Toka 2000 CCM imebadili Wenyeviti mara 4, CDM na CUF hakuna

Toka 2000 CCM imebadili Wenyeviti mara 4, CDM na CUF hakuna

Nchi ikiwa na taasisi imara zenye kusimamia utawala bora ,udikiteta hautakuwepo asilani, udikiteta unaletwa na one person show, sikiliza matamko yote ya viongozi wa sasa wa ccm ni kumtukuza president, na hili ni kosa maana miradi inaletwa na serikali ya CCM sio President Samia ,utasikia PM akitamka kuwa president ameleta fedha zitumike hapa !huu ni uongo maana zile fedha sio za president!,mkuu umeshatembelea Botswana, Namibia na SA ona jinsi taasisi zao zinavyofanya kazi kiuhuru na kuboresha utawala bora!,ex SA president ana kesi nyingi mahakamani, hii inaonyesha hakuna aliye juu ya sheria, naye anataka kumfungulia mashitaka sitting president!,je hili linaweza tokea hapa nchini?,definitely it's a No
 
Umejibu vyema, hizi Simblisi za CCM bure kabisa

..halafu imewahi kutokea mtu aliyeutaka Uenyekiti wa Chadema kuhamia Ccm baada ya kuukosa.

..katika mazingira hayo kwanini usiwapongeze wajumbe wa Chadema kwa kuona mbali na kumrudisha Mbowe ktk nafasi ya Mwenyekiti?
 
Wakati unawasisitiza hivyo Chadema unaweza pia kuendelea kuwasisitiza watawala kuhusu katiba mpya kwa ajili ya Raia wote wenye vyama na wasio na vyama. Au unao huo uzi pia tayari??.
Maadam CCM ndio watawala, na ilani ya CCM ya 2015 2020 ilikuwa na hoja ya katiba mpya, akatokea mtu akasema "katiba mpya sio kipaumbele changu", mimi hawa ndio nilianza nao, Kitendo cha Kukiuka Ilani ya CCM Bila Kikao Chochote, Sio Udikiteta?

Wakati tunajiandaa kwa uchaguzi na katiba mbovu hii iliyopo nikawasisiza Ombi Maalum, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis. Tutabarikiwa!

Wakati tukiajiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa tukashuudia zile figisu, militia neno Ushindi mtamu ni ushindani katika uwanja sawa, sio ule wa mezani. Magufuli, kasi yako ni ushindi wa kishindo. Ruhusu ushindani wa haki, sawa na wazi humo nilieleza,
Wanabodi,

Ushindi mnene, mnono, mtamu wa raha ni ule ushindi unaotokana na kupatikana kwa ushindani halali wa haki unaopatikana na kuendeshwa kidemokrasia kwenye uwanja ulio sawa, a level playing ground na sio ushindi wa uwanja tenge!, wala sio ushindi wa mezani!. Ushindi wa dhulma, unabeba a bad karma repercussions, hivyo ukifika muda wa karma pay back time, mtashangaa tuu watu wanapukutika, bila kujua sababu kumbe ni karma inakula vichwa!.

Hivyo natoa wito kwa serikali ya CCM, chini ya Jemedari wake, JPM, kiukweli labisa, hata kabla ya uchaguzi, CCM tayari imeishashinda kwa ushindi wa kishindo sio tuu huu Uchanguzi wa Serikali za Mitaa, bali hadi Uchanguzi Mkuu ujao wa mwakani 2020 kutokana na sababu za ki political social dynamics ya Magufulification nilizoeleza lakini ili CCM iweze kuufurahia huo ushindi kwa furaha ya kweli na hivyo kusheherekea ushindi huo, lazima CCM ishinde kwenye ushindani wa kweli, ushindani wa haki na ushindani wa usawa na sio kupata ushindi kwa kufanya figisu ili washindani wako wasuse, watie mpira kwapani na wewe upewe ushindi wa mezani!. Ushindi wa hivi sio ushindi mtamu, wala hauleti raha ya kudumu kwasababu karma itaingilia kati kuja kuikatisha hii raha kwa kula vichwa!.

Naomba nimalizie kwa ile kauli ya thread hii
"Ushindi Mtamu ni ushindi unaopatikana kwa ushindani wa haki kwenye uchaguzi huru na wa haki, unaaendeshwa na Tume huru na shirikishi ya uchaguzi na unaofanyika kwenye uwanja sawa wa ushindani wa kisiasa, sio huu uwanja tenge tulionao, na kupata ushindi wa mezani!.

Mheshimiwa Rais, wetu, Dr. John Pombe Magufuli, aka.JPM, kasi yako ya maendeleo ya Tanzania unaoifanya, ina ku guarantee utailetea CCM ushindi safi wa kishindo cha halali katika uchaguzi wowote, tunakuomba sana!, sana!, sana!, "Please! Please! Please!, ruhusu tuu ushindani wa haki, wazi na usawa kwa vyama vyote, kushiriki uchaguzi kwa uhuru na haki sasa kwa wote!, utabarikiwa zaidi na zaidi, na Tanzania tutabarikiwa!, ukiruhusu hizi figisu zinazoendelea, hazina hatima njema kwako, kwa chama chako wala kwa nchi yetu, kwasababu kuna lijamaa fulani linaitwa karma'hilo linataka haki bin haki!, usipotenda haki, lenyewe linaingiliaga kati na halijuagi cha nani wala cha nini!, lenyewe ni haki haki tuu bin haki usipotenda haki!, karma itaingilia kati, na kwa vile no one knows what karma will do, it's better kutenda haki kuiepuka adhabu ya karma !.

Nawatakia Jumapili Njema

Paskali
Tusizungumzie kilichotokea uchaguzi wa 2020 ila Samia nae tunamweleza sana tuu Asante Mungu kwa Rais Samia: Ni Msema Kweli na Mtenda Kweli, Ni Msema Haki na Mtenda Haki. Je, Ataruhusu Ubatili Huu Kuendelea Ndani ya Katiba Yetu?
P
 
Maadam CCM ndio watawala, na ilani ya CCM ya 2015 2020 ilikuwa na hoja ya katiba mpya, akatokea mtu akasema "katiba mpya sio kipaumbele changu", mimi hawa ndio nilianza nao, Kitendo cha Kukiuka Ilani ya CCM Bila Kikao Chochote, Sio Udikiteta?

Wakati tunajiandaa kwa uchaguzi na katiba mbovu hii iliyopo nikawasisiza Ombi Maalum, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis. Tutabarikiwa!

Wakati tukiajiandaa kwa uchaguzi wa serikali za mitaa tukashuudia zile figisu, militia neno Ushindi mtamu ni ushindani katika uwanja sawa, sio ule wa mezani. Magufuli, kasi yako ni ushindi wa kishindo. Ruhusu ushindani wa haki, sawa na wazi humo nilieleza,

Tusizungumzie kilichotokea uchaguzi wa 2020 ila Samia nae tunamweleza sana tuu Asante Mungu kwa Rais Samia: Ni Msema Kweli na Mtenda Kweli, Ni Msema Haki na Mtenda Haki. Je, Ataruhusu Ubatili Huu Kuendelea Ndani ya Katiba Yetu?
P
Leo umeamka vizuri, nakutakia Noel Njema
 
WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!

Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.

Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?

CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.

Msakila M Kabende
Kakonko.
Nyerere alikaa na uenyekiti miaka mingapi?Hujengi chama kipya cha siasa kwa kubadili mwenyekiti kila miaka minne na unashindana na chama dola.
 
WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!

Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.

Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?

CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.

Msakila M Kabende
Kakonko.
Ni kweli ccm hubadilisha kwa kuteua hakuna demokrasia.
 
WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!

Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.

Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?

CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.

Msakila M Kabende
Kakonko.
Hivi uwenyekiti mtu ana
WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!

Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.

Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?

CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.

Msakila M Kabende
Kakonko.
Hivi uwenyekiti mtu anajiweka?kama katiba za vyama vyao zinaruhusu tatizo liko wapi?.
 
WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!

Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.

Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?

CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.

Msakila M Kabende
Kakonko.
hao wenyeviti wenu huko ccm waligombea na nani
 
Hao viongozi wa vyama vya upinzani unaosema wanang'ang'ania madaraka vyama vyao msimamizi wao ni msajiri wa vyama vya siasa ambaye ni mteule wa Rais ambaye ni mwenyekiti wa chama chenye kwa nini msimshauri avifute vyama hivyo ambavyo vina wenyeviti wale wale kinyume cha matakwa yenu?Naanza kuamini jukwaa hili lina watu wapuuzi sana
 
Hao viongozi wa vyama vya upinzani unaosema wanang'ang'ania madaraka vyama vyao msimamizi wao ni msajiri wa vyama vya siasa ambaye ni mteule wa Rais ambaye ni mwenyekiti wa chama chenye kwa nini msimshauri avifute vyama hivyo ambavyo vina wenyeviti wale wale kinyume cha matakwa yenu?Naanza kuamini jukwaa hili lina watu wapuuzi sana
Naamini vyama vya upinzani vina chawa wengi
 
WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!

Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.

Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?

CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.

Msakila M Kabende
Kakonko.
Muhimu siyo kubadili bali kufuata katiba. Sema kama hao CHADEMA na CUF wamekiuka katiba zao.
 
WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!

Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.

Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?

CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.

Msakila M Kabende
Kakonko.
Subiri mvua za matusi na kejeli kutoka kwa wanademokrasia uchwara.
 
..Ni kwasababu Maraisi wamebadilika kati ya 95 na 2021.

..Mbona wakati wa Mwalimu Nyerere ambapo Raisi hakubadilika Ccm haikubadili Mwenyekiti?
Ili uwe mwenyekiti ccm ni lazima uwe rais Sasa swali ni lini ccm imewahi kum-badili mwenyekiti ,nafasi ya mwenyekiti ccm niyakudumu Hadi pale watakafanya tofauti ,chadema imefanya kinyume chake
 
Back
Top Bottom