Hawa ndo wale wanofungua mpaka uingie usiku kabisaa ni wajinga mno hawa watuKukataa hadithi kuna karibiana zaidi na Kukataa Uislamu na ibada zake nyingi ,niambie wapi kama sio hadithi wametoa maelezo maneno yanatamkwa kwenye swala kuwa ukiwa kwenye Tahyatu useme hivi nk ?
Unapotosha..TOFAUTI IPO:
Kwa kifupi ulisikia SUNNI maana yake wale WAISLAM wanaojinasibisha na kuihuisha Sunnah yaani MAFUNDISHO YA DINI KAMA ALIVYOYAISHI MTUME WA ALLAH REHEMA NA AMANI ZIWE JUU YAKE....
SHIA ilianza kama VUGUVUGU la kisiasa then baadaye kundi hili likawa na misingi yake ya THEOLOGIA na kwa wasomi wengi wa KIISLAM [JAMUHURIL ULAMAAH] wanaliona kundi hili kuwa sii WAISLAM bali ni kama CULT kwa sababu mafundisho yao mengi yapo kinyume na mafundisho ya Mtume wa Allah Rehema na amani ziwe juu yake.
Shia. - BAKWATA
Sunni - BALUKTA
Bila shaka majibu unayajuaHapo umetetea sunni na kuponda shia sisi tunataka kujua tofauti zao na sio ubora wao.
Unatoa maelezo mazuri Ila hiyo avatar yako ni kichefuchefuSHIA wanaamini sehemu kubwa ya Sahaba waliritadi baada ya Mtume Rehema na amani ziwe juu yake
Wanaamini baadhi ya Khulafai Rashdun waliretadi....
BALI wanaamini the HOLY Qur'an [the book read by millions of muslims in the world] is incomplete....
Wanaamini mke wa Mtume wa Allah Rehema na amani ziwe juu yake alimkhini Mtume [Allah atukinge na DHULMA hii]
Kwa upande wa SUNNI ni kinyume chake....
Wewe ndo umetoa muelekeo mzuri na jibu la swali.Shida ilianzia kwenye kifo cha bwana mtume Muhammad (s.a.w) sunni wanakubaliana na wale viongozi waliofatia baada ya kifo cha mtume, kuanzia Abubakar, umar, uthman, kisha ali.. Sasa shia wao wanaona kulifanyanyika uhuni ali alinyimwa uongozi, hivyo wao ni wafuasi wa ali.. Hao wengine wanaona ni wazinguaji(tutumie lugha hii mbovu)
Mbona mikwara mingi sheikh? Mueleze vizuri bila kutumia maneno makali.Acha ujinga ww uko ulipo wapotoshwa na tutakupigeni Raddi mpk umma wote wajue kua Uislamu ni Qur-an na Sunnah
Na ni vuguvugu la kisiasa lililoanza baada ya kuangushwa kwa dola ya kimajusi(zolastrian) ikiitwa safawi,(safavid empire) hii dola ilikuwa na nguvu Sana katika dola kubwa zilizowahi kutawala ulimwengu huu ikiwa pamoja na dola ya kirumi(Byzantine Empire,) ikijulikana pia kwa jina la himaya ya kifursi(Persian Empire) kwa pamoja ndizo zilikuwa dola kubwa kipindi hichoJamuhurul ULAMAAH hujui maana yake mpaka unaniuliza wengi kutoka wapi?
Shia ni kama Mormonism in Christian faith....
Ni Cult anyway;
SHIA ilianza kama VUGUVUGU la kisiasa wakati wa UKHALIFA WA ALIY ALLAH AMRIDHIE baada ya kifo cha HUSSEIN several years later ikaanzishwa THEOLOGIA ya SHIA na kutokana na resentments walizokuwa nazo wakawakufutisha baadhi ya maswahaba wakike na kiume....
Shia nao wana makundi kadhaa kama sikosei Luna makundi 12 ya itikadi za KISHIA wakiwafuata maimamu wao 12....
Ni somo refu
Biblia yenyewe ya katoliki haileweki magumashi mengi ndio waweze kuandika Quran unaumwa wewNdio maana.... Ukatoliki ni baba wa Uislam
This point make sense Hadith mimi nitaunganisha na aya ila Kama haina aya yake hio ni kanjanjaKila kundi Lina hadithi zake za mtume,ndiyo maana wengine hatutaki hadithi sababu ni uzushi wa wahuni kuwatoa waislam kwenye Qur'an, Bilal bin rabah alikua mweusi na miongoni mwa wa mwanzo kusilimu,lakini hakuna Hadith toka kwa Bilal bin rabah...
Leta ayaAgreed.
Kabla ya Mtume Muhammad (SAW) kufariki, alishawaambia swahaba zake juu ya mtu atakayekua kiongozi baada yake ni Ali(AS).
Lakini mambo yalibadilika baada ya Mtume Muhammad (SAW) kufariki.
Baadhi ya maswahaba walianza mtafaruku mzito sana na tamaa ya kugombania madaraka ilihali walishaachiwa wusia juu ya Ali(AS) ndiye atakuwa kiongozi wa Umma mzima, Lakini walikaidi tena kabla hata ya Mtume Muhammad (SAW) hajazikwa.
“Mimi ni nyumba ya Elimu na Ali(AS) ndiyo mlango wake”- Mtume Muhammad (SAW)
Mtume Muhammad (SAW) aliwahusia maswahaba na watu wengine, wawafuate watu wa nyumba yake(Ahlul Bayt)
Asante kitoNitambue lipi kati ya hayo 2?
Yesu ni Mungu?
Ama Yesu ni mwana wa Mungu?
Mafundisho ya mtume ni Qur'an,mwanzo mmetaka nioneshe sala,Sasa mnataka Hajj...maana mkisema hata namna ya kutia udhu hakuna kwenye Qur'an,historia ya mtume ni kazaliwa Makkah kafia Madina,ni mwarabu,alimuoa bi Khadija,alifariki 633ad,haya unataka nini kwenye historia yake,kuoa,kuzaa!?..havipo kwenye Qur'an!?Upumbavu wa SGR huu yni hutaki kujua mtume wako katoka wapi ety sio Uislamu pumbavu kabisaaa embu nioneshe jinsi ya kuhiji kwa Qur-an tu
Na lau ukipta jinsi ya kuhiji ndani ya Qur-an pekee mm nakua mfuasi wenu sasa ivi
Ety unakataa maisha ya mtume sasa utajuaje mafundisho yake
Ah mda mwingine nyie watu m naona akili zenu zimefyonzwa na hao wajinga wenzenu
Hadithi sahihi zipo
Hadithi hassan zipo
Hadithi za kutunga zipo na zinajulikana
Mtume hawezi toa wosia nje ya Qur'an,huo wosia uliotoa kila mtu ana wake,wengine wanasema wanasema Sunna na ahlul bayt,ama vitenguzi vya udhu vipo kwenye Qur'an Kama kuingiliana kimwili na wanawake na kwenda chooni,tatizo hamsomiUmejitahidi kwa uwezo wako kijana
Katika udhu kuna vitenguzi vyake na mipaka ya viungo vya udhu na fadhila za udhu naona hizi hujanionesha kwenye Qur-an
Acha ujinga ww uko ulipo wapotoshwa na tutakupigeni Raddi mpk umma wote wajue kua Uislamu ni Qur-an na Sunnah
Ikiwa unakataa hadithi utatwambia nn kuhusu wosia wa mtume kua tushikamane na Sunnah zake na Sunna za makhalifa wake waongofu
Swahaba gani alimuuliza Mtume S.A.W huu ni wahyi au maoni yako., Lete hem khadithi japo ya mstari mmoja.,, maana Quran ndio imeshuka hiyo kueleza kwa kila alichokifanya Mtume S.A.WHapo haimaanishi kila neno,ndiyo maana maswahaba walikua wakimuuliza huu ni wahyi au maoni yako,akisema 'nina njaa naombeni tende wake zangu' huo siyo wahyi
Aliacha imeandikwa kwenye kitu gani fungua hemu vizuri., uislamu umekuja na dalili na kila kitu kipo waziAma kwa upande wa Qur'an aliacha imeandikwa,na haijalishi story za kiwaki kwamba ilikua haijakusanywa
QUR'AN 25:5
Na wakasema,hivi ni visa vya watu wa kale alivyoviandikisha,anavyosomewa asubuhi na jioni
Palikua na makaratasi,asikwambie mjinga yeyote kwamba Qur'an iliandikwa kwenye mifupa,mawe sijui vitu ganiSwahaba gani alimuuliza Mtume S.A.W huu ni wahyi au maoni yako., Lete hem khadithi japo ya mstari mmoja.,,
Aliacha imeandikwa kwenye kitu gani fungua hemu vizuri., uislamu umekuja na dalili na kila kitu kipo wazi
Quran kukusanywa kama masahafu ulivyo (leo) ukitoa makaratasi na vipande vya ngozi ambavyo vlikuwa mbali mbali ambapo Mtume S.A.W akimuamrisha muandishi aandikePalikua na makaratasi,asikwambie mjinga yeyote kwamba Qur'an iliandikwa kwenye mifupa,mawe sijui vitu gani
Haya unasema wewe,Qur'an 25:5 na Aya zingine hazisemi hivyo,Aya zinawapa changamoto(challenge) waliokua hawaamini Qur'an imetoka kwa Allah sw basi walete walau 'surah' moja waliyotunga wao ikiwa mtume anazua,kwa hiyo tangu mtume saw palikua na sura za Qur'an tofauti na upuuzi tunaambiwa ilikusanywa katika mfumo huu baada ya mtume kuondokaQuran kukusanywa kama masahafu ulivyo (leo) ukitoa makaratasi na vipande vya ngozi ambavyo vlikuwa mbali mbali ambapo Mtume S.A.W akimuamrisha muandishi aandike