Tofauti ya watu wanaomuunga mkono Freeman Mbowe na wale wa Tundu Lissu kuwa mwenyekiti CHADEMA

Tofauti ya watu wanaomuunga mkono Freeman Mbowe na wale wa Tundu Lissu kuwa mwenyekiti CHADEMA

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Hizi hapa ndiyo sifa kuu za wanaomuunga mkono Freeman mbowe.

  • machawa wanaotegemea kula na kuendeleza harakati zao kwa mgongo wa mbowe (posho za harakati)
  • Wanachama wenye maono madogo yaliyobebwa na imani zaidi kuliko akili (Hisia)
  • Watu waliokata tamaa ya kushika dola na hawaamini kuwa chama dola ( wanafanya siasa kama jadi)
  • Watu waliovaa sura ya upinzani lakini wana unga mkono chama tawala
  • Watu waliolipwa ili kuunga mkono
  • Watu wasiojua chochote kuhusu mwenyekiti wa chama.
  • Mapandikizi ya upinzani wasiokuwa wapinzani
  • Wafanya biashara na watu wanaoamini njia haramu/ uchawi/wizi wa kura na mambo mengi ya kikatili
Hizi hapa ndiyo sifa kuu za wanaomuunga mkono Tundu Lissu
  • Ni watu wanaohitaji kuona mabadiliko kwa vitendo
  • Ni watu wanatabasam usoni lakini wana uchungu mkubwa sana moyoni
  • Ni watu wanaopenda kuona haki ikitendeka
  • Ni watu wanaopenda majibu zaidi kuliko maelezo
  • Ni watu wanatumia akili zaidi kuliko hisia
  • Ni watu wakali sana ambao wanahitaji kiongozi wao awe mfano wao
  • Wa watu wakati mwingine hawataki kabisa kujionesha wanamuunga mkono nani ndani ya chama hadharani.
  • Ni wakali sana lakini wakitawanyika mmoja mmoja ni waoga sana!
  • Ni watu wanaojitolea zaidi kuliko kulipwa
  • Ni watu wenye misingi ya imani ya dini, wacha Mungu, wapenda haki, watumishi wa umma, wanasheria na wasiopenda matukio ya kinyama.
Yote kwa yote MWISHO wa Siku Lazima chama kiwe na MWENYEKITI!
Awe haramu au halali ataitwa mwenyekiti.

Mimi siyo nabii lakini Uchaguzi wa mwenyekiti mwaka huu wote nishauona utakuwa hivi!

Utagubikwa na mazingira makubwa sana ya rushwa! Na Siku ya uchaguzi zitafanyika kila mbinu za kuiba kura!

Naomba kuwathilisha!
 
Mjomba Mbowe, asante kwa kukomboa kikoba chetu, maadui zetu wameanza kujidhihirisha wazi.
 
Tanzania tunahitaji msaada wa mungu, mpaka sasa hakuna mwanasiasa anaeaminika.. Yule mmoja kafanya chama kama saccos ya familia.

Watu wanaingia kwenye siasa kama ajira.
Usikute hawa wahuni wanatucheza shere tu.
 
Tanzania tunahitaji msaada wa mungu, mpaka sasa hakuna mwanasiasa anaeaminika.. Yule mmoja kafanya chama kama saccos ya familia.

Watu wanaingia kwenye siasa kama ajira.
Usikute hawa wahuni wanatucheza shere tu.
Watu wengi ni waninafsi sana
 
Umepiga mule mule!...mwisho wa siku DJ lazima atetee kiti chake ije mvua lije jua
 
Mbowe afahamu tu, asimpe mtu yyte kiti, atakufa njaa maisha yake yte
 
Hizi hapa ndiyo sifa kuu za wanaomuunga mkono Freeman mbowe.

  • machawa wanaotegemea kula na kuendeleza harakati zao kwa mgongo wa mbowe (posho za harakati)
  • Wanachama wenye maono madogo yaliyobebwa na imani zaidi kuliko akili (Hisia)
  • Watu waliokata tamaa ya kushika dola na hawaamini kuwa chama dola ( wanafanya siasa kama jadi)
  • Watu waliovaa sura ya upinzani lakini wana unga mkono chama tawala
  • Watu waliolipwa ili kuunga mkono
  • Watu wasiojua chochote kuhusu mwenyekiti wa chama.
  • Mapandikizi ya upinzani wasiokuwa wapinzani
  • Wafanya biashara na watu wanaoamini njia haramu/ uchawi/wizi wa kura na mambo mengi ya kikatili
Hizi hapa ndiyo sifa kuu za wanaomuunga mkono Tundu Lissu
  • Ni watu wanaohitaji kuona mabadiliko kwa vitendo
  • Ni watu wanatabasam usoni lakini wana uchungu mkubwa sana moyoni
  • Ni watu wanaopenda kuona haki ikitendeka
  • Ni watu wanaopenda majibu zaidi kuliko maelezo
  • Ni watu wanatumia akili zaidi kuliko hisia
  • Ni watu wakali sana ambao wanahitaji kiongozi wao awe mfano wao
  • Wa watu wakati mwingine hawataki kabisa kujionesha wanamuunga mkono nani ndani ya chama hadharani.
  • Ni wakali sana lakini wakitawanyika mmoja mmoja ni waoga sana!
  • Ni watu wanaojitolea zaidi kuliko kulipwa
  • Ni watu wenye misingi ya imani ya dini, wacha Mungu, wapenda haki, watumishi wa umma, wanasheria na wasiopenda matukio ya kinyama.
Yote kwa yote MWISHO wa Siku Lazima chama kiwe na MWENYEKITI!
Awe haramu au halali ataitwa mwenyekiti.

Mimi siyo nabii lakini Uchaguzi wa mwenyekiti mwaka huu wote nishauona utakuwa hivi!

Utagubikwa na mazingira makubwa sana ya rushwa! Na Siku ya uchaguzi zitafanyika kila mbinu za kuiba kura!

Naomba kuwathilisha!
Hapa mbeleko za waenguzi lazima zitembee
 
Hizi hapa ndiyo sifa kuu za wanaomuunga mkono Freeman mbowe.

  • machawa wanaotegemea kula na kuendeleza harakati zao kwa mgongo wa mbowe (posho za harakati)
  • Wanachama wenye maono madogo yaliyobebwa na imani zaidi kuliko akili (Hisia)
  • Watu waliokata tamaa ya kushika dola na hawaamini kuwa chama dola ( wanafanya siasa kama jadi)
  • Watu waliovaa sura ya upinzani lakini wana unga mkono chama tawala
  • Watu waliolipwa ili kuunga mkono
  • Watu wasiojua chochote kuhusu mwenyekiti wa chama.
  • Mapandikizi ya upinzani wasiokuwa wapinzani
  • Wafanya biashara na watu wanaoamini njia haramu/ uchawi/wizi wa kura na mambo mengi ya kikatili
Hizi hapa ndiyo sifa kuu za wanaomuunga mkono Tundu Lissu
  • Ni watu wanaohitaji kuona mabadiliko kwa vitendo
  • Ni watu wanatabasam usoni lakini wana uchungu mkubwa sana moyoni
  • Ni watu wanaopenda kuona haki ikitendeka
  • Ni watu wanaopenda majibu zaidi kuliko maelezo
  • Ni watu wanatumia akili zaidi kuliko hisia
  • Ni watu wakali sana ambao wanahitaji kiongozi wao awe mfano wao
  • Wa watu wakati mwingine hawataki kabisa kujionesha wanamuunga mkono nani ndani ya chama hadharani.
  • Ni wakali sana lakini wakitawanyika mmoja mmoja ni waoga sana!
  • Ni watu wanaojitolea zaidi kuliko kulipwa
  • Ni watu wenye misingi ya imani ya dini, wacha Mungu, wapenda haki, watumishi wa umma, wanasheria na wasiopenda matukio ya kinyama.
Yote kwa yote MWISHO wa Siku Lazima chama kiwe na MWENYEKITI!
Awe haramu au halali ataitwa mwenyekiti.

Mimi siyo nabii lakini Uchaguzi wa mwenyekiti mwaka huu wote nishauona utakuwa hivi!

Utagubikwa na mazingira makubwa sana ya rushwa! Na Siku ya uchaguzi zitafanyika kila mbinu za kuiba kura!

Naomba kuwathilisha!
Ndani ya CDM kuna wizi wa kura!!! , haiwezekani bhana!!!
 
Back
Top Bottom