Tofauti ya kuoa au kuolewa na sogea tukae

Tofauti ya kuoa au kuolewa na sogea tukae

Mkuu, kisheria mkiishi kama mke na mume na jamii inayowazunguka ikatambua hivyo na mkaishi hivyo kwa zaidi ya miaka miwili basi itatafsirika kuwa nyinyi ni wanandoa sawa na tafsiri watakayokua nayo wale waliofunga ndoa kanisani, msikitini ama bomani.
Sasa hapo mnapata haki na wajibu wooote unaowahusu wanandoa ila mkiamua kila mmoja achukue time ndio kutatokea utofauti kidooogo baina yenu karibu tuishi na wale waliofunga ndoa.
Kwa upande wa wale waliofunga ndoa watapatiwa HATI YA TALAKA na wale waliokua wakiishi under 'presumtion of marriage' yaanisogea tuishi watapatiwa hukumu yao ya HATI YA KUTENGANA.

Na baada ya hapo kama kuna mai iliyochumwa pamoja utaratibu ule ule uliozoeleka wa kugawanya mali kwa wanandoa wanaoachana utatumika kwa pande zote. Hivyo hakuna dhurma yoyote itakayotokea.
mkuu una uhakika?
 
Mkuu, kisheria mkiishi kama mke na mume na jamii inayowazunguka ikatambua hivyo na mkaishi hivyo kwa zaidi ya miaka miwili basi itatafsirika kuwa nyinyi ni wanandoa sawa na tafsiri watakayokua nayo wale waliofunga ndoa kanisani, msikitini ama bomani.
Sasa hapo mnapata haki na wajibu wooote unaowahusu wanandoa ila mkiamua kila mmoja achukue time ndio kutatokea utofauti kidooogo baina yenu karibu tuishi na wale waliofunga ndoa.
Kwa upande wa wale waliofunga ndoa watapatiwa HATI YA TALAKA na wale waliokua wakiishi under 'presumtion of marriage' yaanisogea tuishi watapatiwa hukumu yao ya HATI YA KUTENGANA.

Na baada ya hapo kama kuna mai iliyochumwa pamoja utaratibu ule ule uliozoeleka wa kugawanya mali kwa wanandoa wanaoachana utatumika kwa pande zote. Hivyo hakuna dhurma yoyote itakayotokea.
Mkuu haipo hivo. hivi unajua sheria inatambua aina ngapi za ndoa?

na awa wa sogea tukae wamefunnga ndoa hipi ambayo sheria inaitambua?

Mkuu kimsingi sogea tukae sio ndoa japo inamlinda mwanamke na watoto kwenye ugawaji mali .
 
Mkuu haipo hivo. hivi unajua sheria inatambua aina ngapi za ndoa?

na awa wa sogea tukae wamefunnga ndoa hipi ambayo sheria inaitambua?

Mkuu kimsingi sogea tukae sio ndoa japo inamlinda mwanamke na watoto kwenye ugawaji mali .
Mkuu naomba soma tena andiko langu, nimezungumzia haki ya kutambuliwa chini ya 'presumption of marriage' na pia haki ya kugawana walivyochuma pamoja
 
Sawa mkuu lakini hii hipo kinyume na sheria hata ukishika ugoni mkeo analiwa jamaa likasema muende mahakamani mana huyo si mkeo kisheria auna cha kulifanya jamaa kwa maelezo yako[emoji3]

Maana mahakama itaomba udhibitisho (cheti cha ndoa)
Mambo ya ugoni ni magumu hata ukiwa na ndoa yako, ni kuomba tu yasikukute ,lkn si ati yakukute upambane
Omba sana yasikukute, nothing else
 
Back
Top Bottom