Panaitwaje mkuu leo ndio day 2... tupo tunasubiri kuingia coz tulilala nje ya ifadhi..Hapo umefika
View attachment 3057464
Guiders wenu waoneshe picha watakupa jibuPanaitwaje mkuu leo ndio day 2... tupo tunasubiri kuingia coz tulilala nje ya ifadhi..
View attachment 3057471
Naomba gharama zako Kwa ujumla Ili Nami niangalie uwezekanoPanaitwaje mkuu leo ndio day 2... tupo tunasubiri kuingia coz tulilala nje ya ifadhi..
View attachment 3057471
Unajua haya mambo yanawezekana,,hata wazungu huwa wana plan ya mda mrefu,,unaweka kibubu baada ya mda fulani unatalii
Mimi nitajie tu gharama za jumla kwa siku tatu ni kama tsh. Ngapi?Wakuu, wazee wa nature.
Nimekuja Arusha, katika tour ya siku tatu, nimeanza na Ngorongoro crater.
View attachment 3057462View attachment 3057457
Hii reserve nzuri kinoma, nilibahatika kuwaona wanyama mbalimbali, nature na mandhari nzuri ya ziwa.
View attachment 3057459
Nasubiri kuona Lake Eyasi, shifting sand na Olduvai.
View attachment 3057463
Pamoja na kwamba ni weekdays ila kuna raia wengi sana wa kigeni tukambiwa ni msimu wa "high season ".
Sio issue kubwa but ni experience nzuri.
Waarabu wa Samia mmewakuta au walimsingiziaWakuu, wazee wa nature.
Nimekuja Arusha, katika tour ya siku tatu, nimeanza na Ngorongoro crater.
View attachment 3057462View attachment 3057457
Hii reserve nzuri kinoma, nilibahatika kuwaona wanyama mbalimbali, nature na mandhari nzuri ya ziwa.
View attachment 3057459
Nasubiri kuona Lake Eyasi, shifting sand na Olduvai.
View attachment 3057463
Pamoja na kwamba ni weekdays ila kuna raia wengi sana wa kigeni tukambiwa ni msimu wa "high season ".
Sio issue kubwa but ni experience nzuri.