Tofauti kubwa ya Ally Kiba na Diamond hii hapa

Tofauti kubwa ya Ally Kiba na Diamond hii hapa

NasDaz kauli ya Somji Juma hatuwezi kuitumia kama conclusion ya mada iliyopo mezani. Kwa sababu yeye ni mmoja kati ya wengi wanaopaza sauti zao hapa jamvini.

Mashabiki wanapo zomea ni njia mojawapo ya kuonyesha kuna kitu fulani ambacho hakipo sawa. Au kimekuwa ni kinyume na matarajio yao.

Ndiyo maana wasanii wakomavu huwa wanatoa press release ktk matukio kama haya. Especially kuomba msamaha mashabiki wao. Kwa kuwa wanajua watakuwa wameumia nafsi zao. Na wakati mwingine tukio linaloongelewa halihusiani kabisa na fani ya msanii.

Nitakupa mifano kama mitatu. R Kelly alipofikishwa mahakamani kwa kosa la kujihusisha kimapenzi na Aaliyha. Mashabiki wake walichukia sana kwa sababu Aaliyha alikuwa bado hajatimiza umri wa miaka 18!! Hili halihusiani kabisa na muziki. Ni maisha yake private. Lakini watu walisusa kununua kazi zake na hata albamu zake alizotoa baada ya tukio lile hazikupata support kubwa. Kifupi zili flop!!!

Tiger Woods aliopokamatwa ugoni na mkewe. Kitu cha kwanza aliomba msamaha mashabiki wake kwa kuwakosea. Hujiulizi hili lina uhusiano gani na golf? Kilichofuata pale ni nini? Tiger Woods alishuka toka No.1 mpaka sijui No.7 na imemchukua miaka kadhaa kurudi tena ktk top positions.

John Terry (Captain wa Chelsea na England Football Team) alipokumbwa na kashfa ya kutembea na mke wa mchezaji mwenzake. Mashabiki sio tu walimzomea kila alipoingia uwanjani bali walipaza sauti ya kuwa hafai kuongoza kikosi cha England kwa sababu ya maadili. Na kweli alivuliwa ukepteni akapewa Rio Ferdinand!!!

Michael Jackson alipokumbwa na kashfa ya kunajisi mtoto mdogo. Ndo ulikuwa mwanzo wa anguko lake la kimuziki. Ule msongo aliopata ulimpelekea kujiingiza ktk matumizi ya madawa hadi kifo chake. Management yake ilikanusha lakini pia iliwaomba msamaha mashabiki kwa kuwaumiza mioyo yao!!!

Nimetoa mifano hiyo michache kwa nini?? Ninataka kukuonyesha kuwa watu wakishakukupenda sana. Inabidi uangalie muenendo wa wa maisha yako. Ndiyo maisha ni yako lakini yana athari kubwa kwa wapenzi wako. Especially matamshi yako. Ukiwa Star wewe ni watu. So chochote utakachofanya kinyume na matarajio yao, ujiandae...

Ndo maana halisi ya kioo cha jamii. Watu wanakuangalia wewe kama mfano. Sasa kama wewe ni mjivuni/malaya,mlevi n.k sidhani wewe uta fit hiyo role ya kioo cha jamii.

Kuna mifano mingi hapa nyumbani nikupe mmojawapo. Unamkumbuka yule dada wa African Stars mnenguaji mahiri ambaye watu walimpenda sana? Alipoanza vituko vya madawa ya kulevya na picha za utupu sijui. Watu walimchukia na wala hawakuwa na huruma naye. Angeweza kusema ni chuki kwa mafanikio aliyoyapata ktk fani.Kwa nini?!! Kwa sababu ukishapendwa na watu wanategemea wewe utajiheshimu au you behave in a certain way. Kwani kuna watoto wao wanakuangalia wewe kama kioo...

Nadhani umenielewa na wengine wote wenye mtazamo kama wako. Tusikimbilie majibu mepesi kama wivu,husda,chuki nk.
Nakubaliana na maelezo yako lakini kama wewe ni mfuatiliaji wa mijadala ya Diamond ungegundua kwamba wengi wao raha yao ni kuona Diamaond anapotea... na hili wanalisema wazi wazi... huyo Somji niliyemtaja ni mfano tu coz' nisingeweza kumtaja kila mtu! Sidhani kama hao uliowataja watu walikuwa wanawaombea mabaya bali walikuwa tu against na tabia zao!!

Uliza sababu za msingi zinazowafanya wamuombee mtu mabaya... lakini hakuna atakayekupa jibu... afadhali umetaja uovu wa akina Tiger Wood na MIchael Jackson! Uliza hao wanaotamani kuona Diamond ameshuka, kijana amefanya nini hasa so serioua... hakuna mwenye jibu! Wapo watakaokuambia ameikashifu Mbeya... ukiwaomba source inayoaminika iliyomnukuu Diamond akiiponda Mbeya, hakuna atakayekupa! Sasa wenye akili zao wanajiuliza... Diamond ambae anapiga show hadi wilayani na miji midogo kama TUnduma, hivi kweli inaingia akili azikashifu hotel za Mbeya?? Wengine wanadai oh, jamaa ni malaya sana... nani kasalimika? Huyo KIba mwenyewe wanayemlinganisha nae amezaa na wanawake watatu tofauti na wote amewapiga chini... kwahiyo Diamond akichapa akina Wolper inakuwa nongwa, lakini wengine wakizalisha huku na kule ni sawa tu!! Hata hao wanaosema Diamond ana dharau ukiwaliza dharau ipi wamefanyiwa wao kama wao, hakuna mwenye jibu! Kuna mtu humu amedai kwamba wakati Diamond anauza mitumba Magomeni alikuwa mshikaji wa jamaa mmoja ambae member wa humu JF ni mtu wake wa karibu! Lakini member huyu anadai hivi sasa Diamond hamkumbuki kabisa huyo jamaa.... aaaaaargh! Hili nalo limfanye mwingine kuwa na nongwa??

Kutokana na watu kutokuwa na hoja za msingi ndio maana wengine tunashawishika kuamini kwamba wengi wao wanasukumwa na chuki na wivu kwavile mtu asiye na husuda hawezi kuombea kuona mtu mwingine anaanguka tena kwa sababu ambazo wala hazikuhusu moja kwa moja!
 
Kipenda roho.....

dawa...!!!
mi sikujua km itakua big deal maana huko instagram jamani jana nimeona kuna watoto wameanzisha team km mbili kila page ya msanii wa bongo kutangaza akaunti yao maalum kwa chibu dangote si uswahili huo
afu mi naona ndo wanazidi kumharibia yaani
halafu wameingia kwa kiba wanatukana na mtu ukisifia mitusi hiyoooo
 
Haya mambo ya band bhana mi cjui kabisa ingawaje nakubali kwamba kwenye band ndiko waliko wanamuziki na huku kwingine ni waimbaji... mimi mwenyewe nishawahi kuimba na ku-rap... c unajua sie tuliobalehe in early 1990's ilikuwa ni lazima u-rap kwanza kama ukitaka kung'oa totoz za kishua!!?? Leo hii tukirudi back 1970's kiteknolojia, wala sioni nani atabaki kwenye game... labda Banana!

Na hapo ndio watu watajifunza maana ya muziki na hawatothubutu kumlipa mtu kama Davido kuja Tanzania kuimba playback, na kina Fally Ipupa wataendelea kutesa na Afro dance zao.
 
NasDaz kauli ya Somji Juma hatuwezi kuitumia kama conclusion ya mada iliyopo mezani. Kwa sababu yeye ni mmoja kati ya wengi wanaopaza sauti zao hapa jamvini.

Mashabiki wanapo zomea ni njia mojawapo ya kuonyesha kuna kitu fulani ambacho hakipo sawa. Au kimekuwa ni kinyume na matarajio yao.

Ndiyo maana wasanii wakomavu huwa wanatoa press release ktk matukio kama haya. Especially kuomba msamaha mashabiki wao. Kwa kuwa wanajua watakuwa wameumia nafsi zao. Na wakati mwingine tukio linaloongelewa halihusiani kabisa na fani ya msanii.

Nitakupa mifano kama mitatu. R Kelly alipofikishwa mahakamani kwa kosa la kujihusisha kimapenzi na Aaliyha. Mashabiki wake walichukia sana kwa sababu Aaliyha alikuwa bado hajatimiza umri wa miaka 18!! Hili halihusiani kabisa na muziki. Ni maisha yake private. Lakini watu walisusa kununua kazi zake na hata albamu zake alizotoa baada ya tukio lile hazikupata support kubwa. Kifupi zili flop!!!

Tiger Woods aliopokamatwa ugoni na mkewe. Kitu cha kwanza aliomba msamaha mashabiki wake kwa kuwakosea. Hujiulizi hili lina uhusiano gani na golf? Kilichofuata pale ni nini? Tiger Woods alishuka toka No.1 mpaka sijui No.7 na imemchukua miaka kadhaa kurudi tena ktk top positions.

John Terry (Captain wa Chelsea na England Football Team) alipokumbwa na kashfa ya kutembea na mke wa mchezaji mwenzake. Mashabiki sio tu walimzomea kila alipoingia uwanjani bali walipaza sauti ya kuwa hafai kuongoza kikosi cha England kwa sababu ya maadili. Na kweli alivuliwa ukepteni akapewa Rio Ferdinand!!!

Michael Jackson alipokumbwa na kashfa ya kunajisi mtoto mdogo. Ndo ulikuwa mwanzo wa anguko lake la kimuziki. Ule msongo aliopata ulimpelekea kujiingiza ktk matumizi ya madawa hadi kifo chake. Management yake ilikanusha lakini pia iliwaomba msamaha mashabiki kwa kuwaumiza mioyo yao!!!

Nimetoa mifano hiyo michache kwa nini?? Ninataka kukuonyesha kuwa watu wakishakukupenda sana. Inabidi uangalie muenendo wa wa maisha yako. Ndiyo maisha ni yako lakini yana athari kubwa kwa wapenzi wako. Especially matamshi yako. Ukiwa Star wewe ni watu. So chochote utakachofanya kinyume na matarajio yao, ujiandae...

Ndo maana halisi ya kioo cha jamii. Watu wanakuangalia wewe kama mfano. Sasa kama wewe ni mjivuni/malaya,mlevi n.k sidhani wewe uta fit hiyo role ya kioo cha jamii.

Kuna mifano mingi hapa nyumbani nikupe mmojawapo. Unamkumbuka yule dada wa African Stars mnenguaji mahiri ambaye watu walimpenda sana? Alipoanza vituko vya madawa ya kulevya na picha za utupu sijui. Watu walimchukia na wala hawakuwa na huruma naye. Angeweza kusema ni chuki kwa mafanikio aliyoyapata ktk fani.Kwa nini?!! Kwa sababu ukishapendwa na watu wanategemea wewe utajiheshimu au you behave in a certain way. Kwani kuna watoto wao wanakuangalia wewe kama kioo...

Nadhani umenielewa na wengine wote wenye mtazamo kama wako. Tusikimbilie majibu mepesi kama wivu,husda,chuki nk.

asante umemaliza na tufunge mijadala yote kwa leo
saaaf sana
 
Unaona sasa? Ili ufurahi ungependa kila mtu awe pro Domo hicho kitu sahau kabisa, huyo tutusa wenu Domo zingekuwa zinamtosha ushauri wa kumpa Wema angempa kitandani na siyo Instagram leo zile ndimu zinawahusu nunuweni kwa wingi mtengeneze juice.
Eh! Nitakuwa mtu wa ajabu kuomba kila mmoja awe pro-Diamond! Ikiwa hata Jesus mwenyewe na Muhammad wameshindwa kumshawishi kila mtu kuwa upande wao, itakuja kuwa Diamond!!! Nitarudia tena na tena... sina tatizo na Kiba na hata nyimbo zake nazisikiliza tofauti na nyinyi mnaojifanya kumponda Diamond huku siku zikiwa hazipiti bila kusikiliza nyimbo zake! Na kuwa more honesty, nyimbo yake ya Mwana-Dar es salaam binafsi haijanigusa lakini bado namkubali kwa nyimbo zake zingine nyingi tu!

Tuje hilo la Diamond na Wema.... aaaaaargh, sasa suala la Diamond na Wema kwanini limkere mwingine? By the way, hivi Team Wema si ndo walianza kumshambulia Diamond kwamba anamlostisha Wema na kutokana na hilo ndipo Diamond akaamua kutoa ufafanuzi?? Hii kulikuwa na kitu gani so special pale hadi tuone ilifaa uwe ni ushauri wa chumbani?? Kwani Diamond alizungumzia suala la chu'pi na sidiria za Wema pale?? By the way, hivi pale alikuwa anampa ushauri Wema au alisema tatizo ni Wema mwenyewe coz' keshamshauri sana kuachana na mashoga wa hovyo hovyo na pombe! Hivi ni suala la chumbani hili? Isitoshe, yeye alitoa ushauri wakiwa peke yao lakini baada ya kuona anasakamwa bila kosa akaamu kuweka mambo wazi!
 
Ooooh jamani...Mimi ndio maana nazidi kumpenda Kiba,ana busara sana jamani,wakati mwenzie anahaha kumdharau eti 'atamsaidia' lakini yeye anamsifia
Am speechless jamani nimefurahi sana (lakini haizidi juzi leaders)

Hahahaha..haizid juzi kwakweli..mimi bado nna furaha...go go kiba huu ni mwanzo tu
 
Na kazi ya kumpenda kiba ni ya demu wake si ndio eeee

Ha ha ha na kweli aisee...jamaa ana wivu huyo usikute anakula Ugali wa shikamoo hadi leo na kuny.a kwa foleni nyumbani kwahiyo lazima amchukie tu.
 
Uchawi sio lazima mtu akuroge hata kukuombea DUA mbaya tu ni uchawi pia.
Simply,,mtu kama anaringa ni yeye na maisha yake kwani hatuwezi kuwa sawa kwani vidole tu hatufanani itajakuwa tabia au malezi?

Mi si #TeamKiba wala #TeamDiamond ila siwez kumchukia kisa ni tabia zake ila kwangu atabaki kuwa Kiba ni anajua muziki na Diamond ni mwenye mafanikio zaid ya Kiba
 
Alikiba kwenye nyimbo yake fulani aliimba haya maneno na naona yanatimia.
"Yule alie kupa wewe, ndo kaninyima mimi, na kama riziki anatoa yeye........ ila Mungu ndo anatoa hata kwa foleni hata kama niko nyuma nitapata lazima."
 
Tatizo kubwa hapa Bongo, msanii yeyote akikataa kuburuzwa na hao akina Kusaga na wenzao( clouds media) ndio wanaanza kumsanyia fitina za kumshusha kisanii, tuliona kwa Sugu, Jaydee na sasa Diamond, hawa ni wasanii wanaojielewa, na wanajua nini wanafanya, mbona Mwz hakuzomewa na sehem zingine pia hakuzomewa, hapo ndio ufahamu ya kuwa wazomeaji wote walilipwa posho na ndio maana yule demu wa clouds alipomuita Ali Kiba akawaita pia wapambe wa Kiba kwa kusema Team Kiba mpoooooo! Ila ukweli Ali Kiba alijichanganya mwenyewe kwa kuridhika na mafanikio madogo aliyoyapata kipindi yupo juu, sasa hivi akubali tu kuwa mwenzake yupo juu na kumshusha hata mtumie media zenu hamtaweza coz mlishachelewa. Huo ndio ukweli. Vinginevyo labda wanamfanyia promo kiaina kupita Diamond ili kumrudisha juu!
 
NasDaz kuna movie inaitwa,'There is a thin line between love and hate" umeshawahi kuiona ni ya zamani kidogo. Je unakubaliana na hilo?
 
Kiba na diamond inaelekea wana udini na ukabila eeeh!!!
 
E bhana eh! Let's be honest bhana.... hivi ni kweli unaamini from deep inside your heart kwamba Diamond ameisha? Kwa lipi? Yaani kwavile wasiompenda wamemzomea ndo basi tena... Swahibu ako Somji Juma alitangaza mwisho wa Diamond siku ya award za BET eti kisa amekosa award ndo basi tena mwisho wake umefika.... hata hivyo, jamaa akaendelea kudunda! Kuzomewa Fiesta tena mnaleta u-Sheikh Yahya kwamba ameisha....!!! Hivi mtu anaisha vipi wakati yupo kwenye kilele cha mafanikio?

Mkuu NasDaz nmeamin wewe n mnafiki,na muongo kama demu wangu wa zamani hakuna sehemu niloandika diamond kaisha kwenye ile post that day,ila nilifurahia tu siamond kukosa tuzo..
 
Last edited by a moderator:
Eh! Nitakuwa mtu wa ajabu kuomba kila mmoja awe pro-Diamond! Ikiwa hata Jesus mwenyewe na Muhammad wameshindwa kumshawishi kila mtu kuwa upande wao, itakuja kuwa Diamond!!! Nitarudia tena na tena... sina tatizo na Kiba na hata nyimbo zake nazisikiliza tofauti na nyinyi mnaojifanya kumponda Diamond huku siku zikiwa hazipiti bila kusikiliza nyimbo zake! Na kuwa more honesty, nyimbo yake ya Mwana-Dar es salaam binafsi haijanigusa lakini bado namkubali kwa nyimbo zake zingine nyingi tu!

Tuje hilo la Diamond na Wema.... aaaaaargh, sasa suala la Diamond na Wema kwanini limkere mwingine? By the way, hivi Team Wema si ndo walianza kumshambulia Diamond kwamba anamlostisha Wema na kutokana na hilo ndipo Diamond akaamua kutoa ufafanuzi?? Hii kulikuwa na kitu gani so special pale hadi tuone ilifaa uwe ni ushauri wa chumbani?? Kwani Diamond alizungumzia suala la chu'pi na sidiria za Wema pale?? By the way, hivi pale alikuwa anampa ushauri Wema au alisema tatizo ni Wema mwenyewe coz' keshamshauri sana kuachana na mashoga wa hovyo hovyo na pombe! Hivi ni suala la chumbani hili? Isitoshe, yeye alitoa ushauri wakiwa peke yao lakini baada ya kuona anasakamwa bila kosa akaamu kuweka mambo wazi!

Hii post ndio ilipaswa aitume kuwajibu Team Wema watu wenye akili tungemuona amekomaa kiakili.
 

Attachments

  • 1413875138010.jpg
    1413875138010.jpg
    53.3 KB · Views: 172
Hii post ndio ilipaswa aitume kuwajibu Team Wema watu wenye akili tungemuona amekomaa kiakili.

nimeiona nimemuonea huruma
sipati picha bi sandra anajiskiaje uchungu wa mwana
 
Tomboka mrembo!!

Hawa no wasanii wawili todauti kulingana na aina ya miziki yao. Kiba meseji sauti na upangaji wa vina no 100%. Kwa maana nyingine mziki wake Una utamu masikioni. Diamond yeye bora soko. Ukisikiliza nyimbo zake ni mule mule naweza sema ubunifu si mkubwa Sana ndo maana hata yeye alisema h@mini kwenye talent.
Mziki ukiwa na maudhui Mara nyingi fani inakuwa ndogo, na fani ikiwa kubwa maudhui ni kidogo. So kiba ni Mzee wa maudhui na diamond ni Mzee wa fani
 
Back
Top Bottom