Tofauti ya Watanzania na Wamalawi, Wazambia na Wakenya iko kwenye vitu vikuu vitatu.

Hakuna sehemu Mzawa kazuiwa kumiliki Uchumi kinachotakiwa ni kusomesha Vijana katika mambo ya Uchumi angalia Familia za Kihindi na Kiarabu Wazee wao wakifariki Mali haifilisiki lakini sisi Waafrika Mzee akifariki na hiyo Mali yote inafikisika.
Fikra za wengi walio kwenye madaraka ndiyo changamoto, zinafanana na zako pia.
Ufisadi mkubwa hufanyika kupitia hao hao unaoamini hawafilisiki. Kwa hiyo indirectly hutumia fedha za uma na kutumia advantage ya Imani hiyo potofu ambayo huwakabidhi rasilimali zetu huku tukiwalinda na kushangilia kizuzu.
Think out of the box!
 
Ufisadi mkubwa hufanyika kupitia hao hao unaoamini hawafilisiki
Hayo ni maneno ya mkosaji Nyerere aliwanyang'anya Majumba na Mali nyingine nyingi hao Wahindi na Waarabu na kutaifisha lakini leo hii wameweza kurejesha mali zao kwa uchapaji wa kazi.

Kuwashutumu kuwa ni mafisadi wakati sisi Waafrika ndio tunapora Serikali yetu na tunafisadi Nchi ni jambo la kijinga.
 
Sijawahutumu wao, nimeshutumu wenzetu walio kwenye madaraka na wenye fikra kama zako.
Nyerere kutaifisha ilikuwa sahihi na hata nyakati hizi sheria huruhusu ilimradi tu wapewe fidia stahiki.
Ufisadi hufanywa na walio kwenye ofisi za uma na kwa sababu ya fikra kama zako huwakabidhi hao. Matokeo yake utajiri wa nchi hutoroshwa.
Kuwa na akili ni jambo moja na elimu ni jingine.
Ukifanya utafiti rasmi utakuta wengi weusi wamesoma kuliko waarabu na wahindi wa hapa kwetu ila akili kama yako inaendeshwa na hao wenye elimu ndogo kwenye uchumi.
Elimu lazima iendane na matumizi chanya ya akili.
 
Patamu hapa tunashabikia ujinga kama Si upumbavu nini
 
Ukifanya utafiti rasmi utakuta wengi weusi wamesoma kuliko waarabu na wahindi
Kuna kusoma na kukaririshwa Wanaijeria wamesoma kuliko Wakuwaiti na Mataifa yao wote wana Mafuta lakini Wanaijeria ni masikini kuliko Wakuwaiti.

Wanaijeria kazi ya kubwa ni kuliibia Taifa lao.
 
Nakuunga mkono mkuu japo..

.. Kuna faida ndani ya ujinga na hasala ndani ya uelevu

Ila sikupingi
 
Kenya inavyo sifiwa ili bidi iwe mbali sana angalau viwango vya maendeleo hiwe kama Morroco lakini wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…