Tofauti ya mwanamke na mwanaume katika kushughulika na mchepuko

Tofauti ya mwanamke na mwanaume katika kushughulika na mchepuko

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
1. Mwanaume akifurahishwa na mchepuko, mara nyingi hakuna mabadiliko kwa mwandani wake. Inakuwa kawaida tu.

2. Mwanamke akifurahishwa na mchepuko, anazidisha furaha nyumbani na ana act unusual, too existed, extra caring and unnecessary story. Remember: few professional cheaters acts normal.

3. Mwanaume akivurugwa na mchepuko nje/akipigwa matukio, anarudisha majeshi kwa mke, anaonesha mapenzi zaidi na anajisemea "Bora tu nitulie na mke/mpenzi wangu huyu, mana hakuna faida yoyote."

4. Mwanamke akivurugwa na mchepuko, analeta majonzi hadi kwa mwenza wake, anakua na hasira, anakosa furaha, ingawa atajitahidi ku act normal. Mchepuko ukikita mizizi sana unakuwa ndio unaamua hali ya hewa nyumbani.

Au nadanganya ndugu zangu?
 
Mwanamke akitoka nje ya ndoa hutoa mpaka Siri za mmewe na kumponda..

Mwanaume Hata akitoka nje anakuwa na msimamo Ana mke na watoto..na hatoi Siri za ukweli za mkewe.

Mwanamke anatoka nje ya ndoa kwa kuamini kabisa anamkomoa mumewe.

Mwanaume akitoka nje ya ndoa anatoka kuokoa ndoa kwa kuamini amepata sehemu ya kupumzika na kutoa msongo (Stress)

Mwanamke akitoka nje ya ndoa anatoka kwa kuzama kwenye hisia zote, na Hata akirudi ndani bado anatawaliwa na hisia.

Mwanaume akitoka nje anakuwa na akili yake,(Tamaa ya ngono). Ambayo huisha baada ya mshindo. Na akitoka hapo nikama amechaji akili anarudi nyumbani akili imetulia.

Mwanamke hawezi kutoka nje ya ndoa bila kujiandaa, au kujishtukia anaporudi nyumbani.

Mwanaume anaweza kutoka nje ya ndoa Hata akiwa na bukta au kwa mguu, au bila kuoga..

Mwanaume hutumia muda mfupi Sana kutoka nje ya ndoa yake Kama Ni fuska aliyekubuhu.. ukimpoteza dk kumi zinamtosha maana yeye ndiyo kukadiria muda na eneo husika.


Mwanamke hutumia muda mrefu kumzidi mwanaume pale anapotoka nje ya ndoa. Akitumia saa Moja kwa mwanaume ni zngetumika dk 15.

Mambo Ni mengi Ila tofauti zinafika 1000 kwa uzoefu nilio nao.
 
Mwanamke akitoka nje ya ndoa hutoa mpaka Siri za mmewe na kumponda..

Mwanaume Hata akitoka nje anakuwa na msimamo Ana mke na watoto..na hatoi Siri za ukweli za mkewe.

Mwanamke anatoka nje ya ndoa kwa kuamini kabisa anamkomoa mumewe.

Mwanaume akitoka nje ya ndoa anatoka kuokoa ndoa kwa kuamini amepata sehemu ya kupumzika na kutoa msongo (Stress)

Mwanamke akitoka nje ya ndoa anatoka kwa kuzama kwenye hisia zote, na Hata akirudi ndani bado anatawaliwa na hisia.

Mwanaume akitoka nje anakuwa na akili yake,(Tamaa ya ngono). Ambayo huisha baada ya mshindo. Na akitoka hapo nikama amechaji akili anarudi nyumbani akili imetulia.

Mwanamke hawezi kutoka nje ya ndoa bila kujiandaa, au kujishtukia anaporudi nyumbani.

Mwanaume anaweza kutoka nje ya ndoa Hata akiwa na bukta au kwa mguu, au bila kuoga..

Mwanaume hutumia muda mfupi Sana kutoka nje ya ndoa yake Kama Ni fuska aliyekubuhu.. ukimpoteza dk kumi zinamtosha maana yeye ndiyo kukadiria muda na eneo husika.


Mwanamke hutumia muda mrefu kumzidi mwanaume pale anapotoka nje ya ndoa. Akitumia saa Moja kwa mwanaume ni zngetumika dk 15.

Mambo Ni mengi Ila tofauti zinafika 1000 kwa uzoefu nilio nao.
Mwanaume Hata akitoka nje anakuwa na msimamo Ana mke na watoto..na hatoi Siri za ukweli za mkewe.
UONGO [emoji115][emoji115]
Wanaume hutoa siri za mkewe.
 
Mwanaume Hata akitoka nje anakuwa na msimamo Ana mke na watoto..na hatoi Siri za ukweli za mkewe.
UONGO [emoji115][emoji115]
Wanaume hutoa siri za mkewe.
Si kweli,wqnaume hatutoi siri zawake zetu,elewa mwanaume tunatofautisha mapenzi na ngono,ngono tunaweza kuipata muda wowote sehem yoyote kwa mwanamke yoyote,ila mapenz tumeweka sehem moja,mumeo akichepuka haimaanishi hakupendi,akishamwqga tu akili yake inarudi nyumbani,nyie wanawake mmeunganisha mapenz na ngono,mnafanya mapenz na mnaowapenda na mnahisi mwanaume pia akifanya mapenz nje anakuwa hakupend kumbe ni tofauti!!
 
Si kweli,wqnaume hatutoi siri zawake zetu,elewa mwanaume tunatofautisha mapenzi na ngono,ngono tunaweza kuipata muda wowote sehem yoyote kwa mwanamke yoyote,ila mapenz tumeweka sehem moja,mumeo akichepuka haimaanishi hakupendi,akishamwqga tu akili yake inarudi nyumbani,nyie wanawake mmeunganisha mapenz na ngono,mnafanya mapenz na mnaowapenda na mnahisi mwanaume pia akifanya mapenz nje anakuwa hakupend kumbe ni tofauti!!
UONGO. Kuchepuka ni dalili mojawapo ya kukosa Upendo. Mwenye upendo hatendi ambacho hapendi kutendewa iwe sirini au hadharani.
 
Si kweli,wqnaume hatutoi siri zawake zetu,elewa mwanaume tunatofautisha mapenzi na ngono,ngono tunaweza kuipata muda wowote sehem yoyote kwa mwanamke yoyote,ila mapenz tumeweka sehem moja,mumeo akichepuka haimaanishi hakupendi,akishamwqga tu akili yake inarudi nyumbani,nyie wanawake mmeunganisha mapenz na ngono,mnafanya mapenz na mnaowapenda na mnahisi mwanaume pia akifanya mapenz nje anakuwa hakupend kumbe ni tofauti!!
Kweli kabisa

For Women

Sex=Love

For Men

Sex is not necessarily =Love

For Men

Sex =Tamaa

Sex =Kumaliza Upwiru



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke akicheka ni muuji labda tu anayechepuka naye ambane awe respect Kwa mume otherwise mwanamke ni muuaji
 
Nishawahi kumpigia simu mchepuko wa wife kumuomba amtulize maana hali ilikuwa sio shwari home na akanisaidia sana. (JOKES)
 
Back
Top Bottom