mandweki
Member
- Oct 18, 2012
- 68
- 62
Kwa tume ya uchaguzi hii sawa lakini si tume huru ya uchaguziNitaipigia kura CCM 2025 kuanzia kwa diwani,mbunge na rais kwa sasa upinzani hauna la maana Hizi saccoss za akina mbowe,zitto na mbatia hata zifanye nini zitaangukia pua tu