Tofauti na SADC iliyoleta Marais 8, Jumuiya ya Afrika Mashariki amekuja Rais Kenyatta pekee kumuaga Hayati Magufuli

Tofauti na SADC iliyoleta Marais 8, Jumuiya ya Afrika Mashariki amekuja Rais Kenyatta pekee kumuaga Hayati Magufuli

Anayeshikamana na wewe wakati wa shida ndiye rafiki wa kweli.

Kiukweli Jumuiya ya SADC imetushika mkono kiuhakika katika msiba huu mkubwa wa taifa.

Tumeshuhudia Marais kutoka Msumbiji, Afrika Kusini, Zimbabwe, Zambia, Malawi, Congo nk wakija kumuaga Hayati Magufuli ambaye alikuwa kiongozi mwenzao.

Kwa upande wa Jumuiya ya Afrika Mashariki tumemshuhudia Rais Uhuru Kenyatta pekee kati ya Marais 5 wanaounda Jumuiya.

Itoshe tu kusema SADC ndio marafiki wa kweli.
Msiba umeisha?
 
Hatutasahau; tutakutana huko mbele ya safari. Wengine wao watajialumu wakati it is too late!!! Ndiyo maana wakati mwingine nadhani kuwa Uhuru yuko smart sana kwa kiasi chake.
 
Anayeshikamana na wewe wakati wa shida ndiye rafiki wa kweli.

Kiukweli Jumuiya ya SADC imetushika mkono kiuhakika katika msiba huu mkubwa wa taifa.

Tumeshuhudia Marais kutoka Msumbiji, Afrika Kusini, Zimbabwe, Zambia, Malawi, Congo nk wakija kumuaga Hayati Magufuli ambaye alikuwa kiongozi mwenzao.

Kwa upande wa Jumuiya ya Afrika Mashariki tumemshuhudia Rais Uhuru Kenyatta pekee kati ya Marais 5 wanaounda Jumuiya.

Itoshe tu kusema SADC ndio marafiki wa kweli.
Msiba umeisha?
 
Hiki ni kipindi hatari sana na nyie Watanzania mnavyokusanyika na kubanana kwenye huu msiba bila kuchukua tahadhari kisha mnategemea nani aje kujitoa mhanga kisa undugu.

Hao watakuja siku ya kumzika kisha wasepe, masuala ya maisha hayana utani maana uhai unao mmoja tu na hauna mbadala, hiki kirusi kinaondoka na yeyote hata uwe tajiri mwenye hela au rais, kinakubeba tu.

Ingekua huyu kwenye hii picha ndiye anaongoza, nahisi mambo yangekua tofauti maana yeye huwa mjanja sana alishasema za kuambiwa ongeza na zako pia. Ona hapa alivyojilinda wakati wengine wamejianika mazima mazima.

2720559_jk.jpg
Kweli jirani ,uviko ni hatari ila sisi waTZ kunaichukulia poa ,nadhani vifo vya high ranks vitatupa funzo na kuaanza kuchukua tahadhari,mawaziri wanashaanza now kuvaa barakoa.

Kikwete anajielewa ,maisha hayana spea yakitoka ndio imeisha hiyo.

Mikusanyiko kipindi hiki ni hatari ,mpaka msiba uishe tutazalisha variant wetu wa korona.
 
Ndiyo ujifunze Bwashee kwenye kuchagua marafiki. Wengi ni wanafiki na ma opportunists! Ila karibia wote nadhani wameogopa Corona bila shaka. Ingawa hii sababu nayo haina mashiko!

Au labda walimpenda sana marehemu! Hivyo wangekuja kumuaga, wangeishia kulia tu [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] hadharani!
Tehe tehe tehe.
 
Museveni lazima aje amzike swahiba wake hata akiwa kwenye machela lazima afike
 
nadhan itoshe kusema kazi ya Mungu ibakie kama ilivo, he is gone already and kilichobaki ni sisi ambao yatupasa kujiandaa kama yeye alivojiandaaa! binadam hatuna rights zozote za kuishi apa duniani kwa sababu ni kupita, ukishapita we shukuru Mungu thats all and on to the next jouurney
Kuna mashiko humu. Tujiandae mda wote
 
Hatujazika bado subirini siku yatatu tunyoe vipara,mjane avalishwe kitenge anyolewe kipara ..ndipo tujadili haya
 
Hatutasahau; tutakutana huko mbele ya safari. Wengine wao watajialumu wakati it is too late!!! Ndiyo maana wakati mwingine nadhani kuwa Uhuru yuko smart sana kwa kiasi chake.
East africa nzima Uhuru ni smarter kuliko wote. Ni bora tuongozwe na watoto wa viongozi huwa wanarithi Yale ya baba yao.
 
Anayeshikamana na wewe wakati wa shida ndiye rafiki wa kweli.

Kiukweli Jumuiya ya SADC imetushika mkono kiuhakika katika msiba huu mkubwa wa taifa.

Tumeshuhudia Marais kutoka Msumbiji, Afrika Kusini, Zimbabwe, Zambia, Malawi, Congo nk wakija kumuaga Hayati Magufuli ambaye alikuwa kiongozi mwenzao.

Kwa upande wa Jumuiya ya Afrika Mashariki tumemshuhudia Rais Uhuru Kenyatta pekee kati ya Marais 5 wanaounda Jumuiya.

Itoshe tu kusema SADC ndio marafiki wa kweli.

Kwa namna Awamu hii ya Tano ilivyoharibu kidogo Uhusiano wa Kidiplomasia hasa na Majirani zetu hawa sikushangaa kuwaona akina Museveni na Kagame hawakuja na najua hata Rais Uhuru Kenyatta isingekuwa Yeye kuwa Mwenyekiti wa EAC kwa sasa huenda nae angeuchuna Kuja na angemtuma hata Balozi wake amuwakilishe.
 
Back
Top Bottom