Tofauti na uzinzi na kujimwambafai, hakuna motivation yenye mashiko ya kuongeza mke zaidi ya mmoja

Tofauti na uzinzi na kujimwambafai, hakuna motivation yenye mashiko ya kuongeza mke zaidi ya mmoja

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Unakuta mwamba ana wake wawili watatu ila kila siku unakutana nae kwa wakina fatuma ndala ndefu na jesca utelezi.

Polygamy haijawahi kua dawa ya kushinda uzinzi wa mwanaume.

Polygamy ni mwendelezo wa old fashioned masculinity ya enzi na enzi, kwamba kidume naweza, kidume mimi ni mashine.

Mnakuja na visababu mara sijui dini, sijui mwanamke mmoja changamoto,, etc acheni bwana, ni basi tu umejikuta una viela, hamu zako zimekufika puani sasa unavuta pisi uliyoiona stendi, and I can guarantee you wala hausolve chochote zaidi ya ku-prove u-kidume wako.
 
Hizo kauli za mke mmoja hatoshi, mwanaume mwenye afya unaweza vipi kukaa miezi kadhaa bila kunjunja, mwanaume kaumbiwa mizagamuo nk.
Ni kwasababu umeruhusu hizo tamaa zikutawale ila sio kua haiwezekani.
Ukiwa apeche pisi unaziona kama simba jike, ukizipata haipiti wiki hujanjunja mara kadhaa.

Ni sawa na mlevi ambae haipiti siku hajazimu, huwa anawashangaa ambao wanapiga masanga mara moja kwa mwezi, wanawezaje na uwezo wanao. Ni uraibu tu sometimes.
 
Hizo kauli za mke mmoja hatoshi, mwanaume mwenye afya unaweza vipi kukaa miezi kadhaa bila kunjunja, mwanaume kaumbiwa mizagamuo nk.
Ni kwasababu umeruhusu hizo tamaa zikutawale ila sio kua haiwezekani.
Ukiwa apeche pisi unaziona kama simba jike, ukizipata haipiti wiki hujanjunja mara kadhaa.

Ni sawa na mlevi ambae haipiti siku hajazimu, huwa anawashangaa ambao wanapiga masanga mara moja kwa mwezi, wanawezaje na uwezo wanao. Ni uraibu tu sometimes.
Sure thing 👍
 
Sema hili goma la singeli,lakuitwa mapenzi hisia hebu tikisa kichwa kidogo....ni noma limenifanya nikache kwenda sabato na kuanza monde asubuhi TU😎😎😎
 
Back
Top Bottom