luchelele mzunguko
JF-Expert Member
- Feb 12, 2021
- 1,206
- 1,641
- Thread starter
- #41
Sawa mkuu na je! aijalishi wameishi pamoja kwa muda gani?Sogea tukae ni 'Uzinzi Sugu' ...na Siku mkizinguana hakuna sehemu 'eti' Mahakama itaitambua kuwa ni Ndoa halali