To the grand SADC summit, Tanzania bought 35+ brand new presidential suit cars

Aswaa ndio.
 
Kwanini wasingenunua mabasi tu. Magari yote haya baada ya mkutano yatafanya kazi gani...au kamati wataamua kugawana kwa bei ya nyanya?
 
Hakuna tatizo...

Cha muhimu ni kuweka mahesabu vizuri na taratibu za manunuzi kuzingatiwa ili CAG anapokuja kukagua kusiwe na longo longo hadi kuitana kwenye kamati za maadili...


Cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…