Tofauti 3 kati ya Samia Suluhu na Hayati Magufuli

Kiongozi yoyote wa CCM akihama chama hatoboi
 
Karne hii itamalizika hatotokea Mzalendo kama JPM

Jamaa alithubutu sana kwa kweli
 
Samia ni legacy ya Magufuli kwa hiyo huwezi kuwashindanisha.

Samia anavyofanya vizuri ndiyo Magufuli anafurahia alichagua jembe
Magufuli alipora korosho za wakulima samia hajapita. Kupora
Magufuli hajawahi kuajiri watu samia ana ajiri kila kona
Samia kashusha makato kwenye bodi ya mikopo yule mwingine alichkulia kama chanzo cha mapato
Magufuli akipenda sifa hata kwa mambo madogo sana
Aliua, aliteka, alipora mali za watu na akipenda kudanganya hadharani
 
4. Roho mbaya kwa watumishi wa Uma,
Magufuli aliona ni dhambi kuwaongezea mishahara watumishi wa Uma na hata Ile nyongeza ya Kila mwaka alifuta,wakati mama SSH anaona wafanyakazi nao ni binadamu kama Yeye
5 Magufuli alikuwa hathamini mali za watu. Alikuwa hana HURUMA na watu asio wajua, alibomoa nyumba za watu kule Kimara na kuwaacha wa Mwanza kwa sababu tu walimpigia kura. Leo naamini kuwa Mama Samia kwa hekima, busara na huruma aliyonayo atawakumbuka hawa wahanga wa Kimara - Mbezi, suala la muda tu.
 
Hebu nikumbushe watu watano tu waliyouliwa na Magufuli?
 
Huruma ya kuwaongezea mitozo huku wengine wanaruhusiwa kula kwa urefu wa kamba zao?
 
Mkuu hapa najua hutaeleweka kwa mtoa mada
 
Sawa Chawa..
 
Haya yooote ni ya magu..alipanga kuwa mambo yakiwa magumu bongo atafanya km mama anavyo fanya leo.... Tofauti ni kuwa magu alitamani iwe mwishoni kabisaa ili wamchague milele.....lkn mama yeye hakusubili...
 
Umesahau sifa moja ya Mwendazake kuwa ni Katili huku SSH akiwa ni mpenda haki.
Samia kuonesha kuwa ni mpenda haki angehakikisha kuwa hao anaowateua kuwa RCs na DCs wanakuwa na ratiba ya wazi lini wanasikiliza wananchi na hii ibandikwe ofisini kwao,.
Hivi sasa sidhani kama wana ratiba hizo. Mfano ni RC wa Dar Amos Makalla hana ratiba hiyo tofauti na waliomtangulia!
Wanajifanya kutoa namba zao za simu ambapo wakipigiwa hawapatikani!!
Ni vizuri Samia akawasimamia na kuwaelewesha kuwa kazi yao ni kutatua kero za watu na sio kupokea simu za viongozi wenzao tu
 
Ratiba kila mtu anapanga kwa namna yake,sio kazi ya Rais kuwapangia.
 
Ratiba kila mtu anapanga kwa namna yake,sio kazi ya Rais kuwapangia.
Read between the lines wewe mbwiga! Sijasema awapangie nimeshauri ahakikishe wana ratiba na inazingatiwa! Wewe umekwenda ofisini kwa Makalla ukakuta ratiba na register? Unakaa Ikulu unampigia simu na kuzungumza nao unafikiri kila mwananchi ana fursa hiyo?
Ngoja ufukuzwe hapo Ikulu ndio utaelewa nini taabu ya kuwapata hawa viongozi.
 
Wote ni sawa lakini mmoja anaua kwa siri wakati mwingine alikuwa anaua wazi wazi.
Mmoja ni mnafiki sana wakati mwingine ni muwazi hata katika uovu
Wote ni wamoja wanaendelea na ule ule mfumo bila kubadili kitu.

Ameshasema hamuelewi?
Sisi na Magufuli ni KITU kimoja
 
Kachukue form Lumumba Sasa uwanie ubunge wa Africa mashariki,unajikanyaga tu au unasubiri huruma ya mama.Uchawa haulipi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…