Arch Barrel
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 434
- 1,126
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha...nadhani itakua tayari wako chemba sasaKwani bado hamjakubaliana tu?
Mpende akupendae asiyekupenda mtenge . Tulia na bwana ako aliyekutangazia nia . May be now huoni ila ule uzee wa haswa ukifikia ndio unaanza preshaMi ni shindikana shost,nitamuumiza bure🤨
Yeah,that’s it Tresor.....kuumizwa kila siku kwa maneno ya kukatishwa tamaa na yasiyoleta matumaini au kuvumilia....ni big No.Hakuna anaishi daima acha nijitambue sasaMmmmh
Nihonge nikupambanie sasa ushasikia mzinga ambao hauna nyuki kuna asali gani??Unique Flower nisaidie kumshawishi, hataki kufumbua jicho hata moja anione jaman
Unakosea sana ujue hiloYeah,that’s it Tresor.....kuumizwa kila siku kwa maneno ya kukatishwa tamaa na yasiyoleta matumaini au kuvumilia....ni big No.Hakuna anaishi daima acha nijitambue sasa
Oooh sawa sawaYeah,that’s it Tresor.....kuumizwa kila siku kwa maneno ya kukatishwa tamaa na yasiyoleta matumaini au kuvumilia....ni big No.Hakuna anaishi daima acha nijitambue sasa
Mi shindikana wa moyo kuchoka na haya mambo,nikitaka kweli basi nitamkubalia wa mtaani....mitandaoni nimepoteza sana muda....ni kheri kupoteza muda ukiwa alone cuteMpende akupendae asiyekupenda mtenge . Tulia na bwana ako aliyekutangazia nia . May be now huoni ila ule uzee wa haswa ukifikia ndio unaanza presha
Kuna watu shindikinaa usiwaige wao wajanja
Ikitokea amegoma mzigo wangu utarudisha?Nihonge nikupambanie sasa ushasikia mzinga ambao hauna nyuki kuna asali gani??
Hagomi mie ni mtu msema ukweliIkitokea amegoma mzigo wangu utarudisha?
Mkubalie huyu mie ndio nibebe lawamaMi shindikana wa moyo kuchoka na haya mambo,nikitaka kweli basi nitamkubalia wa mtaani....mitandaoni nimepoteza sana muda....ni kheri kupoteza muda ukiwa alone cute
Ukimchezea nakutoa sadakaIkitokea amegoma mzigo wangu utarudisha?
Ninachosikitika hata nikifa bado watanizika wengine pamoja na upendo wenu kwangu ndani ya jf😭🙏🏽Unique Flower nisaidie kumshawishi, hataki kufumbua jicho hata moja anione jaman
Asante kwa kujali maaMkubalie huyu mie ndio nibebe lawama
Mimi nitakuwa pembeni yako, nakuahidi ukinikubalia tunazikwa woteNinachosikitika hata nikifa bado watanizika wengine pamoja na upendo wenu kwangu ndani ya jf😭🙏🏽
Naamini haupo serious mkuu,em acha hizo basIkitokea amegoma mzigo wangu utarudisha?
Siwez kumchezea, mimi nitakuwa na upendo wa kwel kwakeUkimchezea nakutoa sadaka
Niko serious mkuu.Naamini haupo serious mkuu,em acha hizo bas
Nina mpenzi mkuu,wala nisingekataa na usinglemom huu🙏🏽🙏🏽 Asante sanaMimi nitakuwa pembeni yako, nakuahidi ukinikubalia tunazikwa wote
Mimi simuamini walahi nipo nusu kwa nusu so nipe muda ni hakikishe kwenye sekta ya ubongo wanguNaamini haupo serious mkuu,em acha hizo bas