Toka 2000 CCM imebadili Wenyeviti mara 4, CDM na CUF hakuna

Toka 2000 CCM imebadili Wenyeviti mara 4, CDM na CUF hakuna

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!

Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.

Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?

CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.

Msakila M Kabende
Kakonko.
 
WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!

Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.

Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?

CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.

Msakila M Kabende
Kakonko.
Kwa sababu Kwenye Ccm Mwenyekiti ndio anakuwa ndiye Mkuu wa Nchi na muda wa Ukuu wa Nchi ni miaka isiyozidi 10 akiondoka ni lazima narudia tena ni lazima amuachie anayekuwa Mkuu wa Nchi. !! Hata hivyo vyama vingine kama vitapata kuongoza Nchi vitafanya hivyo hivyo !!
 
Kwa sababu Kwenye Ccm Mwenyekiti ndio anakuwa ndiye Mkuu wa Nchi na muda wa Ukuu wa Nchi ni miaka isiyozidi 10 akiondoka ni lazima narudia tena ni lazima amuachie anayekuwa Mkuu wa Nchi. !! Hata hivyo vyama vingine kama vitapata kuongoza Nchi vitafanya hivyo hivyo !!
Mimi sinaga busara kujibu wajinga kama hawa, umejibu Kwa utulivu sana, bahati mbaya sana mbaya hatakuelewa!
 
WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!

Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.

Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?

CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.

Msakila M Kabende
Kakonko.
....Tanzania imetawaliwa na chama dola for more than 60yrs na maadui wale bado wametamalaki,UJINGA, UMASIKINI, MARADHI na cousin wao RUSHWA
 
Chama gani cha upinzani kwa mfano kubadili makatibu ni mbinde?
Na makatibu je wa CCM?mbona wanabadilishwa kila mara...wapinzani kuna vyama hata kubadili katibu Kwa mbinde
 
WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!

Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.

Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?

CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.

Msakila M Kabende
Kakonko.
WEWE UMEBADILISHA MKEO MARA NGAPI?
 
Back
Top Bottom