Today I visited Ngorongoro Crater: Ni pazuri kinoma

Today I visited Ngorongoro Crater: Ni pazuri kinoma

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Wakuu, wazee wa nature.

Nimekuja Arusha, katika tour ya siku tatu, nimeanza na Ngorongoro crater.

IMG_7340.jpeg
20240730_124433.jpeg


Hii reserve nzuri kinoma, nilibahatika kuwaona wanyama mbalimbali, nature na mandhari nzuri ya ziwa.
20240730_133516.jpeg


Nasubiri kuona Lake Eyasi, shifting sand na Olduvai.
20240730_125251.jpeg


Pamoja na kwamba ni weekdays ila kuna raia wengi sana wa kigeni tukambiwa ni msimu wa "high season ".

Sio issue kubwa but ni experience nzuri.
 
Wakuu, wazee wa nature.

Nimekuja Arusha, katika tour ya siku tatu, nimeanza na Ngorongoro crater.

View attachment 3057462View attachment 3057457

Hii reserve nzuri kinoma, nilibahatika kuwaona wanyama mbalimbali, nature na mandhari nzuri ya ziwa.
View attachment 3057459

Nasubiri kuona Lake Eyasi, shifting sand na Olduvai.
View attachment 3057463

Pamoja na kwamba ni weekdays ila kuna raia wengi sana wa kigeni tukambiwa ni msimu wa "high season ".

Sio issue kubwa but ni experience nzuri.
Mimi nitajie tu gharama za jumla kwa siku tatu ni kama tsh. Ngapi?
 
Wakuu, wazee wa nature.

Nimekuja Arusha, katika tour ya siku tatu, nimeanza na Ngorongoro crater.

View attachment 3057462View attachment 3057457

Hii reserve nzuri kinoma, nilibahatika kuwaona wanyama mbalimbali, nature na mandhari nzuri ya ziwa.
View attachment 3057459

Nasubiri kuona Lake Eyasi, shifting sand na Olduvai.
View attachment 3057463

Pamoja na kwamba ni weekdays ila kuna raia wengi sana wa kigeni tukambiwa ni msimu wa "high season ".

Sio issue kubwa but ni experience nzuri.
Waarabu wa Samia mmewakuta au walimsingizia
 
Back
Top Bottom