Toka amenitolea posa amebadilika sana

Huu ugonjwa wanawake mkija kuuacha ndipo mtaanza kuwaelewa wanaume kwa uhalisia wao.

Unaanzaje kulalamika mwanaume hajakupa hata mia, haya mambo mbona mnatia aibu aisee. Yaani favor au jambo la dharula kwako unataka iwe ni compulsory payment kwa mtoto wa mwenzako na asipokupa unajiona kabisa una uhalali wa kumdai as if una ustahiki na uhalali wa kumdai? [emoji848]

Huwa najiuliza why huwa mnaendekeza kitu ambacho unajua kabisa mtu anaona ukakasi kukifanya?

Ninyi mbona kuna vitu tukiwaambia mvifanye mnakuwa wabishi na mwisho wa siku mnajitetea sana? [emoji848]

Mnazingua sana.


Sasa kama wewe ungemuona jamaa ni bahiri ukaenda kumtafuta mtu mwingine ungekiona cha mtema kuni huko mbeleni.
 
Tatizo utakwenda kutangaza yote hayo kwa mashoga zako, wewe shukuru Mungu mambo yanakwenda, enjoy kimya kimya iwe yenu wawili.
 
Kuna pisi moja ya kirangi swala tano nilitoa mahari kabisa ili niizagamue tu kwa wakati utashangilia pale sahihi itakapo wekwa tu kwenye cheti , usije sema sijakufundisha mimi kaka yako.

Mkirogwa ndio mnaanza kutusumbua tukawachukulie mafuta kwa mwamposa 😁😁.. Ila kwa sasa endelea kujimwambafai "mafia" 😁
 
Unandaliwa unone none...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…