ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
ID yako unaitendea haki😂Tuendelee na uzi au tuachane nao 😄😄😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ID yako unaitendea haki😂Tuendelee na uzi au tuachane nao 😄😄😂
Risiti uwa zinatunzwa na usiku wa deni uwa aukawii kucha, Sasa mmekaa mahali penu ngoja tuone mtafika wapi wenzenu walifika fainali na nyie mfike Kama kweli ni looser cup mliyomo!Kabla ya yote niseme tu mitego ya Nabi, Mr. Robertihno ndio akili kubwa ya kuitegua. ilifika muda Nabi anashindwa afanye nini na bado ndio Robertihno anasoma Ligi 😆😆😆.
Tuachane na hilo, Yanga wajue Simba sio level zao, vitimu vibovu bovu wanavyovifunga huko shirikisho wanavimba kuwa wapo vizuri kuliko Simba ni kukosa adabu. Yanga angecheza na Raja angekula 7 Kwa Mkapa kule Uarabuni angekula 10.
Leo Simba anapambana na giants wa Afrika kama Mamelod, Al Ahly, Wydad n.k timu ambazo Utopolo hawezi kutia mguu.
Tuliwapelekea moto Horoya, Utopolo mkasema Horoya wadhaifu na wabovu leo tumewapelekea moto, tulikuwa tunakuja km nyuki mmepoteana na mlitakiwa mle goli 5. Je, mmekubali na nyie wadhaifu?
Hiyo ligi yenu ya Vilaza na kina Rivers sijui Monastri Simba akija huko anachukua Hilo kombe asubuhi tu.
Tunawakubusha tu Ligi Kuu bado mbichi sana.
😄😄😄ID yako unaitendea haki😂