kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Mia miaKwa sababu Kwenye Ccm Mwenyekiti ndio anakuwa ndiye Mkuu wa Nchi na muda wa Ukuu wa Nchi ni miaka isiyozidi 10 akiondoka ni lazima narudia tena ni lazima amuachie anayekuwa Mkuu wa Nchi. !! Hata hivyo vyama vingine kama vitapata kuongoza Nchi vitafanya hivyo hivyo !!
WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!
Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.
Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?
CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.
Msakila M Kabende
Kakonko.
Subiri mvua za matusi na kejeli kutoka kwa wanademokrasia uchwara.
Taja wachache Hata 3 tu. Ili tujue kulikuwa na demokrasia.Sitaweza kuwataja wote
Katiba yao Ina mapungufu gani? na mapungufu hayo yanatuhusu Nini sisi wengine. Kama anajadili hoja za msingi ziwekwe kwenye katiba ya Nchi, hayo ya chama Chao yanatuhusu Nini sisi. Lakini pia katiba ya nchi Ina uhusiano gani na katiba ya chama Cha siasa? Yaani msomi Kama wewe unatoa hoja dhaifu. Unataka kuamini bila katiba imara za vyama hatuwezi kupata katiba ya Nchi. ? Au rasimu ya WARIOBA ilitola wapi?Naunga mkono hoja, ndio maana sisi wengine tuliwasisitiza watu humu Pascal Mayalla: CHADEMA watengeneze kwanza Katiba mpya ya chama chao kabla ya kukimbilia katiba ya nchi, wawatendee haki wabunge 19
P
Kwani katiba mama inasemaje kuhusu ukomo wa uongozi kwenye vyama vya siasa? Na nikwenye sura GANI na kifungu GANI kilicho kwenye ukurasa GANI wabkatiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania?! Naomba kujuzwa.Katiba vya vyama lzm zifuate katiba mama ya nchi - acheni kujipofusha jmn
Mwambie kama inamuuma asage sumu anyweInakuuma sana?
CCM so far imekuwa na Mwenyekiti Mmoja tu tangia izaliwe, nae ni Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!
Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.
Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?
CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.
Msakila M Kabende
Kakonko.
CCM ni Chama cha Mumiani, Chama cha MajangiliWanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!
Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.
Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?
CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.
Msakila M Kabende
Kakonko.
Wee toka ulivyozaliwa babaako alishabadili wake zake mara ngapi? Kama tumbo linakuuma wahi chooni usije chafuka na ya vyama vya upinzani yaache kama yalivyoWanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!
Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.
Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?
CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.
Msakila M Kabende
Kakonko.
Tofauti ni kwamba CDM, CUF na NCCR wanachagua Mwenyekiti wao wao wenyewe. CCM wanapandikiziwa Mwenyekiti na serikali.WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!
Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.
Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?
CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.
Msakila M Kabende
Kakonko.
WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!
Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.
Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?
CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.
Msakila M Kabende
Kakonko.
Tabia ya mtu huonekana tangu utotoni hata kwa viongozi ni hivyo hivyoWanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!
Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.
Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?
CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.
Msakila M Kabende
Kakonko.
TishioImebadili wenyeviti zaidi ya wanne kama fashion, lakini tabia zimebaki zile zile kutegemea mbeleko ya vyombo dola
Tueleze maendeleo yaliofwa na ccm tuyaoni si ndio wanao chukua tozo?WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!
Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.
Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?
CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.
Msakila M Kabende
Kakonko.
Maendeleo huyaoni?Tueleze maendeleo yaliofwa na ccm tuyaoni si ndio wanao chukua tozo?
Ushauri wa bure nenda kalalamike mahakamani au kwa msajili wa vyama.WanaJf,
Salaam za Krismas na Mwaka mpya 2023!
Najiuliza tu iwapo taasisi za kivyama ni imara na wanavyama wana utimamu wa akili kwa nini CCM imebadili wenyeviti mara 4 tangu miaka ya 2000 wakati wanaojiita upinzani wakiwa na wenyeviti ving'ang'anizi wa madaraka.
Hii kweli inatuonesha kwamba wakipewa dola watafuata misingi ya kiuongozi au ndiyo tutatoa akina Mandela tuingize akina Iddi Amin?
CDM, CUF, na NCCR shawishini watu kwa matendo janja janja ya nyani haiwezi kuwavusha. Kila mnapoguswa mnaishia kufukuza wanachama kama Zitto, Mabrouk, Wangwe, Sumaye, Lowassa nk.
Msakila M Kabende
Kakonko.
(a) tundu Lissu aligombeaTaja wachache Hata 3 tu. Ili tujue kulikuwa na demokrasia.