Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enjoyy. Dar hamna mambo hayo 😂😂Sijamuona twiga tu, nasikia hawapo. Ila nimependa swaga za ngiri. Pia kuna mahala kulikua na ugomvi wa kundi la simba na kundi la mbogo/nyati.
Simba wakaona isiwe tabu.
NI kweli Kuna wamasai wanaishi hapo?Wakuu, wazee wa nature.
Nimekuja Arusha, katika tour ya siku tatu, nimeanza na Ngorongoro crater.
View attachment 3057462View attachment 3057457
Hii reserve nzuri kinoma, nilibahatika kuwaona wanyama mbalimbali, nature na mandhari nzuri ya ziwa.
View attachment 3057459
Nasubiri kuona Lake Eyasi, shifting sand na Olduvai.
View attachment 3057463
Pamoja na kwamba ni weekdays ila kuna raia wengi sana wa kigeni tukambiwa ni msimu wa "high season ".
Sio issue kubwa but ni experience nzuri.
Ndio iko ivo dingi. Kila maali ukifika asee inabidi kwanza ukutane na wajuba wa hiyo maali maana unaeza sanda bila kutarajiaAisee poleni sana. Hiyo mitaa huwa napita tu. Mara chache nilikuwa naenda kambi ya fisi kwa binamu yangu.
Una doubt nini jombaa? Masao na Simba tuna co exist kabisa for ages ila kuna wakuda tu wanaleta ngoriNI kweli Kuna wamasai wanaishi hapo?
Hongera kwako kufika huko kabla ya hao wanyama kupotea, maana muda mchache ujao patageuzwa eneo la mgodi, madini yakichimbwa kwa kasi ya hali ya juu.Wakuu, wazee wa nature.
Nimekuja Arusha, katika tour ya siku tatu, nimeanza na Ngorongoro crater.
View attachment 3057462View attachment 3057457
Hii reserve nzuri kinoma, nilibahatika kuwaona wanyama mbalimbali, nature na mandhari nzuri ya ziwa.
View attachment 3057459
Nasubiri kuona Lake Eyasi, shifting sand na Olduvai.
View attachment 3057463
Pamoja na kwamba ni weekdays ila kuna raia wengi sana wa kigeni tukambiwa ni msimu wa "high season ".
Sio issue kubwa but ni experience nzuri.
Mwili wa kitimoto huo ataweza kweli?Ukitoka kaupande na mlima Kilimanjaro, hauto Jutia mkuu.
NeyPanaitwaje mkuu leo ndio day 2... tupo tunasubiri kuingia coz tulilala nje ya ifadhi..
View attachment 3057471
Gharama na kila kitu ni shingap mkuu na mm nijipange natamani ila uoga ndugu yangPanaitwaje mkuu leo ndio day 2... tupo tunasubiri kuingia coz tulilala nje ya ifadhi..
View attachment 3057471
Utamwaga mpaka rohoasante nasikia wengi wanapasifia sana itabidi nijichange na mie nitie timu jamani.
Evelyn Salt na Demi huku nitawapeleka kama mtanibless na threesummmmm
Kupima pima uzito kunaleta sononaHahaha nimepungua kilo mzee..
View attachment 3057956
Uzito wa 86 kg kwa urefu wa 190 cm sio kitimoto kaka. 🤣🤣
Hapo sawa mzeeHahaha nimepungua kilo mzee..
View attachment 3057956
Uzito wa 86 kg kwa urefu wa 190 cm sio kitimoto kaka. 🤣🤣