Tofauti ya Sunni na Sh’ia ni ipi hasa?

Hapo kwenye hadithi ndio kuna utofauti sasa.
 
We ndo umemaliza Kila kitu mkuu.Basi tu watu wataleta ubishi usokuwa na maaana.
 
Mkuu hiyo Quran unayoijua kwamba Allah sw alimtuma jibril kuipeleka kwa Mtume s.w, Aya zake ndizo zilizosema:-
إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْيٌ يُوحَىٰ (Anajim Aya 4) ...Hayakuwa anayofanya na kusema Mtume S.A.W isipokuwa ni wahyi kutoka Mwenyezi Mungu (Allah)
Ndio maana sisi waislamu ulimwengu mzima tunafanyia kazi maneno na matendo ya Mtume S.A.W (Khadith), tumefata hili agizo kutoka kwenye hiyo Quran ambayo wewe binafsi unakiri kuiamini.

Je unapo mahali Mtume kaagiza Quran iandikwe maana alipokufa ilikuwa bado haijakuwa kwenye mashaf kama ilivyo leo??? na unaikubali vipi ukatae khadithi za Mtume na mienenendo yake kuandikwa?
 
Pia nimepata kusikia mashia wanaakili na uchumi mzuri na wanasaidiana sana kuliko Suni ni kweli.
 
Kwani wenye akili si walisharekebisha wadhani kila mtu lazima apite madrasa.Muelewage humu kuna watu wa namna zote.Na kukosea imo

Sasa inakuaje mtu ujibu ilihali huna ufahamu na hilo jambo??

Hizi mambo zinataka ukae upate darasa na sio blah blah.
 
[emoji1787][emoji1787] Kumbe mambo ya nikifa usinizike yalianza zamani sana Duuh.

Bora nimekuwa Mkristo najua thamani ya msamaha.
 

Agreed.

Kabla ya Mtume Muhammad (SAW) kufariki, alishawaambia swahaba zake juu ya mtu atakayekua kiongozi baada yake ni Ali(AS).

Lakini mambo yalibadilika baada ya Mtume Muhammad (SAW) kufariki.

Baadhi ya maswahaba walianza mtafaruku mzito sana na tamaa ya kugombania madaraka ilihali walishaachiwa wusia juu ya Ali(AS) ndiye atakuwa kiongozi wa Umma mzima, Lakini walikaidi tena kabla hata ya Mtume Muhammad (SAW) hajazikwa.

“Mimi ni nyumba ya Elimu na Ali(AS) ndiyo mlango wake”- Mtume Muhammad (SAW)

Mtume Muhammad (SAW) aliwahusia maswahaba na watu wengine, wawafuate watu wa nyumba yake(Ahlul Bayt)
 
Issa si Yesu waka Yesu si Issa. Hawana uhusiano wowote
 
Kuruani inayosemekana haijaacha kitu, je haikuona umuhimu wa kumtaja au Kuweka muendelezo wa uongozi Hadi watu wakarakana? Au kuruani haikuwepo ila maneno na Hadithi za Warak bin nawfal Kwa mwamedi ndo yalikuwepo?
 
Hapo haimaanishi kila neno,ndiyo maana maswahaba walikua wakimuuliza huu ni wahyi au maoni yako,akisema 'nina njaa naombeni tende wake zangu' huo siyo wahyi
Ama kwa upande wa Qur'an aliacha imeandikwa,na haijalishi story za kiwaki kwamba ilikua haijakusanywa
QUR'AN 25:5
Na wakasema,hivi ni visa vya watu wa kale alivyoviandikisha,anavyosomewa asubuhi na jioni
 
Acha kumfananisha Yesu na Nabii bandia chief
Lakini unakubali kua Yesu alikua anakwenda chooni kukata gogo? (kunya).
Unakubali kua Yesu alikua anakula, tena mitonge mikubwa kinoma?

Kiufupi Yesu na mimi tofauti zetu ni zama tu, za kuishi hapa Duniani.
 
Ila kwenye ushoga tumetofautiana.
Wakristo wameupokea ushoga, kufikia mpaka kuwapa uchungaji mashoga.

Kwenye uislam shoga haruhusiwi hata kuingia msikitini, tena akigundulika kua ni ndigili ni kumuua tu hakuna jinsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…