Tofauti kati ya Zari na Mange kimambi

Tofauti kati ya Zari na Mange kimambi

Yani eti mtu unamchukia kwasababu ya mafanikio yake halaf maskin ya mungu hajawah hata kukutana na wewe.

Maisha kayakosea mwenyewe, chuki azipeleke kwa waliofanikiwa kihalali, huyu mwanamke stress za maisha zinamsumbua tu, hana lolote huko alipo zaidi ya kutegemea pesa za Child support za mtalaka wake,huyo angoje tu azeeke akalelewe kwenye nyumba za kulelea wazee
 
Duuuh Ndo maisha yetu sasa tutafanyaje .......
Kila siku lazma kijana wa kibongo atembelee page ya gossip...
 
Maisha kayakosea mwenyewe, chuki azipeleke kwa waliofanikiwa kihalali, huyu mwanamke stress za maisha zinamsumbua tu, hana lolote huko alipo zaidi ya kutegemea pesa za Child support za mtalaka wake,huyo angoje tu azeeke akalelewe kwenye nyumba za kulelea wazee
Yaani she has nothing than popping in other people's life.... Looser... Priceless bitch
 
Sasa kwa akili yako mange atakuwa mshauri mzuri wa mahusiano. Wakati ndoa yake imemshinda?
Kwani anashauri au huwa anapambana nao kwa sababu azijuae yeye?

Kumbe mnapotuletea upuuzi wa huko mnaleta km ushauri!!?Mungu hurumia hawa wavulana!!
 
Yaani she has nothing than popping in other people's life.... Looser... Priceless bitch

Ni looser mwenye wivu kwa mafanikio ya wenzake, yaani mimi hadi hao wanaomshabikia huwa nawashangaa sana kwa kweli kwa upupu anaouandika hasa wa kufuatilia maisha ya wengine tena personal kabisa
 
Una akaunti 39 insta ila bank huna hata 1, nenda kachukue mzee wanatoa kam akaunti za insta tuu.
 
Mange yupo frustreated na maisha....amechanganyikiwa....ingawa anawakosha baadhi kwa hoja za kuwakandi ccm...lakimi huyu dada sio mzima
 
Sio sawa kumfananisha Zari na vitu vya ajabu
Kale kamwanamke kana wivu usio na mfano, kalianza uchuro kwenye Danube kwamba hakatoi kik sa sijui zari anahitaji kik gani kwa mange, baada ya mapokezi yenye kiwango cha lami kamekuja na ishu ya mikoba fake, kwani mkoba fake haubebi vitu, roho mbaya ndio maana hakafanikiwi kameuza nguo, kamefungua app vyote hola, baba keanu nae akapunguza matumizi ndo akakachanganya make kanategemea hiyo child support
Anategemea child support bila kusahau kudanga. Kibabu cha kizubgu kile pia kinamuweka mjini, kajiombeleza simu kwa watu akijifanya anatania kumbe anamaanisha na alijua lazma kuna zwazwa kitajitokeza kumuhonga.
She is bitter and lonely ass. Chezea kukosa marafiki hapa duniani, lazma u hate kila mtu
 
Watanzania tumejaaliwa umbea,na kufuatilia mambo binafsi ya watu hata mtz aende wapi bado hiyo asili anayo kwenye damu ndo haya ya Mange kimambi.

Yeye kufuatilia maisha binafsi ya Diamond na familia yake ndo raha kwake na kashaamua kumchukia tuu bila sababu za msingi,sielewagi watz wa namna na khaliba ya namna hii ni wa namna gani,hawanaga mambo ya kufuatilia zaidi ya maisha binafsi ya mtu au hawanaga kazi tuu basi kazi yao inabaki kupandikiza chuki tuu na kuongelea negative watu wengine
Nafanya mpango nikuadd kwny group letu la magreat thinkers mana naona celebrity forum kila siku ni mange yaan upuuz mtupu

Gonga like apa[emoji106]
 
Mange kimavi alikimbia tz akienda marekani kutafuta maisha bora...but mda wote akili yake iko tz...instead ya kucontrate kwenye maisha bora aloyakimbilia huko usa....akili iko tz...marekani unaishi mwili akili tz...she is misfit in both societies,huwez kumfananisha that misfit na zari,anaeishi maisha ya ndoto ya mange huku afrika,mange hana standard ya maisha,ya zari...
Huo ndo uzalendo hata wewe ukipata nafasi hiyo mwili uwe uingereza akili yako yoote iwe ktk nchi yako ya asili mother land kama myahudi hongera yake mange
 
Watanzania tumejaaliwa umbea,na kufuatilia mambo binafsi ya watu hata mtz aende wapi bado hiyo asili anayo kwenye damu ndo haya ya Mange kimambi.

Yeye kufuatilia maisha binafsi ya Diamond na familia yake ndo raha kwake na kashaamua kumchukia tuu bila sababu za msingi,sielewagi watz wa namna na khaliba ya namna hii ni wa namna gani,hawanaga mambo ya kufuatilia zaidi ya maisha binafsi ya mtu au hawanaga kazi tuu basi kazi yao inabaki kupandikiza chuki tuu na kuongelea negative watu wengine
Hata hiki ulichoandika ni umbeya...nani kakupa kibali kumzungumzia mange we mwanae kama si umbeya ni nn[emoji57]
 
Sio sawa kumfananisha Zari na vitu vya ajabu
Kale kamwanamke kana wivu usio na mfano, kalianza uchuro kwenye Danube kwamba hakatoi kik sa sijui zari anahitaji kik gani kwa mange, baada ya mapokezi yenye kiwango cha lami kamekuja na ishu ya mikoba fake, kwani mkoba fake haubebi vitu, roho mbaya ndio maana hakafanikiwi kameuza nguo, kamefungua app vyote hola, baba keanu nae akapunguza matumizi ndo akakachanganya make kanategemea hiyo child support
[emoji23] [emoji23] mtabwabwaja humu weee lkn wote hao tunaowazungumzia wametuacha mbali sana kifikra ndo maana ndo maana wako duniani wanafanya yao sisi tunajiliwaza JF humu cha msingi tupambane na hali zetu
 
Anategemea child support bila kusahau kudanga. Kibabu cha kizubgu kile pia kinamuweka mjini, kajiombeleza simu kwa watu akijifanya anatania kumbe anamaanisha na alijua lazma kuna zwazwa kitajitokeza kumuhonga.
She is bitter and lonely ass. Chezea kukosa marafiki hapa duniani, lazma u hate kila mtu
Yule dada ana wivu mno masikini
 
Back
Top Bottom