Toka 2000 CCM imebadili Wenyeviti mara 4, CDM na CUF hakuna

Toka 2000 CCM imebadili Wenyeviti mara 4, CDM na CUF hakuna

WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!

Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.

Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?

CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.

Msakila M Kabende
Kakonko.
kwa miaka hiyo ni mara ngapi imeruhusu mabadiliko ya Katiba inayotoa grounds za ushindani sawa kwa vyama vingine?
Ni mara ngapi imebaka hata hizi sheria zikizopo tunazoziita dhaifu?
 
Kutakuwa na kesi ngapi nchini
kwakuwa wewe unakerwa na kutobadilisha wenyeviti sehemu sahihi ni mahakamani wingi wa kesi sio tatizo kwakuwa ndio kazi yao wakiona kesi yako haina mashiko wataitupilia mbali lao wakiona inamashiko watatoa maamuzi sahihi kwa vyama husika
 
WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!

Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.

Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?

CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.

Msakila M Kabende
Kakonko.
Kama aliyepo anafaa kwa nini wabadili. Unabadili endapo kuna upungufu siyo ili mradi kubadili. Saa ingine utaishia kubadili kilicho bora na cha ovyo, chakavu, zembe, goigoi, dhaifu, zezeta. Sasa utakuwa umefanya nini na kwa maslahi ya nani?
 
(a) tundu Lissu aligombea
(b). Mbowe aligombea Hai,
(c). Lema aligombea Arusha
Umebugi. Sorry Kama swali halikueleweka. Swali liihusu hao wenyeviti wa kitaifa wa CCM wanaodaiea wanabalishwa huwa Wanakuwa na wapinzani ili tujue Kama CCM Kuna demokrasia. Mkapa aligombea na Nani? JK je? na Magu? Au mama Nani kampinga.
 
WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!

Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.

Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?

CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.

Msakila M Kabende
Kakonko.
cdm ni mali ya mtu utabadirishaje uongozi ? tangu lini tu akamkabidhi mtu mwingine mali yake?
 
Kama aliyepo anafaa kwa nini wabadili. Unabadili endapo kuna upungufu siyo ili mradi kubadili. Saa ingine utaishia kubadili kilicho bora na cha ovyo, chakavu, zembe, goigoi, dhaifu, zezeta. Sasa utakuwa umefanya nini na kwa maslahi ya nani?
hapo mtakuwa mnajitukana yaani hakuna mtu mwingine anafaa zaidi yake? nyie wote hamfai? na atatawala maisha yake yote? hicho siyo chama ni genge la kihuni
 
CCM hawawezi kukwepa kubadilisha kwa sababu rais ndio huyo huyo mwenyekiti wa chama sasa CDM na CUF lini waliwahi kuachiwa waongoze nchi hii na hao mbuzi wa kijani? Kwahiyo hapa umejitekenya na kucheka mwenyewe.
 
Hivi wakuu ile hoja yetu ya kutenganisha kofia ilifikiaga wapi?
 
..Ni kwasababu Maraisi wamebadilika kati ya 95 na 2021.

..Mbona wakati wa Mwalimu Nyerere ambapo Raisi hakubadilika Ccm haikubadili Mwenyekiti?
Kwahiyo vyama vya upinzani bado vipo zama Mwl. Nyerere! Duh! Kweli CCM itatawala daima Tanzania!!!
 
Kwahiyo vyama vya upinzani bado vipo zama Mwl. Nyerere! Duh! Kweli CCM itatawala daima Tanzania!!!

..hapana.

..Mwalimu Nyerere alikuwa akipigiwa kura ya ndio au hapana kwa nafasi ya Mwenyekiti wa Ccm.

..Freeman Mbowe alishindana na Cecil Mwambe kwa nafasi ya Mwenyekiti wa Chadema.

..hats vyama vingine vya upinzani Mwenyekiti wa chama hupatikana kupitia ushindani.
 
nilitamani katiba mpya itamke wazi idadi ya vyama vya siasa nchini yaani iwe 3 tu au mbili. Hii ingesaidia kujenga vyama vyenye nguvu kitaasisi kuliko ilivyosasa ambapo vyama vingi vya upinzani vinajengwa kwa nguvu ya umaarufu ya mwanzilishi. Mfano bwana zubery baada ya msigano akaanzisha chama chake na akapata followers wengi.. hii inamaanisha ni ngumu sana hapo baadae huyu bwana kuacha madaraka kwa mtu mwingine maana atakipigania mpaka kikue na kikianza kutoa matunda huwezi mbadili pale. Ni sawa na uanzishe shule yako binafsi halafu ghafla uambiwe tunataka kubadilisha director au mmiliki hata kama ni wewe hutakubali.

pia naamini wenye mamlaka hawawezi kubali jambo kama hili maana hii ingesaidia kukiondoa madarakani sisiemu yao.Kwa sasa acha tuisome namba tu maana hata wapinzani hawawezi sukuma ajenda kama hii maana na wao wanaangalia matumbo yao tu... vyama vya upinzani vitaendelea kuchezewa mwanzo mwisho na kikiwa strong kidogo wanafitinishwa viongozi wachache wanajiengua kutengeneza chama kingine so hata mkiibiwa kura kinguvu pia mtaaminishwa kinguvu kiwa mlikua na mgogoro so wapiga kura wenu walijigawa kama kipindi fulani cha U.KA.WA.
Kifupi vyama vya siasa vipunguzwe kuondoa huu utitiri unaotumika kuvihujumu
 
Hizi CDM, NCCR, CUF ni mali za watu binafsi au taasisi za umma?
 
Mwenye uzi wake sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] afu anapambana na chadema. Hii nchi ngumu sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums-900769718.jpg
 
WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!

Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.

Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?

CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.

Msakila M Kabende
Kakonko.
CDM, CUF, TLP, na NCCR msiweke pamba masikioni - why ufalme muuenzi kiasi hiki?
 
Shida Iko wapi.....wewe na baba yako bado ni ombaomba.....fikiri kabla hujaandika
 
Huwe
WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!

Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.

Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?

CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.

Msakila M Kabende
Kakonko huwezi kutupangia Cha kufanya ndani ya chama chetu pambaneni na Hali zenu
 
Back
Top Bottom