageni 2000 mbili jamani? Hio ni Kama shule moja ya msingi ikiwa na kikao na Mwalimu wao mkuu hapa Kenya.
Upuzi mtupu, SADC ni upuzi mtupu hamna lolote imesaidia Nchi za Muungano huo kiuchumi au hata politically...
DRC madini yanaibiwa na Vita vinaendelea SADC ikiangalia tu na kunyamaza,
Uchumi wa Zimbabwe umeadhirika SADC akiangalia tu,
Angola wameishi Vita vya wenyewe kwa wenyewe SADC wakiangalia tu,
Watanzania wanaibiwa madini na kuuwawa SA SADC wakiangalia tu.
Nchi zilizo na ushawishi mkubwa na zenye uchumi afadhali ni SA, Botswana, Namibia na Angola Hawa wengine ni walalahoi Kama vile Malawi, TZ, Mozambique, DRC, Zimbabwe na Zambia.
Nchi kumi wageni 2000 mbili wanafanya mpige kelele hivi na Kama mgepokea 10000 Kama Wakenya si mgetupiga?
SADC ni upuzi mtupu.
Nyie na kikomesa chenu mmesaidiaje matatizo ya Burundi,, South Sudan, DRC, Libya, Zimbabwe, Madagascar?Wageni 2000 mbili jamani? Hio ni Kama shule moja ya msingi ikiwa na kikao na Mwalimu wao mkuu hapa Kenya.
Upuzi mtupu, SADC ni upuzi mtupu hamna lolote imesaidia Nchi za Muungano huo kiuchumi au hata politically...
DRC madini yanaibiwa na Vita vinaendelea SADC ikiangalia tu na kunyamaza,
Uchumi wa Zimbabwe umeadhirika SADC akiangalia tu,
Angola wameishi Vita vya wenyewe kwa wenyewe SADC wakiangalia tu,
Watanzania wanaibiwa madini na kuuwawa SA SADC wakiangalia tu.
Nchi zilizo na ushawishi mkubwa na zenye uchumi afadhali ni SA, Botswana, Namibia na Angola Hawa wengine ni walalahoi Kama vile Malawi, TZ, Mozambique, DRC, Zimbabwe na Zambia.
Nchi kumi wageni 2000 mbili wanafanya mpige kelele hivi na Kama mgepokea 10000 Kama Wakenya si mgetupiga?
SADC ni upuzi mtupu.
Burundi - Enhancing intergration into the EAC for economic growth and Security.Nyie na kikomesa chenu mmesaidiaje matatizo ya Burundi,, South Sudan, DRC, Libya, Zimbabwe, Madagascar?
Hivi huwa hata mnajuana?
Sisi hatuna madini Kama nyinyi ambao yenu inatoroshwa wacha hata ya DRC. Kama ya kwenu inawashinda ya DRC ama SADC mtaweza?Wapumbavu na wabishi by nature embu tuambie nyie COMESA mmesaidia nn kuzuia madini unayosema yanayotoroshwa DRC,
Sisi hatuna madini Kama nyinyi ambao yenu inatoroshwa wacha hata ya DRC. Kama ya kwenu inawashinda ya DRC ama SADC mtaweza?