Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Mchanga Unaotembea WenyeweShifting Sand Ni nini ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchanga Unaotembea WenyeweShifting Sand Ni nini ??
Je unataka Masai Waendelee kubali waiharibu?Wakuu, wazee wa nature.
Nimekuja Arusha, katika tour ya siku tatu, nimeanza na Ngorongoro crater.
View attachment 3057462View attachment 3057457
Hii reserve nzuri kinoma, nilibahatika kuwaona wanyama mbalimbali, nature na mandhari nzuri ya ziwa.
View attachment 3057459
Nasubiri kuona Lake Eyasi, shifting sand na Olduvai.
View attachment 3057463
Pamoja na kwamba ni weekdays ila kuna raia wengi sana wa kigeni tukambiwa ni msimu wa "high season ".
Sio issue kubwa but ni experience nzuri.
Je unataka Masai Waendelee kubali waiharibu?Wakuu, wazee wa nature.
Nimekuja Arusha, katika tour ya siku tatu, nimeanza na Ngorongoro crater.
View attachment 3057462View attachment 3057457
Hii reserve nzuri kinoma, nilibahatika kuwaona wanyama mbalimbali, nature na mandhari nzuri ya ziwa.
View attachment 3057459
Nasubiri kuona Lake Eyasi, shifting sand na Olduvai.
View attachment 3057463
Pamoja na kwamba ni weekdays ila kuna raia wengi sana wa kigeni tukambiwa ni msimu wa "high season ".
Sio issue kubwa but ni experience nzuri.
asante nasikia wengi wanapasifia sana itabidi nijichange na mie nitie timu jamani.Wakuu, wazee wa nature.
Nimekuja Arusha, katika tour ya siku tatu, nimeanza na Ngorongoro crater.
View attachment 3057462View attachment 3057457
Hii reserve nzuri kinoma, nilibahatika kuwaona wanyama mbalimbali, nature na mandhari nzuri ya ziwa.
View attachment 3057459
Nasubiri kuona Lake Eyasi, shifting sand na Olduvai.
View attachment 3057463
Pamoja na kwamba ni weekdays ila kuna raia wengi sana wa kigeni tukambiwa ni msimu wa "high season ".
Sio issue kubwa but ni experience nzuri.
Ndio mkuu lazima uwe fiti ila ni bonge moja la adventure.Nasikia inahitaji stamina na mazoezi.
Wamasai ilikuwa hakuna namna zaidi ya kuwaondoa Hilo eneo ili lisiendelee kuharibiwa uasili wake.Je unataka ma
Je unataka Masai Waendelee kubali waiharibu?
Nampeleka waterfalls. Oldadai sijawahi kupaelewa na kule Kiserian yani hata pawe kiangazi vipi kuna baridi throughout.Ukitoka hapo muambie Chaliifrancisco akupeleke kule oldadai ukashangae migomba
Ni bot sio mtu huyoDepal nimekuja kwenu unaniblock. .
Huna akili wewe. We maasai tume co-exist na nature hapo for thousands of years na hakuna masai ana haribu nature including hunting wild animals for game or trophy. Trophy hunting ilikuwa culture ya zamani tu.Wamasai ilikuwa hakuna namna zaidi ya kuwaondoa Hilo eneo ili lisiendelee kuharibiwa uasili wake.
Sema labda ni ile namna ya kuondolewa kwao hakukuwa kwa kueleweshana kwa upanda wake.
Nipepita sana Hilo eneo kwakweli linataka kukaa katika asili yake na ni urithi mkubwa wa hazina ya hifadhi.
Napendekeza shughuri za kijamii zote zihamishiwe maeneo mengine kwakuwa yapo.
Hata wachimba vito na madini wasiyaguse maeneo ya hifadhi kwa sasa hadi hapo patakapo onekana hakuna namna nyingine.
Utajiri wa nchi zetu za pembezoni unachangiwa kwa kiasi kikubwa na hifadhi zetu.
Depal atampeleka snake park duka bovu pale akapande ngamiaNampeleka waterfalls. Oldadai sijawahi kupaelewa na kule Kiserian yani hata pawe kiangazi vipi kuna baridi throughout.
Haezi tokea. Maana ni muoga kama digidigi. 🤣. Sema ningekuwa kipande io ningemshow mwamba wa magari machimbo shazi ya ku enjoy nature freely na angedoro maskani tu hapo mbaudani
🤣huyo nenda the hub ijumaa kaza macho vizuri utamkuta tuni muoga kama digidigi. 🤣.
Siko gachustan arif niko kipande ya mbali kidizaini asee nasaka dough. Kipande io kusororeka ni adi labda late nov to dec siunajua tunakuja rudisha mrejesho kambini arif🤣🤣huyo nenda the hub ijumaa kaza macho vizuri utamkuta tu
Aende na Meru camp akaendeshe quad bike. Kama Dubai yan 🚵Ukitoka hapo muambie Chaliifrancisco akupeleke kule oldadai ukashangae migomba
Safari ya Dubai bado hujakamilisha umeanza kupanga safari nyingineasante nasikia wengi wanapasifia sana itabidi nijichange na mie nitie timu jamani.
Evelyn Salt na Demi huku nitawapeleka kama mtanibless na threesummmmm