Tofauti na SADC iliyoleta Marais 8, Jumuiya ya Afrika Mashariki amekuja Rais Kenyatta pekee kumuaga Hayati Magufuli

Msiba umeisha?
 
Hatutasahau; tutakutana huko mbele ya safari. Wengine wao watajialumu wakati it is too late!!! Ndiyo maana wakati mwingine nadhani kuwa Uhuru yuko smart sana kwa kiasi chake.
 
Msiba umeisha?
 
Kweli jirani ,uviko ni hatari ila sisi waTZ kunaichukulia poa ,nadhani vifo vya high ranks vitatupa funzo na kuaanza kuchukua tahadhari,mawaziri wanashaanza now kuvaa barakoa.

Kikwete anajielewa ,maisha hayana spea yakitoka ndio imeisha hiyo.

Mikusanyiko kipindi hiki ni hatari ,mpaka msiba uishe tutazalisha variant wetu wa korona.
 
Tehe tehe tehe.
 
Kweli na Kenya ni ndugu ambaye anakera lakini hakwepeki.
You made my day😂😂😂!
Wana unyang'au sana hao ila ndio hivyo tena hawakwepeki!
 
Kweli na Kenya ni ndugu ambaye anakera lakini hakwepeki.
You made my day😂😂😂!
Wana unyang'au sana hao ila ndio hivyo tena hawakwepeki!
 
Museveni lazima aje amzike swahiba wake hata akiwa kwenye machela lazima afike
 
Kuna mashiko humu. Tujiandae mda wote
 
Hatujazika bado subirini siku yatatu tunyoe vipara,mjane avalishwe kitenge anyolewe kipara ..ndipo tujadili haya
 
Hatutasahau; tutakutana huko mbele ya safari. Wengine wao watajialumu wakati it is too late!!! Ndiyo maana wakati mwingine nadhani kuwa Uhuru yuko smart sana kwa kiasi chake.
East africa nzima Uhuru ni smarter kuliko wote. Ni bora tuongozwe na watoto wa viongozi huwa wanarithi Yale ya baba yao.
 

Kwa namna Awamu hii ya Tano ilivyoharibu kidogo Uhusiano wa Kidiplomasia hasa na Majirani zetu hawa sikushangaa kuwaona akina Museveni na Kagame hawakuja na najua hata Rais Uhuru Kenyatta isingekuwa Yeye kuwa Mwenyekiti wa EAC kwa sasa huenda nae angeuchuna Kuja na angemtuma hata Balozi wake amuwakilishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…