Tofauti ya Legacy ya Magufuli na Membe hii hapa!

Tofauti ya Legacy ya Magufuli na Membe hii hapa!

Kwa pesa ipi? Magufuli alishaanza kukopa kwenye mabenki ya biashara nchini. Halafu Rais SSH kakopa sana mikopo nafuu ya multilateral financial institutions (IDA/WB, ADF/ADB, etc.) ili kuendeleza utekelezaji wa hiyo miradi ambayo hadi sasa bado kabisa kukamilika. SGR yenyewe hata kufika Morogoro tu tabu.

Angekuwa hai wakati huu, hakika watu "wangelimia meno" kama alivyoahidi - very crudely. Mishahara serikalini ingekuwa kama Zaire ya Mobutu, pensheni ndio kabisa, zingefutwa. Pesa za bajeti zingekuwa zinatolewa kishikaji kwa Ujenzi, Majeshi na wateule wachache. It would have been a time of reckoning. Bahati yake na Watanzania kaepushwa na dhahama hiyo.
Mungu fundi!
 
Back
Top Bottom