Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... these kind of statements! Mnakosea sana.usifaninishe wachaga na vitu vya ajabu ajabu wewe
Ntake radhiwewe ndio nikuulize kama umesahau kuwa wachaga na wapare ni watani..
au hujui..
Wapare na wachaga ni watani.... these kind of statements! Mnakosea sana.
... tatizo umechagua kauli ambayo badala ya kulenga faida za utani, imelenga hasara zaidi. Sio kila kauli inafaa kwa utani. Kauli yako inalenga kusababisha ugomvi na kuvunjiana heshima katika jamii. Hilo sio lengo la utani.wapare na wachaga ni watani.
Wachaga na wapare wanatokea mkoa wa Kilimanjaro hizi ndo baadhi ya tofauti zao
Ubahili
Wachaga na wapare ni wabihili, Ila mchaga ni mbahili kama aingizi ela, Ila ubahili wa wapare umeezidi mpaka umeenda kwenye uchoyo
Pride
Wapare wanapride anaweza akawa zaid ya makabila yote Tanzania, mpare anaweza akawa na ndugu wa kuzaliwa akawa na hela na yeye akaendelea kupambana na umaskini wake yaani maksudi hataki msaada, tofauti na wachaga akitokea ndugu ana ela ataabudiwa
Kuishi na watu
Mchaga ni mbaguzi kiasili mtu ambaye sio mchaga anamdharau au anmchukulia poa sana, labda uwe umemzidi elimu, au kipato ataishi na wewe vizuri Ila kinafki, au uwe unamletea faida ya ela kwake utaishia nae vizuri, tofauti na hapo mchaga atakudharau sana, mpare tofauti na mchaga anaishi na watu vizuri
Ulozi
Ukienda uparen utakutana na vimsitu vidogo vidogo vingi vile vimsitu ni madhabau ambayo ndani yake utakuta vyungu ambavyo ndani yake Kuna mafuvu ya mababu zao na nikaribia kila ukoo Wana hizi sehemu za matambiko in short mpare kwa uchawi hayuko nyuma, mchaga uchawi ni kama wamenunua Ila kiasili sio sana
Wanawake
Ukioa mpare inabidi ujipange kisawasawa ukikaa vibaya utakuta unasaidia upande wa mke alafu ndugu Zako wako hoi bin taaban, kwa wachaga wanawake ambao ni tishio ni kutoka old Moshi wale hawafai wako kimaslahi sana mfano wanawake wa kimachame sio wabaya kama watu walivyoaminishwa.
Mapenzi
Wachaga sio wanawake au Wanaume hawajui mapenzi Ila mitandao hii na kuishi mijini kunawasaidia, Ila mchaga aliyezaliwa manushi, shimbwe, nkwarungo, au olele huko hajui mapenzi, tofauti na wapare wao wanajitahidi
Ukoloni na unoko
Ogopa sana umkute Mzee wa kipare aliyesoma ni wanoko balaa hawapendi short cut yaani hata mtoto wake anamkazia ni watu wanaoamini unatakiwa upambane ndo maana wapare hawajaendelea kama wachaga kwa sababu hawana utamaduni wa kusaidiana,
Ujanja ujanja
Wachaga ni wajanja mbaya mno ukikaa vibaya anakutoa ela Ili apate ela na ni ruthless watu ambao hawajali chochote yeye, wapare wanapenda kutumia njia halali ndo maana ni ngumu kukuta wameendelea wanamaisha ya kawaida kinachowaponza ni kupenda kuwa waaminifu
Kupenda kwao
Wachaga wanapenda kwa kwa sababu uchagani ni kuzuri Kuna miundombinu yote ya kijamii karibia kila nyumba imepitwa na Barabara na Ina maji ya Bomba, uparen ya kusin ni kubaya kama same uende chome kule hakutamaniki, uparen ya kaskazin (usangi na ugweno) ni kuzuri sababu nao wanabarabara ya lami wamshukuru sana Msuya na kidogo hakuna milima sana sehemu nyingi zinafikika tofauti na uparen ya kusini, alafu pia watu wanatumia maji ya Bomba sababu wako waliojiongeza wamejenga visima.
Karibuniiiisa
Same ingebaki Tanga, Mpare angebaki na ukaribu na msambaa wa Tanga,Wachaga na wapare wanatokea mkoa wa Kilimanjaro hizi ndo baadhi ya tofauti zao
Ubahili
Wachaga na wapare ni wabihili, Ila mchaga ni mbahili kama aingizi ela, Ila ubahili wa wapare umeezidi mpaka umeenda kwenye uchoyo
Pride
Wapare wanapride anaweza akawa zaid ya makabila yote Tanzania, mpare anaweza akawa na ndugu wa kuzaliwa akawa na hela na yeye akaendelea kupambana na umaskini wake yaani maksudi hataki msaada, tofauti na wachaga akitokea ndugu ana ela ataabudiwa
Kuishi na watu
Mchaga ni mbaguzi kiasili mtu ambaye sio mchaga anamdharau au anmchukulia poa sana, labda uwe umemzidi elimu, au kipato ataishi na wewe vizuri Ila kinafki, au uwe unamletea faida ya ela kwake utaishia nae vizuri, tofauti na hapo mchaga atakudharau sana, mpare tofauti na mchaga anaishi na watu vizuri
Ulozi
Ukienda uparen utakutana na vimsitu vidogo vidogo vingi vile vimsitu ni madhabau ambayo ndani yake utakuta vyungu ambavyo ndani yake Kuna mafuvu ya mababu zao na nikaribia kila ukoo Wana hizi sehemu za matambiko in short mpare kwa uchawi hayuko nyuma, mchaga uchawi ni kama wamenunua Ila kiasili sio sana
Wanawake
Ukioa mpare inabidi ujipange kisawasawa ukikaa vibaya utakuta unasaidia upande wa mke alafu ndugu Zako wako hoi bin taaban, kwa wachaga wanawake ambao ni tishio ni kutoka old Moshi wale hawafai wako kimaslahi sana mfano wanawake wa kimachame sio wabaya kama watu walivyoaminishwa.
Mapenzi
Wachaga sio wanawake au Wanaume hawajui mapenzi Ila mitandao hii na kuishi mijini kunawasaidia, Ila mchaga aliyezaliwa manushi, shimbwe, nkwarungo, au olele huko hajui mapenzi, tofauti na wapare wao wanajitahidi
Ukoloni na unoko
Ogopa sana umkute Mzee wa kipare aliyesoma ni wanoko balaa hawapendi short cut yaani hata mtoto wake anamkazia ni watu wanaoamini unatakiwa upambane ndo maana wapare hawajaendelea kama wachaga kwa sababu hawana utamaduni wa kusaidiana,
Ujanja ujanja
Wachaga ni wajanja mbaya mno ukikaa vibaya anakutoa ela Ili apate ela na ni ruthless watu ambao hawajali chochote yeye, wapare wanapenda kutumia njia halali ndo maana ni ngumu kukuta wameendelea wanamaisha ya kawaida kinachowaponza ni kupenda kuwa waaminifu
Kupenda kwao
Wachaga wanapenda kwa kwa sababu uchagani ni kuzuri Kuna miundombinu yote ya kijamii karibia kila nyumba imepitwa na Barabara na Ina maji ya Bomba, uparen ya kusin ni kubaya kama same uende chome kule hakutamaniki, uparen ya kaskazin (usangi na ugweno) ni kuzuri sababu nao wanabarabara ya lami wamshukuru sana Msuya na kidogo hakuna milima sana sehemu nyingi zinafikika tofauti na uparen ya kusini, alafu pia watu wanatumia maji ya Bomba sababu wako waliojiongeza wamejenga visima.
Karibuniiii
Umeshindwa kujua unapofanya uchambuzi wa jamii yeyote ni mambo gani unatakiwa kuyaelezea katika dondoo zako. Kwanza ungeanza na utangulizi unaoelezea hayo makabila mawili yalianzia wapi hadi yakafikia hapo. Kwa upande huo unapata alama sifuri.Wachaga na wapare wanatokea mkoa wa Kilimanjaro hizi ndo baadhi ya tofauti zao
Ubahili
Wachaga na wapare ni wabihili, Ila mchaga ni mbahili kama aingizi ela, Ila ubahili wa wapare umeezidi mpaka umeenda kwenye uchoyo
Pride
Wapare wanapride anaweza akawa zaid ya makabila yote Tanzania, mpare anaweza akawa na ndugu wa kuzaliwa akawa na hela na yeye akaendelea kupambana na umaskini wake yaani maksudi hataki msaada, tofauti na wachaga akitokea ndugu ana ela ataabudiwa
Kuishi na watu
Mchaga ni mbaguzi kiasili mtu ambaye sio mchaga anamdharau au anmchukulia poa sana, labda uwe umemzidi elimu, au kipato ataishi na wewe vizuri Ila kinafki, au uwe unamletea faida ya ela kwake utaishia nae vizuri, tofauti na hapo mchaga atakudharau sana, mpare tofauti na mchaga anaishi na watu vizuri
Ulozi
Ukienda uparen utakutana na vimsitu vidogo vidogo vingi vile vimsitu ni madhabau ambayo ndani yake utakuta vyungu ambavyo ndani yake Kuna mafuvu ya mababu zao na nikaribia kila ukoo Wana hizi sehemu za matambiko in short mpare kwa uchawi hayuko nyuma, mchaga uchawi ni kama wamenunua Ila kiasili sio sana
Wanawake
Ukioa mpare inabidi ujipange kisawasawa ukikaa vibaya utakuta unasaidia upande wa mke alafu ndugu Zako wako hoi bin taaban, kwa wachaga wanawake ambao ni tishio ni kutoka old Moshi wale hawafai wako kimaslahi sana mfano wanawake wa kimachame sio wabaya kama watu walivyoaminishwa.
Mapenzi
Wachaga sio wanawake au Wanaume hawajui mapenzi Ila mitandao hii na kuishi mijini kunawasaidia, Ila mchaga aliyezaliwa manushi, shimbwe, nkwarungo, au olele huko hajui mapenzi, tofauti na wapare wao wanajitahidi
Ukoloni na unoko
Ogopa sana umkute Mzee wa kipare aliyesoma ni wanoko balaa hawapendi short cut yaani hata mtoto wake anamkazia ni watu wanaoamini unatakiwa upambane ndo maana wapare hawajaendelea kama wachaga kwa sababu hawana utamaduni wa kusaidiana,
Ujanja ujanja
Wachaga ni wajanja mbaya mno ukikaa vibaya anakutoa ela Ili apate ela na ni ruthless watu ambao hawajali chochote yeye, wapare wanapenda kutumia njia halali ndo maana ni ngumu kukuta wameendelea wanamaisha ya kawaida kinachowaponza ni kupenda kuwa waaminifu
Kupenda kwao
Wachaga wanapenda kwa kwa sababu uchagani ni kuzuri Kuna miundombinu yote ya kijamii karibia kila nyumba imepitwa na Barabara na Ina maji ya Bomba, uparen ya kusin ni kubaya kama same uende chome kule hakutamaniki, uparen ya kaskazin (usangi na ugweno) ni kuzuri sababu nao wanabarabara ya lami wamshukuru sana Msuya na kidogo hakuna milima sana sehemu nyingi zinafikika tofauti na uparen ya kusini, alafu pia watu wanatumia maji ya Bomba sababu wako waliojiongeza wamejenga visima.
Karibuniiii
Labda kama haujui utani wa hawa watu, au labda haujawahi kusikia maneno tunayoambianaga..... tatizo umechagua kauli ambayo badala ya kulenga faida za utani, imelenga hasara zaidi. Sio kila kauli inafaa kwa utani. Kauli yako inalenga kusababisha ugomvi na kuvunjiana heshima katika jamii. Hilo sio lengo la utani.
Kausha mwanangu, si unajua jamaa anajua kuzichezea tunguli,
Upareni kuna misitu sio vimsituWachaga na wapare wanatokea mkoa wa Kilimanjaro hizi ndo baadhi ya tofauti zao
Ubahili
Wachaga na wapare ni wabihili, Ila mchaga ni mbahili kama aingizi ela, Ila ubahili wa wapare umeezidi mpaka umeenda kwenye uchoyo
Pride
Wapare wanapride anaweza akawa zaid ya makabila yote Tanzania, mpare anaweza akawa na ndugu wa kuzaliwa akawa na hela na yeye akaendelea kupambana na umaskini wake yaani maksudi hataki msaada, tofauti na wachaga akitokea ndugu ana ela ataabudiwa
Kuishi na watu
Mchaga ni mbaguzi kiasili mtu ambaye sio mchaga anamdharau au anmchukulia poa sana, labda uwe umemzidi elimu, au kipato ataishi na wewe vizuri Ila kinafki, au uwe unamletea faida ya ela kwake utaishia nae vizuri, tofauti na hapo mchaga atakudharau sana, mpare tofauti na mchaga anaishi na watu vizuri
Ulozi
Ukienda uparen utakutana na vimsitu vidogo vidogo vingi vile vimsitu ni madhabau ambayo ndani yake utakuta vyungu ambavyo ndani yake Kuna mafuvu ya mababu zao na nikaribia kila ukoo Wana hizi sehemu za matambiko in short mpare kwa uchawi hayuko nyuma, mchaga uchawi ni kama wamenunua Ila kiasili sio sana
Wanawake
Ukioa mpare inabidi ujipange kisawasawa ukikaa vibaya utakuta unasaidia upande wa mke alafu ndugu Zako wako hoi bin taaban, kwa wachaga wanawake ambao ni tishio ni kutoka old Moshi wale hawafai wako kimaslahi sana mfano wanawake wa kimachame sio wabaya kama watu walivyoaminishwa.
Mapenzi
Wachaga sio wanawake au Wanaume hawajui mapenzi Ila mitandao hii na kuishi mijini kunawasaidia, Ila mchaga aliyezaliwa manushi, shimbwe, nkwarungo, au olele huko hajui mapenzi, tofauti na wapare wao wanajitahidi
Ukoloni na unoko
Ogopa sana umkute Mzee wa kipare aliyesoma ni wanoko balaa hawapendi short cut yaani hata mtoto wake anamkazia ni watu wanaoamini unatakiwa upambane ndo maana wapare hawajaendelea kama wachaga kwa sababu hawana utamaduni wa kusaidiana,
Ujanja ujanja
Wachaga ni wajanja mbaya mno ukikaa vibaya anakutoa ela Ili apate ela na ni ruthless watu ambao hawajali chochote yeye, wapare wanapenda kutumia njia halali ndo maana ni ngumu kukuta wameendelea wanamaisha ya kawaida kinachowaponza ni kupenda kuwa waaminifu
Kupenda kwao
Wachaga wanapenda kwa kwa sababu uchagani ni kuzuri Kuna miundombinu yote ya kijamii karibia kila nyumba imepitwa na Barabara na Ina maji ya Bomba, uparen ya kusin ni kubaya kama same uende chome kule hakutamaniki, uparen ya kaskazin (usangi na ugweno) ni kuzuri sababu nao wanabarabara ya lami wamshukuru sana Msuya na kidogo hakuna milima sana sehemu nyingi zinafikika tofauti na uparen ya kusini, alafu pia watu wanatumia maji ya Bomba sababu wako waliojiongeza wamejenga visima.
Karibuniiii
😁😁😁Hata kabla sijamuita keshahisikausha mwanangu, si unajua jamaa anajua kuzichezea tunguli,
asije akaenda kunilimisha tangawizi
Wanawake wa old Moshi ni hatari kuliko wanawake wa jamii nyingine za kichaga, wanawake wa old Moshi hapana aiseeWanawake wa Old Moshi mpooo pokeeni salam zangu mimi shemeji yenu nawapa hongera sana kwa kuwa makauzu kuliko wamachame
Hawatofautian sababu ni majiran ni kama wazaramo na wandengerekoWote wabaya sana hawatofautiani labda ni kimo tu