We kwani unanijua...mbona unajua siri zangu hivyo🥺🥺🥺We kale mishkaki feri🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kwani unanijua...mbona unajua siri zangu hivyo🥺🥺🥺We kale mishkaki feri🤣
Umetuambia kitu kizuri na mimi nitatembeleaWakuu, wazee wa nature.
Nimekuja Arusha, katika tour ya siku tatu, nimeanza na Ngorongoro crater.
View attachment 3057462View attachment 3057457
Hii reserve nzuri kinoma, nilibahatika kuwaona wanyama mbalimbali, nature na mandhari nzuri ya ziwa.
View attachment 3057459
Nasubiri kuona Lake Eyasi, shifting sand na Olduvai.
View attachment 3057463
Pamoja na kwamba ni weekdays ila kuna raia wengi sana wa kigeni tukambiwa ni msimu wa "high season ".
Sio issue kubwa but ni experience nzuri.
Unavofakamia (ga) juice ya miwa feri unafikiri sikuonagi😅We kwani unanijua...mbona unajua siri zangu hivyo🥺🥺🥺
Nabadilisha location🤪🤪🤪Unavofakamia juice ya miwa feri unafikiri sikuonagi😅
Wapo ndiyo. lla kuwaona ndiyo issue. Mnyama kama chui mchana anajificha sana. Mimi kama mtu shida yake ni ku enjoy kuona wanyama kwa ukaribu, nitamshauri aende zoo. .N
Ngorongoro wanaita shimoni Big five wote wapo hawatoki shimoni mkuu...
Siku hizi kuna zoo ??Wapo ndiyo. lla kuwaona ndiyo issue. Mnyama kama chui mchana anajificha sana. Mimi kama mtu shida yake ni ku enjoy kuona wanyama kwa ukaribu, nitamshauri aende zoo. .
Umpeleke mgeni Ngarenaro darajani hapo Kilimanjaro bar. Bei elekezi bado ni Tsh 3000.Siko gachustan arif niko kipande ya mbali kidizaini asee nasaka dough. Kipande io kusororeka ni adi labda late nov to dec siunajua tunakuja rudisha mrejesho kambini arif🤣
Kutokana na uwingi wa magari wanyama wengi wanakua baadhi ya maeneo yao kwa hiyo siku hiyo muongoza watalii akimuona mnyama yeyote zipo ishara zao ambazo wanazitumia kuwa mnyama fulani yupo wapi hata wewe uliebebwa kwenye gari hautaelewa hakuna mnyama utashindwa kumuona shimoni labda uingine muda wa kuchelewa maana Wanyama wengi wanaonekana asubuhi na Jioni mchana wanakua mawindoni..Wapo ndiyo. lla kuwaona ndiyo issue. Mnyama kama chui mchana anajificha sana. Mimi kama mtu shida yake ni ku enjoy kuona wanyama kwa ukaribu, nitamshauri aende zoo. .
Meru camp kuna kautamu kake..Aende na Meru camp akaendeshe quad bike. Kama Dubai yan 🚵
Kusema kweli sijui. Ila miaka ya nyuma kuna zoo nilienda iko barabara ya Moshi to Arusha.Siku hizi kuna zoo ??
Kuna day natoka taoo midnight asee tulipata breakdown mitaa ya ngarna hapo 150. Tulivamiwa na kijiji ya vibaka kuna chaliangu Isaac alipoteza kidole pale ile night. Sìwataki machàlii wa ngàrna ni mawakiUmpeleke mgeni Ngarenaro darajani hapo Kilimanjaro bar. Bei elekezi bado ni Tsh 3000.
MKUU UKIONDOA TU CHUI, WANYAMA WENGINE WOTE KATIKA BIG FIVE UNA UHAKIKA WA KUWAONA PALE NGORONGORO. KWASABABU NGORONGORO NAKO NI KAMA ZOO TU WANYAMA HAWAONDOKI KULE CHINI NA WOTE UNAWAONA KWA UKARIBU TUU NA UNAENJOY VYA KUTOSHA TOFAUTI NA ZOO.Wapo ndiyo. lla kuwaona ndiyo issue. Mnyama kama chui mchana anajificha sana. Mimi kama mtu shida yake ni ku enjoy kuona wanyama kwa ukaribu, nitamshauri aende zoo. .
Wapo ndiyo. lla kuwaona ndiyo issue. Mnyama kama chui mchana anajificha sana. Mimi kama mtu shida yake ni ku enjoy kuona wanyama kwa ukaribu, nitamshauri aende zoo. .
Next time apitie Rubanda gorofani via kwa Wanyacha mpaka huko Kichwa TemboMKUU UKIONDOA TU CHUI, WANYAMA WENGINE WOTE KATIKA BIG FIVE UNA UHAKIKA WA KUWAONA PALE NGORONGORO. KWASABABU NGORONGORO NAKO NI KAMA ZOO TU WANYAMA HAWAONDOKI KULE CHINI NA WOTE UNAWAONA KWA UKARIBU TUU NA UNAENJOY VYA KUTOSHA TOFAUTI NA ZOO.
Hongera sana Sana NduguSio issue kubwa but ni experience nzuri.
Pamebomolewa siku hizi😁Umpeleke mgeni Ngarenaro darajani hapo Kilimanjaro bar. Bei elekezi bado ni Tsh 3000.
Mkuu, gharama iyo kubwa sana lakini nashauri usiende peke ako muwe watu nane (8) maximum, kwaajili ya cost sharing.Mkuu nikiwa na 500k itanitosha kufika huko??
Ni pigo kubwa sana kwa wazinzi.Pamebomolewa siku hizi😁
Aisee poleni sana. Hiyo mitaa huwa napita tu. Mara chache nilikuwa naenda kambi ya fisi kwa binamu yangu.Kuna day natoka taoo midnight asee tulipata breakdown mitaa ya ngarna hapo 150. Tulivamiwa na kijiji ya vibaka kuna chaliangu Isaac alipoteza kidole pale ile night. Sìwataki machàlii wa ngàrna ni mawaki
Umechomoa big 5? Au ulikuwa unashangaa tuMkuu, gharama iyo kubwa sana lakini nashauri usiende peke ako muwe watu nane (8) maximum, kwaajili ya cost sharing.
Gharama kubwa ni mbili utakazo lipa. Kiingilio kwa kila mtu na Gharama za kukodi gari (tour guide).
Gari na tour guide wengi ni Tsh 450k kushuka chini kutegemea na season. Kwahiyo mkiwa 8 inamaana mnachanga kama 55k kila mmoja.
Na kiingilio cha mtu mmoja ni 12,000/= tu kwahyo mkiwa kikundi ni kama elfu 75 kila mtu mnafanya day trip. Watoto under 6 ni bure.
Kuingia na gari private (lazima liwe 4 x 4) ni elfu 23 ila sishauri maana ile njia ya kupanda ni slope kali sanaaaaaa ingawa ni pavement ila too risk. Maana ukipata ajari unalipa laki 2 plus.
Pia vema ukabeba vyakula, na maji kwaajili ya milo angalau mitatu hadi miwili, kwa maana mtakaa masaa sita hadi nane kutokana na guide wenu, ila saa 12 inatakiwa muwe mshatoka.