Naomba mjadala wetu tuishie hapa kama msahafu ulivyo leo ni upuuzi.,Haya unasema wewe,Qur'an 25:5 na Aya zingine hazisemi hivyo,Aya zinawapa changamoto(challenge) waliokua hawaamini Qur'an imetoka kwa Allah sw basi walete walau 'surah' moja waliyotunga wao ikiwa mtume anazua,kwa hiyo tangu mtume saw palikua na sura za Qur'an tofauti na upuuzi tunaambiwa ilikusanywa katika mfumo huu baada ya mtume kuondoka
Hao watu ni wapotoshaji mnoo lazima wakemewe kwa nguvu zoteMbona mikwara mingi sheikh? Mueleze vizuri bila kutumia maneno makali.
MWAMBIE YESU SIO MUNGU HATA HUO UBANDIA HAKUWA NAO PIA.Lakini unakubali kua Yesu alikua anakwenda chooni kukata gogo? (kunya).
Unakubali kua Yesu alikua anakula, tena mitonge mikubwa kinoma?
Kiufupi Yesu na mimi tofauti zetu ni zama tu, za kuishi hapa Duniani.
Soma na ueleweSadala wetu tuishie hapa kama msahafu ulivyo leo ni upuuzi.,
Tumuombe Allah S.W.T atuongoze zaid na zaidi kuijua dini yetu Insh Allah. Amin
Kama hujui kitu ni bora ukatulia tu, wenye kujua wakakujulisha.Shia. - BAKWATA
Sunni - BALUKTA
li alinyimwa uongozi? mbona umemtaja hapo juu kwamba sunni wanakubali alikua kiongozi waoShida ilianzia kwenye kifo cha bwana mtume Muhammad (s.a.w) sunni wanakubaliana na wale viongozi waliofatia baada ya kifo cha mtume, kuanzia Abubakar, umar, uthman, kisha ali.. Sasa shia wao wanaona kulifanyanyika uhuni ali alinyimwa uongozi, hivyo wao ni wafuasi wa ali.. Hao wengine wanaona ni wazinguaji(tutumie lugha hii mbovu)
alimkhini ndio umemaanisha nini kwa kiswahiliSHIA wanaamini sehemu kubwa ya Sahaba waliritadi baada ya Mtume Rehema na amani ziwe juu yake
Wanaamini baadhi ya Khulafai Rashdun waliretadi....
BALI wanaamini the HOLY Qur'an [the book read by millions of muslims in the world] is incomplete....
Wanaamini mke wa Mtume wa Allah Rehema na amani ziwe juu yake alimkhini Mtume [Allah atukinge na DHULMA hii]
Kwa upande wa SUNNI ni kinyume chake....
Bakwata ni Sunni sio Shia.Waislamu wa Bakwata wanafuata Sunni au shia?
Lkn pia Kuna wale waislamu wanaoitwa answar Sunnah, wale wenye uhakika wa muandamo wa mwezi bila kkuona, wale wako pande zipi?
Imam Hussein ni dhehebu la wapi ndugu?Madhehebu ya Kiislam yapo zaidi ya 70, mbona umeuliza hayo tu Sheikh na sio Sallafi, Imam Hussein n.k?
Sasa Hasira na Matusi ya nini? Mnapenda sana mambo ya Chupi ndio maana yapo akilini mwako sio? [emoji23]Kama hujui kitu ni bora ukatulia tu, wenye kujua wakakujulisha.
Sio kujipitisha pitisha na kichupi mkononi.
Answar Sunni sio ndio wanaofuata Sinna za Mtume Muhammad (S.A.W)Waislamu wa Bakwata wanafuata Sunni au shia?
Lkn pia Kuna wale waislamu wanaoitwa answar Sunnah, wale wenye uhakika wa muandamo wa mwezi bila kkuona, wale wako pande zipi?
Hili ni tatizo kwenye mijadala, tunaweza kujadili bila kashfa na mtu kam mjdala huutaki unakaa pembeni. Tusiwashambulie na dhihak wenzetu wenye tofauti ya kiimaniNarudia tena acha kumfananisha Yesu na mtu aliyepewa utume na mkewe tena marioo.
Tofautisha kati ya dhebu la Sunni na Ansaar Sunni mkuu.Answar Sunni sio ndio wanaofuata Sinna za Mtume Muhammad (S.A.W)
Bakwata wapo wanaofuata sunna na wengine hawafuati, wengi ni Shia
Hao Answar sana misikiti yao ila pia wanaweza kuswali ktk msikiti wowote na hali kadhalika hao Shia
Muawiyya hakuwa khalifa wakati wa Alliy.Ugomvi ulianza kwa Ali na Muawiyah,ukaendelea kwa watoto wao baada ya wao kufa
Muawiyah alikua gavana wa damashq(Damascus),alitakiwa kutoa baia(utambuzi/twaa') kwa ali,iliposhindikana baada ya mzozo damashq ikawa Dola yake na akawa khalifa badala ya gavanaAlipoondoka Alliy muawiyya ndo akapewa ukhalifa.
Wafuasi wa hussein wakapinga
Ikawaje na Hussein ?Niyya hakuwa khalifa wakati wa Alliy.
Muawiyah alikua gavana wa damashq(Damascus),alitakiwa kutoa baia(utambuzi/twaa') kwa ali,iliposhindikana baada ya mzozo damashq ikawa Dola yake na akawa khalifa badala ya gavana