SI KWELI Tohara hupunguza ukubwa wa sehemu za siri za mwanamme

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Binafsi nimetahiriwa lakini kila demu anayebahatika kukutana na mkuyenge wangu lazima aombe poo! Maana unagusa mpaka nje ya cervix
 
Naunga hoja 100% ...kama kuna anaebisha ajaribu kufanya research atakuja na majibu.
 
Tohara ya utotoni inaathiri ndio ilo alina kupinga nina ushahidi na ilo swala for 100%
Hata mimi na ushahidi ni kweli ina athiri zaidi ya 90% mashine inakua fupi au kimbaumbau/nyembamba kama fimbo au inakua na sifa zote mbili..
 
Kuhusu kuwa kafupi si sahihi coz inayokatwa ni ngozi na si penis yenyewe

Ufupi au urefu unatokana na genetics
Mazingira yanachangia pakubwa tu urefu na ufupi.

Hapa suala ni tunataka kuziendesha sababu zote ziwe upande wetu kadri tunavyoweza ili kupata matokeo tunayoyataka sie.

Observation ya boarding inaonesha waliotahiriwa vichanga zilikuwa hazikui ukilinganisha na waliotahiriwa wamejitambua.
 
Habari yako...
Nimekutana na habari hiyo katika stori za hapa na pale nikiwa na marafiki. Jamaa anasema hataki kumtahiri mwanae mapema maana anachelea mtoto atakuwa akichekwa na wenzake ukubwani kwa kuwa na uume mdogo

Naomba ushahidi wa kitaalamu katika hili au hata uzoefu tu.
 
Kuna watu huwaambii kitu kwenye hii issue
 
Ni uongo kua tohara upunguza maumbile ya uume
Tohara haiingiliani na udogo /ukubwa wa uume.zaodi kitaalamu imefanyiwa tafiti na serikali kupitia wizara yetu pendwa ya afya imeauthorize kua tohara ya watoto na watu wazima zifanyika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…