Tofauti ya Watanzania na Wamalawi, Wazambia na Wakenya iko kwenye vitu vikuu vitatu.

Hasira za Umaskini zinatokana na ukosefu wa huduma za Msingi. 1.Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ Barabara zimeboreshwa mpaka Mkenya amekili MkekA upo....
2.Tanzania elimu ni Buree std 1- Form 4.. Ulizia hizo nchi zako..
3. Tanzania ndio nchi ktk Afrika tumepeleka Advanced Diagnosis kama MRI; CT scan katika level za MikoA..
4.Tanzania tumefanya Maboresho katika specialized hospital ikiwemo JKI; MOI kuliko nchi nyingi za AfrikA!!!
 
Hakuna sehemu Mzawa kazuiwa kumiliki Uchumi kinachotakiwa ni kusomesha Vijana katika mambo ya Uchumi angalia Familia za Kihindi na Kiarabu Wazee wao wakifariki Mali haifilisiki lakini sisi Waafrika Mzee akifariki na hiyo Mali yote inafikisika.
Tatizo Bata za kijinga na elimu ya ujasiriamali ni sifuri.
 
Nchi ya watu milioni 70 na GDP ya 75 billion, ni maskini sana
 
Hizo nchi zote nimeka ni kweli
Kabisa mleta mada unachosema
Hujakosea

Ova
 
Nimeipenda hii
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Wewe binafsi umewahi kufanya jambo gani linaloashiria kwamba sio muoga wala mpumbavu?
Ukiachilia mbali kuanzisha threads humu jf!
 
Naunga mkono hoja. Uoga, upumbavu na umaskini ndivyo vinavyoimaliza Tanzania. Mungu waamshe Watanzania wote lakini pia waondolee kabisa uoga.
 
jamani nimecheka balaa...dahπŸ™Œ
 
Na lazima upumbavu na ujinga unaounadi hapa utakuwa umeanzia kwa baba na mama (yako).Wewe umerithishwa.
 
Umesema ya moyoni, hakika kabisa, angalia budget yetu, kuna mtu aliyehoji? Ni watu tu wa "ndio mzee " basi twende kwenye kauli ya professor Lumumba "we elect fools to the office " ukipewa tu kitu kidogo unamuweka mtu wa kukuletea matatizo kwa miaka 5.
 
mtajikuta wa4 tu..majitu maoga mno..we soma COmments za watz kwa wakenya hadi unabaki kushangaa hii nchi HOVYO MNO MNO
Kama Watanzania Maisha ya kushindia Kahawa chungu na kushinda Vijiweni na kulalamika tu basi tusubiri Vizazi vijavyo vije viikomboe Nchi hii.
 
WATU WASIOJULIKANA KAMA NAONA VILE.... πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
πŸƒβ€β™‚οΈπŸ’₯πŸ’¨
 
Shida kuna watu wanataka watimiziwe ndoto zao,,,,,,mlio na ndoto za maandamano kama ya Kenya ingieni tu ground..........mtatukana yote ila hakuna mtu wa kuwafanyia kazi zenu chafu zaidi ya nyie wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…