Tofauti ya gharama kati ya CRDB vs NMB

Tofauti ya gharama kati ya CRDB vs NMB

Katika kuangalia salio umedanganya mteja akiangalia salio Kwa Wakala anakatwa 400 na sio 2000 kama umevyoandika
 
PATA ELIMU KIDOGO KUHUSU NMB & CRDB MAKATO

Maswali ya msingi kabla sijakuelezea makato
a) Kipi Bora kutoa hela kupitia kwa Wakala, ATM au Ndani ya benk (Over the counter)?

a) Kipi Bora kuangalia salio kupitia kwa Wakala, NMB mobile/CRDB Simbanking, ATM au Ndan ya benk (Over the counter) au internet Banking?

c) Kama umemaliza kutoa hela ATM je kuna haja ya Kuomba risiti ya Salio au uangalie kupitia Simbanking? Kipi bora?

d) Je ikienda kwa wakala kutoa hela zikagoma kutoka kwa sababu ya salio Dogo Wakala akakwambia akuangalizie salio, Je unajua ni kiasi gani wanakata pia ukiunganisha na kutoa utakatwa kiasi gani?

e) Je unaijua faida na hasara ya internet banking?

I. GHARAMA ZA KUANGALIA SALIO

Kwa njia ya :-
a) ATM NMB shs 360, CRDB shs 354/=
b) Simbanking NMB 400, CRDB 400/=
c) Kwa wakala NMB shs 2000, CRDB 2000/=
d) Teller/Over the counter NMB shs 400, CRDB 500/=
e) Internet banking NMB Free, CRDB Free

II. KUTOA HELA (CASH WITHDRAWALS )

a) ATM
i. shs 1000-20,000 NMB shs 1100, CRDB 1300/=
ii. shs 20,001-50,000 NMB shs 1200, CRDB 1300/=
iii. shs 50,001-100,000, NMB shs 1300, CRDB 1300/=
iv. shs 100,001-200,000, NMB shs 1400, CRDB 150,000-600,000 ni 1500/=
v. shs 200,001-400,000 NMB shs 1500, CRDB 1500/=

b) Kwa teller/Over the counter mfano kutoa 400,000/= utachajiwa 4000 CRDB, NMB 4000/=

c) Kwa Wakala
i. 10,000-19999 NMB shs 1200/=
ii. 20,000-49,999 NMB shs 1500/=
iii. 50,000-99,999 NMB shs 2200/=
iii. 100,000-199999 NMB shs 3500/=
iv. 200,000-399999 NMB shs 4500/=
v. 400,000-599999 NMB shs 6300/=

Kuna tabia hii watu wengi wanapenda kuifanya. Unaenda kwa wakala kutoa mathalan 400,000/= ktk akaunti yako kuna 405,000/= lazima hela itagoma, Wakala atakuuliza tuangalie salio? Ukijibu tu ndio ataangalia salio na ktk akaunti yako utakatwa 2000 kama ni CRDB na kama ni NMB utakatwa almost 1500 hapo atakwambia una Salio la shs 402,000/= basi itabidi utoe sh 397,000/=

Ndg yangu kama una huduma ya internet banking angalia salio lako free kisha mwambie kiasi cha kutoa.

Pia kama umetoa hela ATM usiwe na tabia ya kuchukua risiti, angalia salio lako kupitia internet banking ni free

Kwa wanachuo wanaokaa offcampus mathalan unataka kutoa 400,000/= ukitoa kwa wakala utakatwa 6300/= ila kwenye ATM ingekatwa 1500/= tu, unaonaje kama ungepanda haisi shs 200 chapu ukaenda ndan ukatoa na kurudi 200 ukawa umetumia gharama 1900/ kuliko kukatwa 6500/=?

Maisha ni budget, so do at your own Risk .

As received
*****+*****+*****+*****+*****+*****+
ubarikiwe sana mkuu
 
PATA ELIMU KIDOGO KUHUSU NMB & CRDB MAKATO

Maswali ya msingi kabla sijakuelezea makato
a) Kipi Bora kutoa hela kupitia kwa Wakala, ATM au Ndani ya benk (Over the counter)?

a) Kipi Bora kuangalia salio kupitia kwa Wakala, NMB mobile/CRDB Simbanking, ATM au Ndan ya benk (Over the counter) au internet Banking?

c) Kama umemaliza kutoa hela ATM je kuna haja ya Kuomba risiti ya Salio au uangalie kupitia Simbanking? Kipi bora?

d) Je ikienda kwa wakala kutoa hela zikagoma kutoka kwa sababu ya salio Dogo Wakala akakwambia akuangalizie salio, Je unajua ni kiasi gani wanakata pia ukiunganisha na kutoa utakatwa kiasi gani?

e) Je unaijua faida na hasara ya internet banking?

I. GHARAMA ZA KUANGALIA SALIO

Kwa njia ya :-
a) ATM NMB shs 360, CRDB shs 354/=
b) Simbanking NMB 400, CRDB 400/=
c) Kwa wakala NMB shs 2000, CRDB 2000/=
d) Teller/Over the counter NMB shs 400, CRDB 500/=
e) Internet banking NMB Free, CRDB Free

II. KUTOA HELA (CASH WITHDRAWALS )

a) ATM
i. shs 1000-20,000 NMB shs 1100, CRDB 1300/=
ii. shs 20,001-50,000 NMB shs 1200, CRDB 1300/=
iii. shs 50,001-100,000, NMB shs 1300, CRDB 1300/=
iv. shs 100,001-200,000, NMB shs 1400, CRDB 150,000-600,000 ni 1500/=
v. shs 200,001-400,000 NMB shs 1500, CRDB 1500/=

b) Kwa teller/Over the counter mfano kutoa 400,000/= utachajiwa 4000 CRDB, NMB 4000/=

c) Kwa Wakala
i. 10,000-19999 NMB shs 1200/=
ii. 20,000-49,999 NMB shs 1500/=
iii. 50,000-99,999 NMB shs 2200/=
iii. 100,000-199999 NMB shs 3500/=
iv. 200,000-399999 NMB shs 4500/=
v. 400,000-599999 NMB shs 6300/=

Kuna tabia hii watu wengi wanapenda kuifanya. Unaenda kwa wakala kutoa mathalan 400,000/= ktk akaunti yako kuna 405,000/= lazima hela itagoma, Wakala atakuuliza tuangalie salio? Ukijibu tu ndio ataangalia salio na ktk akaunti yako utakatwa 2000 kama ni CRDB na kama ni NMB utakatwa almost 1500 hapo atakwambia una Salio la shs 402,000/= basi itabidi utoe sh 397,000/=

Ndg yangu kama una huduma ya internet banking angalia salio lako free kisha mwambie kiasi cha kutoa.

Pia kama umetoa hela ATM usiwe na tabia ya kuchukua risiti, angalia salio lako kupitia internet banking ni free

Kwa wanachuo wanaokaa offcampus mathalan unataka kutoa 400,000/= ukitoa kwa wakala utakatwa 6300/= ila kwenye ATM ingekatwa 1500/= tu, unaonaje kama ungepanda haisi shs 200 chapu ukaenda ndan ukatoa na kurudi 200 ukawa umetumia gharama 1900/ kuliko kukatwa 6500/=?

Maisha ni budget, so do at your own Risk .

As received
*****+*****+*****+*****+*****+*****+
Asante sana mkuu nimekuelewa ila hiyo Internet banking sijakupata mkuu ni App ama?
 
PATA ELIMU KIDOGO KUHUSU NMB & CRDB MAKATO

Maswali ya msingi kabla sijakuelezea makato
a) Kipi Bora kutoa hela kupitia kwa Wakala, ATM au Ndani ya benk (Over the counter)?

a) Kipi Bora kuangalia salio kupitia kwa Wakala, NMB mobile/CRDB Simbanking, ATM au Ndan ya benk (Over the counter) au internet Banking?

c) Kama umemaliza kutoa hela ATM je kuna haja ya Kuomba risiti ya Salio au uangalie kupitia Simbanking? Kipi bora?

d) Je ikienda kwa wakala kutoa hela zikagoma kutoka kwa sababu ya salio Dogo Wakala akakwambia akuangalizie salio, Je unajua ni kiasi gani wanakata pia ukiunganisha na kutoa utakatwa kiasi gani?

e) Je unaijua faida na hasara ya internet banking?

I. GHARAMA ZA KUANGALIA SALIO

Kwa njia ya :-
a) ATM NMB shs 360, CRDB shs 354/=
b) Simbanking NMB 400, CRDB 400/=
c) Kwa wakala NMB shs 2000, CRDB 2000/=
d) Teller/Over the counter NMB shs 400, CRDB 500/=
e) Internet banking NMB Free, CRDB Free

II. KUTOA HELA (CASH WITHDRAWALS )

a) ATM
i. shs 1000-20,000 NMB shs 1100, CRDB 1300/=
ii. shs 20,001-50,000 NMB shs 1200, CRDB 1300/=
iii. shs 50,001-100,000, NMB shs 1300, CRDB 1300/=
iv. shs 100,001-200,000, NMB shs 1400, CRDB 150,000-600,000 ni 1500/=
v. shs 200,001-400,000 NMB shs 1500, CRDB 1500/=

b) Kwa teller/Over the counter mfano kutoa 400,000/= utachajiwa 4000 CRDB, NMB 4000/=

c) Kwa Wakala
i. 10,000-19999 NMB shs 1200/=
ii. 20,000-49,999 NMB shs 1500/=
iii. 50,000-99,999 NMB shs 2200/=
iii. 100,000-199999 NMB shs 3500/=
iv. 200,000-399999 NMB shs 4500/=
v. 400,000-599999 NMB shs 6300/=

Kuna tabia hii watu wengi wanapenda kuifanya. Unaenda kwa wakala kutoa mathalan 400,000/= ktk akaunti yako kuna 405,000/= lazima hela itagoma, Wakala atakuuliza tuangalie salio? Ukijibu tu ndio ataangalia salio na ktk akaunti yako utakatwa 2000 kama ni CRDB na kama ni NMB utakatwa almost 1500 hapo atakwambia una Salio la shs 402,000/= basi itabidi utoe sh 397,000/=

Ndg yangu kama una huduma ya internet banking angalia salio lako free kisha mwambie kiasi cha kutoa.

Pia kama umetoa hela ATM usiwe na tabia ya kuchukua risiti, angalia salio lako kupitia internet banking ni free

Kwa wanachuo wanaokaa offcampus mathalan unataka kutoa 400,000/= ukitoa kwa wakala utakatwa 6300/= ila kwenye ATM ingekatwa 1500/= tu, unaonaje kama ungepanda haisi shs 200 chapu ukaenda ndan ukatoa na kurudi 200 ukawa umetumia gharama 1900/ kuliko kukatwa 6500/=?

Maisha ni budget, so do at your own Risk .

As received
*****+*****+*****+*****+*****+*****+
Nauli ya 200 bado ipo dunia hii?
 
Kuna issue ya CRDB kama unataka kutumia simu banking, pale unapo-dial *150*03# wanakwambia Tsh 100 salio lako la muda wa maongezi likakatwa. Kwa nini mtu ujiunge simbanking, hata kabla ya kupata huduma unayotaka mfano; kuangalia salio etc. wanakata muda wa maongezi? Hili litazamwe pia.
CRDB wameshafanya marekebisho kwa laini za voda, tigo na halotel ni free kutumia USSD.
NMB kwa voda wanacharge kisenge, unaweza kujikuta unatumia buku coz kuna muda inaishia njiani na hapo umeshakatwa.
NMB ni bure kwa tigo.
 
Naomba kufahamu gharama za kutoa pesa kwa kutumia VISA Card Yaani mfano unae card ya CRDB unaenda kutoa pesa NMB au NBC n.k hapo gharama zikoje wajuzi?
 
PATA ELIMU KIDOGO KUHUSU NMB & CRDB MAKATO

Maswali ya msingi kabla sijakuelezea makato
a) Kipi Bora kutoa hela kupitia kwa Wakala, ATM au Ndani ya benk (Over the counter)?

a) Kipi Bora kuangalia salio kupitia kwa Wakala, NMB mobile/CRDB Simbanking, ATM au Ndan ya benk (Over the counter) au internet Banking?

c) Kama umemaliza kutoa hela ATM je kuna haja ya Kuomba risiti ya Salio au uangalie kupitia Simbanking? Kipi bora?

d) Je ikienda kwa wakala kutoa hela zikagoma kutoka kwa sababu ya salio Dogo Wakala akakwambia akuangalizie salio, Je unajua ni kiasi gani wanakata pia ukiunganisha na kutoa utakatwa kiasi gani?

e) Je unaijua faida na hasara ya internet banking?

I. GHARAMA ZA KUANGALIA SALIO

Kwa njia ya :-
a) ATM NMB shs 360, CRDB shs 354/=
b) Simbanking NMB 400, CRDB 400/=
c) Kwa wakala NMB shs 2000, CRDB 2000/=
d) Teller/Over the counter NMB shs 400, CRDB 500/=
e) Internet banking NMB Free, CRDB Free

II. KUTOA HELA (CASH WITHDRAWALS )

a) ATM
i. shs 1000-20,000 NMB shs 1100, CRDB 1300/=
ii. shs 20,001-50,000 NMB shs 1200, CRDB 1300/=
iii. shs 50,001-100,000, NMB shs 1300, CRDB 1300/=
iv. shs 100,001-200,000, NMB shs 1400, CRDB 150,000-600,000 ni 1500/=
v. shs 200,001-400,000 NMB shs 1500, CRDB 1500/=

b) Kwa teller/Over the counter mfano kutoa 400,000/= utachajiwa 4000 CRDB, NMB 4000/=

c) Kwa Wakala
i. 10,000-19999 NMB shs 1200/=
ii. 20,000-49,999 NMB shs 1500/=
iii. 50,000-99,999 NMB shs 2200/=
iii. 100,000-199999 NMB shs 3500/=
iv. 200,000-399999 NMB shs 4500/=
v. 400,000-599999 NMB shs 6300/=

Kuna tabia hii watu wengi wanapenda kuifanya. Unaenda kwa wakala kutoa mathalan 400,000/= ktk akaunti yako kuna 405,000/= lazima hela itagoma, Wakala atakuuliza tuangalie salio? Ukijibu tu ndio ataangalia salio na ktk akaunti yako utakatwa 2000 kama ni CRDB na kama ni NMB utakatwa almost 1500 hapo atakwambia una Salio la shs 402,000/= basi itabidi utoe sh 397,000/=

Ndg yangu kama una huduma ya internet banking angalia salio lako free kisha mwambie kiasi cha kutoa.

Pia kama umetoa hela ATM usiwe na tabia ya kuchukua risiti, angalia salio lako kupitia internet banking ni free

Kwa wanachuo wanaokaa offcampus mathalan unataka kutoa 400,000/= ukitoa kwa wakala utakatwa 6300/= ila kwenye ATM ingekatwa 1500/= tu, unaonaje kama ungepanda haisi shs 200 chapu ukaenda ndan ukatoa na kurudi 200 ukawa umetumia gharama 1900/ kuliko kukatwa 6500/=?

Maisha ni budget, so do at your own Risk .

As received
*****+*****+*****+*****+*****+*****+
Kuna baadhi ya mambo umeyaandika sio sahihi.
Kuangalia salio kupitia wakala hawakati zaidi ya 500.
Kuangalia salio kwa app ya simbanking ni bure.

Nje ya mada: Tangu niwe na akaunti ya CRDB 2022 sijawahi kukatwa pesa ya kila mwezi 😎
 
PATA ELIMU KIDOGO KUHUSU NMB & CRDB MAKATO

Maswali ya msingi kabla sijakuelezea makato
a) Kipi Bora kutoa hela kupitia kwa Wakala, ATM au Ndani ya benk (Over the counter)?

a) Kipi Bora kuangalia salio kupitia kwa Wakala, NMB mobile/CRDB Simbanking, ATM au Ndan ya benk (Over the counter) au internet Banking?

c) Kama umemaliza kutoa hela ATM je kuna haja ya Kuomba risiti ya Salio au uangalie kupitia Simbanking? Kipi bora?

d) Je ikienda kwa wakala kutoa hela zikagoma kutoka kwa sababu ya salio Dogo Wakala akakwambia akuangalizie salio, Je unajua ni kiasi gani wanakata pia ukiunganisha na kutoa utakatwa kiasi gani?

e) Je unaijua faida na hasara ya internet banking?

I. GHARAMA ZA KUANGALIA SALIO

Kwa njia ya :-
a) ATM NMB shs 360, CRDB shs 354/=
b) Simbanking NMB 400, CRDB 400/=
c) Kwa wakala NMB shs 2000, CRDB 2000/=
d) Teller/Over the counter NMB shs 400, CRDB 500/=
e) Internet banking NMB Free, CRDB Free

II. KUTOA HELA (CASH WITHDRAWALS )

a) ATM
i. shs 1000-20,000 NMB shs 1100, CRDB 1300/=
ii. shs 20,001-50,000 NMB shs 1200, CRDB 1300/=
iii. shs 50,001-100,000, NMB shs 1300, CRDB 1300/=
iv. shs 100,001-200,000, NMB shs 1400, CRDB 150,000-600,000 ni 1500/=
v. shs 200,001-400,000 NMB shs 1500, CRDB 1500/=

b) Kwa teller/Over the counter mfano kutoa 400,000/= utachajiwa 4000 CRDB, NMB 4000/=

c) Kwa Wakala
i. 10,000-19999 NMB shs 1200/=
ii. 20,000-49,999 NMB shs 1500/=
iii. 50,000-99,999 NMB shs 2200/=
iii. 100,000-199999 NMB shs 3500/=
iv. 200,000-399999 NMB shs 4500/=
v. 400,000-599999 NMB shs 6300/=

Kuna tabia hii watu wengi wanapenda kuifanya. Unaenda kwa wakala kutoa mathalan 400,000/= ktk akaunti yako kuna 405,000/= lazima hela itagoma, Wakala atakuuliza tuangalie salio? Ukijibu tu ndio ataangalia salio na ktk akaunti yako utakatwa 2000 kama ni CRDB na kama ni NMB utakatwa almost 1500 hapo atakwambia una Salio la shs 402,000/= basi itabidi utoe sh 397,000/=

Ndg yangu kama una huduma ya internet banking angalia salio lako free kisha mwambie kiasi cha kutoa.

Pia kama umetoa hela ATM usiwe na tabia ya kuchukua risiti, angalia salio lako kupitia internet banking ni free

Kwa wanachuo wanaokaa offcampus mathalan unataka kutoa 400,000/= ukitoa kwa wakala utakatwa 6300/= ila kwenye ATM ingekatwa 1500/= tu, unaonaje kama ungepanda haisi shs 200 chapu ukaenda ndan ukatoa na kurudi 200 ukawa umetumia gharama 1900/ kuliko kukatwa 6500/=?

Maisha ni budget, so do at your own Risk .

As received
*****+*****+*****+*****+*****+*****+
Hapo kwa gharama ulizoandika SimBanking siyo kweli!
CRDB huduma ya SimBanking wanatoza gharama kubwa sana kuangalia salio ni Tshs 1900+ karibia Tshs 2000/.

Hilo nimelithibitisha siyo kuambiwa au kusimuliwa.
 
Hapo kwa gharama ulizoandika SimBanking siyo kweli!
CRDB huduma ya SimBanking wanatoza gharama kubwa sana kuangalia salio ni Tshs 1900+ karibia Tshs 2000/.

Hilo nimelithibitisha siyo kuambiwa au kusimuliwa.
Duh wanangu mnatumia simbanking gn hy inayowakata pesa mkiangalia salio, mm cjawah kukatwa hata 10 nikiangalia salio huko, laiti simbanking ingekuwa inaruhusu screenshot nngewaonyesha kabla na baada ya kuangalia salio langu.
 
Duh wanangu mnatumia simbanking gn hy inayowakata pesa mkiangalia salio, mm cjawah kukatwa hata 10 nikiangalia salio huko, laiti simbanking ingekuwa inaruhusu screenshot nngewaonyesha kabla na baada ya kuangalia salio langu.

Wewe unatumia simbanking ya wapi?
Mbona nimescreeshot hapa…!?
Acha uongo bhana
IMG_6286.jpg
 
Back
Top Bottom