Tofauti ya trector za kichina na hizi massey ferguson john deere.... ni ipi hasa!!

Tofauti ya trector za kichina na hizi massey ferguson john deere.... ni ipi hasa!!

Hii thread imenifanya nikakumbuka trekta aina ya KUBOTA. Miaka 50 na bado inapiga kazi
 
Kwa uzoefu wangu, wa miaka miwili na John Deer na kilimo kwa ujumla.

Ni hivi, wakulima hununua trekta kwa mkopo yaani mfano kama gharama halisi ni mil 40 mkulima analipa 10 au 15 hivi then trekta inafanya kazi na kujilipa yenyewe.

lakin pia unaweza ukapata trekta John Deer used hata kwa mill 10 tu hadi 8.

muhimu uwe na fundi mzoefu akukagulie

John Deer 2130 ndiyo nzuri achana na hizi mpya.

pia New Holland na Swaraji na Maasay za Mwingereza.

pita mbali na Farm Truck, John Deer New model za india. Achana kabisa na Maasay ya pakistan au matrekta ya mchina.

ila ukipata ford au Fiat ziko poa.

Ila John Deer 2130 old model, Fiat na New holand ni kiboko yao.

So si lazima kununua mpya na si lazima kununua kash kama bomba dia
mkuu unajua chuna , mwingereza ndo mtamu wa MF na inaweza piga kazi 24hrs bila shida kwa muda mrefu ila huyo mchina utamtumia ila ukimpigisha 24hrs hatochukua muda mrefu utaona oil inaanza kuvuja
 
nimekupata ndugu sas hizo john deere used nawaza kuzipata wapiii hapa hapa bongo??
yan inakua imetumia uk au wap mkuu
unaweza kupata toka UK pia kunawabongo husafirisha nakuja kuuza huku
 
mkuu inatagemea brand na model za trekta ila 50mil unapata MF nzuri kubwa jembe na trela lake

50mil mbn palefu mkuu me nilitegemea kweny about 20 mil.....!!
 
Hii thread imenifanya nikakumbuka trekta aina ya KUBOTA. Miaka 50 na bado inapiga kazi
Valmet nzovwe Mbeya kuna mangi mmoja alikua analitembeza km ferarri vile.
Full mikwaju ukiunga vumbi basi mzuka akianza kutafuna gia hapo anaelekea swaya kuchukua mzigo wa mahindi.
Utamnunulia mirinda mwenyeewe
 
Nunua Massey Ferguson,natumia 165 mwaka wa 27,ila kiboko yake 390 bhana achana na hiyo mashine trekta zingine takataka
 
Mkubwa mleta uzi usipende vitu vya bei rahisi au vya kichina. Chukua MF 165 au MF 290, hivi vyuma ni shida. Ingia gharama mara m
 
mkuu unajua chuna , mwingereza ndo mtamu wa MF na inaweza piga kazi 24hrs bila shida kwa muda mrefu ila huyo mchina utamtumia ila ukimpigisha 24hrs hatochukua muda mrefu utaona oil inaanza kuvuja



Ni kweli
 
habar wadau , habari za sikunyingii
hatimae JF yetu imerudiii [emoji28][emoji28][emoji28]

twende kwenye mada wakuu.

binafsi nimekua nina interest kubwa ya kumiliki trector walau 2 tu while nikifanya mishe mishe zangu town naamini ntafika ninapo pata kwa haraka zaid sas shida ni kuusu hizi trector za kichina hivi zina tatizo gan mana ni cheap sana.. unakuta trector ina uzwa us dolla 3500 na trector ni mpya yaan 0 kilometer 4wd hp 85 hapo hapo ukija upande wa pili huku kwa kina john deere trector 4wd hp 85 bei yake hugusii yan ni pesa ndefu ambayo kwa usawa huu wa magu kijana kama mimi kupata hio pesa inakua ni mazoeziii


ombii kwa wataalam tofaut hasa ni ipiii
kwan hizi trector za kichina haina uwezo kwa kulima walau eka 15 per day??

mana izo massey zipo naziona mtandaon had dollar 3500 sas shida ni kweli zinauzwa bei hio mana USA ni mbali na actually siamini hizi mitandaoView attachment 800264View attachment 800265View attachment 800266


izi massey ni bei yke kwel au fixx binafs nilifikilia nikanunue tu trector za kichina mana ni cheap sanaaa



naomben ushauli kabla cjapotea wadau...
kama MF bei yake ni $2500
Basi ningezituma zamani hata kumi
Uhalisia upo kwa kwenye autotrader uk
 
IMG_5915.JPG
tunakatishana tamaa kizembe trector si izi za bei pow [emoji28][emoji28]
 
ahaa inawezekana mkuu ila kwa MF 135 old model maana hatamie niliwahi ona internatinal imejichokea na old model million 5
 
ahaa inawezekana mkuu ila kwa MF 135 old model maana hatamie niliwahi ona internatinal imejichokea na old model million 5

ndio mzee unachukua hio unajipiga piga nalo ukipata ela kidog unaongeza anaagiza jipya
 
Back
Top Bottom