Wamefanya jambo jema! Kwenye kuapishwa kwa JK, marais wa mataifa mabli mbali wote walijazwa kwenye dala dala moja (Coaster) utadhani abiria wa Magomeni - Mbagala... (Nahisi kuna wengine walisimama kwa kukosa siti π‘ππ) Marais waliudhika sana nadhani hawakupenda tena kurudi Tz kwa ubebwaji ule toka uwanja wa taifa...
Hii ya sasa ndio kitu ya hadhi yao...
Namuomba Prof Kabudi baada ya mkutano kuisha anitupie ka Benz kamoja ili kijana wake nitesee huku kitaa π