Today I visited Ngorongoro Crater: Ni pazuri kinoma

Today I visited Ngorongoro Crater: Ni pazuri kinoma

naona umefika kwetu. dah mimi pamoja na kwetu sijawahi kufika maeneo kibao. ilikua kilimo kilimoo na mimi. nikaja dar nikawa fundi tofali.
 
Sijamuona twiga tu, nasikia hawapo. Ila nimependa swaga za ngiri. Pia kuna mahala kulikua na ugomvi wa kundi la simba na kundi la mbogo/nyati.

Simba wakaona isiwe tabu.
Enjoyy. Dar hamna mambo hayo 😂😂
Twiga replace na pundamilia. Wapo mpk kumwagika.
Twiga nenda Arusha NP
 
Wakuu, wazee wa nature.

Nimekuja Arusha, katika tour ya siku tatu, nimeanza na Ngorongoro crater.

View attachment 3057462View attachment 3057457

Hii reserve nzuri kinoma, nilibahatika kuwaona wanyama mbalimbali, nature na mandhari nzuri ya ziwa.
View attachment 3057459

Nasubiri kuona Lake Eyasi, shifting sand na Olduvai.
View attachment 3057463

Pamoja na kwamba ni weekdays ila kuna raia wengi sana wa kigeni tukambiwa ni msimu wa "high season ".

Sio issue kubwa but ni experience nzuri.
NI kweli Kuna wamasai wanaishi hapo?
 
Aisee poleni sana. Hiyo mitaa huwa napita tu. Mara chache nilikuwa naenda kambi ya fisi kwa binamu yangu.
Ndio iko ivo dingi. Kila maali ukifika asee inabidi kwanza ukutane na wajuba wa hiyo maali maana unaeza sanda bila kutarajia
 
Wakuu, wazee wa nature.

Nimekuja Arusha, katika tour ya siku tatu, nimeanza na Ngorongoro crater.

View attachment 3057462View attachment 3057457

Hii reserve nzuri kinoma, nilibahatika kuwaona wanyama mbalimbali, nature na mandhari nzuri ya ziwa.
View attachment 3057459

Nasubiri kuona Lake Eyasi, shifting sand na Olduvai.
View attachment 3057463

Pamoja na kwamba ni weekdays ila kuna raia wengi sana wa kigeni tukambiwa ni msimu wa "high season ".

Sio issue kubwa but ni experience nzuri.
Hongera kwako kufika huko kabla ya hao wanyama kupotea, maana muda mchache ujao patageuzwa eneo la mgodi, madini yakichimbwa kwa kasi ya hali ya juu.
 
Mwili wa kitimoto huo ataweza kweli?
Hahaha nimepungua kilo mzee..

PXL_20240715_152803445.jpg


Uzito wa 86 kg kwa urefu wa 190 cm sio kitimoto kaka. 🤣🤣
 
Back
Top Bottom