Randy orton
JF-Expert Member
- Apr 29, 2019
- 1,338
- 3,561
Sunni.Naomba Nieleweshwe hapa. Hapa nchini, wengi wanafuata upande upi!?
Hapo kwenye hadithi ndio kuna utofauti sasa.Katika uislamu hakuna kundi lilotajwa kisheria (Lililotajwa katika Qur-an) kwamba litaitwa Sunni au Sh'ia na kwamba lipi ni sahih na lipi si sahihi., Kwa mujibu wa mafundisho ya Mtume wetu S.A.W yanatuambia tushikamane na Qur-an na Sunna (Khadithi) za Kiongozi wetu na Mtume wetu S.AW.
Sasa kundi lolote kati ya uliyotaja na usiyoyataja kama watashikamana na hicho nilichokitaja tulichoamrishwa na Mtume wetu S.W.A basi yatakuwa yote ni sawa lakini kama litatokea kundi katika hayo madhehebu wataacha katika hayo hilo kundi tunasema halifai katika uislamu.
Qura-an Suratul Imran Aya 103
وَٱعْتَصِمُوا۟ بِحَبْلِ ٱللَّهِ جَمِيعًۭا وَلَا تَفَرَّقُوا۟ ۚ وَٱذْكُرُوا۟ نِعْمَتَ ٱللَّهِ عَلَيْكُمْ إِذْ كُنتُمْ أَعْدَآءًۭ فَأَلَّفَ بَيْنَ قُلُوبِكُمْ فَأَصْبَحْتُم بِنِعْمَتِهِۦٓ إِخْوَٰنًۭا وَكُنتُمْ عَلَىٰ شَفَا حُفْرَةٍۢ مِّنَ ٱلنَّارِ فَأَنقَذَكُم مِّنْهَا ۗ كَذَٰلِكَ يُبَيِّنُ ٱللَّهُ لَكُمْ ءَايَـٰتِهِۦ لَعَلَّكُمْ تَهْتَدُونَ ١٠٣
And hold firmly to the rope of Allah1 and do not be divided. Remember Allah’s favour upon you when you were enemies, then He united your hearts, so you—by His grace—became brothers. And you were at the brink of a fiery pit and He saved you from it. This is how Allah makes His revelations clear to you, so that you may be ˹rightly˺ guided.
We ndo umemaliza Kila kitu mkuu.Basi tu watu wataleta ubishi usokuwa na maaana.Shida ilianzia kwenye kifo cha bwana mtume Muhammad (s.a.w) sunni wanakubaliana na wale viongozi waliofatia baada ya kifo cha mtume, kuanzia Abubakar, umar, uthman, kisha ali.. Sasa shia wao wanaona kulifanyanyika uhuni ali alinyimwa uongozi, hivyo wao ni wafuasi wa ali.. Hao wengine wanaona ni wazinguaji(tutumie lugha hii mbovu)
Mkuu hiyo Quran unayoijua kwamba Allah sw alimtuma jibril kuipeleka kwa Mtume s.w, Aya zake ndizo zilizosema:-Aya za Qur'an tunajua Allah sw alimtuma jibril kuzipeleka kwa mtume saw,Hadith Allah sw alimtuma malaika gani kwa mtume na kwa nini mtume saw hakuagiza ziandikwe!?...badala yake zimeandikwa miaka 200 baada ya mtume kufariki!?...kwa nini khalifa ummar alizipiga marufuku!?
Mkuu unajua definition ya neno Khadithi katika uislamu? labda tuanzie hapo kwanzaHapo kwenye hadithi ndio kuna utofauti sasa.
Kwani wenye akili si walisharekebisha wadhani kila mtu lazima apite madrasa.Muelewage humu kuna watu wa namna zote.Na kukosea imo
[emoji1787][emoji1787] Kumbe mambo ya nikifa usinizike yalianza zamani sana Duuh.Mie sijaona mantiki ya shia kuwwakataa kina Abubakar, walikuwa ni watu wa karibu saana na mtume, lau kama wangekuwa watu wabaya nadhani asingekuwa nao karibu kiasi hicho, kama sikosei abubakari ndio mtu wa kwanza kuupokea uislam nje ya familia ya mtume.
Watu hawa mtume aliwabashiria pepo.. Mtu yupo duniani na tayari inajulikana anaenda peponi.. Si jambo dogo, mtu ambae hafai kwenye uislam isingekuwa hivi.
Mie naona somi hapa, ni kawaida tu kwa watu kutofautiana, hata huku sunni watu wamegawanyika pia, hata huko shia wamegawanyika ndio unawapata mpaka kina agha khan, na ndio maana nabii alitabiri sikku ya kiama kutakuwa na makundi 70+ ila moja tu ndio la peponi.
Madhari mtume hakuwakataa kina abubakar kwenye uhai wake, basi mimi nani niwakatae baada ya umauti wake.. Saydna uthman aliozwa mabinti wawili wa mtume, alikufa mmoja, akamuozesha mwingine, na mwenyewe mtume alisema kama kungekuwepo na binti mwingine angemuozesha pia.
Lakini pia mttume aliacha listi ya wanafiki, ambao wakifa wasiswaliwe na haya majina hakutoa mtume mwenyewe, alipewa na mwenyezi mungu baada ya mtume kwenda kumzika mtu mmoja kumbe ni mnafiki, ndio hapo Mungu akampa majina ya wanafiki..
Kama kweli Abubakar na wenzie hawakuwa wema, basi wwangekuwepo kwenye ile listi.
Swahaba aliyepewa ile listi nimemsahau... Mtume alimwambia hata nikifa, mtu fulani, fulani na fulani msihangaike kwenda kumswalia.
Weweee nimekurupuka tu, narejea nimekurupuka mbona wengine wamerekebisha bila mbwebwe.Sasa inakuaje mtu ujibu ilihali huna ufahamu na hilo jambo??
Hizi mambo zinataka ukae upate darasa na sio blah blah.
Shida ilianzia kwenye kifo cha bwana mtume Muhammad (s.a.w) sunni wanakubaliana na wale viongozi waliofatia baada ya kifo cha mtume, kuanzia Abubakar, umar, uthman, kisha ali.. Sasa shia wao wanaona kulifanyanyika uhuni ali alinyimwa uongozi, hivyo wao ni wafuasi wa ali.. Hao wengine wanaona ni wazinguaji(tutumie lugha hii mbovu)
Weweee nimekurupuka tu, narejea nimekurupuka mbona wengine wamerekebisha bila mbwebwe.
Issa si Yesu waka Yesu si Issa. Hawana uhusiano wowoteKwanza muamini Mungu mmoja tu ambaye hakuzaa wala kuzaliwa ,wala hana mwana wala anayefanana naye,na amini kiwa muhmaad S.a.w ni mtume wake pamoja na mitume kabla yake issa(Yesu),musa,ibrahm mpka adam kuwa hawa ni mitume wa Mungu wametumwa kuufikisha ujembe mmoja wa kuabudiwa mungu mmoja tu na hawajawahi tofautiana.
then tutakupa utafauti murua wa sunn na shea
karibu sana
Kuruani inayosemekana haijaacha kitu, je haikuona umuhimu wa kumtaja au Kuweka muendelezo wa uongozi Hadi watu wakarakana? Au kuruani haikuwepo ila maneno na Hadithi za Warak bin nawfal Kwa mwamedi ndo yalikuwepo?Siyo sahihi,
NI BAADA YA KUFARIKI SAYYIDNA ALI BUN ABBI TALIB.
Kundi la kwanza kubwa likamtaka Muawwiyah aendeleze uongozi, wakidai pia mtume alisema utume na uongozi haurithiwi.
Na kundi la pili likataka mjukuu wa mtume aendeleze uongozi through bloodline hasa baada ya maswaaba w4 wakuu wa mtume kufariki wote.
AminaKuwa na amani.
Hapo haimaanishi kila neno,ndiyo maana maswahaba walikua wakimuuliza huu ni wahyi au maoni yako,akisema 'nina njaa naombeni tende wake zangu' huo siyo wahyiMkuu hiyo Quran unayoijua kwamba Allah sw alimtuma jibril kuipeleka kwa Mtume s.w, Aya zake ndizo zilizosema:-
إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْيٌ يُوحَىٰ (Anajim Aya 4) ...Hayakuwa anayofanya na kusema Mtume S.A.W isipokuwa ni wahyi kutoka Mwenyezi Mungu (Allah) Ndio maana sisi waislamu ulimwengu mzima tunafanyia kazi maneno na matendo ya Mtume S.A.W (Khadith), tumefata hili agizo kutoka kwenye hiyo Quran ambayo wewe binafsi unakiri kuiamini.
Je unapo mahali Mtume kaagiza Quran iandikwe maana alipokufa ilikuwa bado haijakuwa kwenye mashaf kama ilivyo leo??? na unaikubali vipi ukatae khadithi za Mtume na mienenendo yake kuandikwa?
ww huna unalogua unapelekwa pelekwa tu na ujinga ulionao,waulize viongozi wako wa dini watakwambia ukwel dogo....Issa si Yesu waka Yesu si Issa. Hawana uhusiano wowote
Lakini unakubali kua Yesu alikua anakwenda chooni kukata gogo? (kunya).Acha kumfananisha Yesu na Nabii bandia chief
Ila kwenye ushoga tumetofautiana.Kama PROTESTANTS/ANGLICAN (Anglatère) walivyojichomoa kuupinga utaratibu na mambo ya ROMAN CATHOLICS. Baadaye protestants wakajitokeza LUTHERAN mwasisi akiwa Martin Lutherking (tafakari jina), kuna ORTHODOX (base iko Ussr/Urusi) Wakaendeleza mtifuano na tofauti hadi sasa madhehebu hayaeleweki idadi:
1.....
2.....
3.....
4.....
5.....
6.....
7.....
8.....
9.....
10.….
11.….
Orodha yaweza kuzidi hapo, ila kikubwa nilichokibaliana na wote Islamic&Christian
-Mungu ni mmoja licha ya majina kwa vinasaba vya lugha
-dini zote hazitaji Mungu wa upande wao alikuwa dhebu lipi
-tawasifu za mitume wao zinafanana
-majina kama Nabii Issa/Yesu
-mama wa Issa/Yesu wamekubaliana aliitwa Mariyam/Mariam
-adui wetu ni mmoja Sheikh Twain/shetani
-wote wanahubiri upendo,kusamehe,toba
-wanaamini katika mauti, ufufuo na hukumu
-wamekubaliana uwepo wa pepo na jehanamu
Mengine ni tofauti za kibinadamu kwa maslahi ya kibinadamu
Unaujua ubaya wa mnafiki wewe?[emoji1787][emoji1787] Kumbe mambo ya nikifa usinizike yalianza zamani sana Duuh.
Bora nimekuwa Mkristo najua thamani ya msamaha.