Tofauti na SADC iliyoleta Marais 8, Jumuiya ya Afrika Mashariki amekuja Rais Kenyatta pekee kumuaga Hayati Magufuli

Walimfahamu vizuri sana kwa kuchelewesha Miradi mingi ya Jumuiya ikiwa ni pamoja na SGR, kwa hiyo, kama sisi sote nao wanangoja kwa hamu kuona huyu atakuwaje katika kutoa mchango wake kuendeleza Jumuiya ya Wanachama 7 sasa.
 
Huyo Tall urafiki wake ulikuwa wa kimaslahi tu, japo marehemu alimuweka karibu sana na kuwa marafiki na hata wengine kudai alikuwa akimshauri mengi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…