Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Lovely scenery
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku sio arusha, ni hifadhi ya SerengetiHapo umefika
View attachment 3057464
Ni nyakati za zamani.Huna akili wewe. We maasai tume co-exist na nature hapo for thousands of years na hakuna masai ana haribu nature including hunting wild animals for game or trophy. Trophy hunting ilikuwa culture ya zamani tu.
Sema tu mmeamua kuwauzia ndugu zenu waarabu hii nchi kumbafu.
Displacement is not okay. Kama mnavyoona palestine anaonewa kuwa dispalce na israel its the same feeling for MAA community
Tanga ni kati ya nchi nchi nzuri sana kwa ustawi wa jamii.Unaongea tu. Wewe tukiwaindoa kule kwa mababu zako wanging'ombe tuwapeleke nachingaea ni sawa.? Maasai tumeishi hapo na ku co exist na nature for thousands of years.
Hatuli hata nyama pori kitu ambacho wengi hamjui
Na kuna pisi za haja. Nialike mkuuTanga ni kati ya nchi nchi nzuri sana kwa ustawi wa jamii.