Toka amenitolea posa amebadilika sana

Toka amenitolea posa amebadilika sana

Hakuna uchawi mkuu hizo ni propaganda 🤣🤣
Nitumie nywele ya utosi na mchanga wa unyayo wako ili niwapelekee wazee wa kazi, kuwa kijana anasema ulozi haupo mpeni demonstration akae sawa 😁😁😁

Utachoamua kuamini ni sawa ila sio sawa kuumiza wengine beyond repair ili ujipe raha kwa muda mfupi. Though najua unachangamsha genge mkuu 😁
 
Nitumie nywele ya utosi na mchanga wa unyayo wako ili niwapelekee wazee wa kazi, kuwa kijana anasema ulozi haupo mpeni demonstration akae sawa 😁😁😁

Utachoamua kuamini ni sawa ila sio sawa kuumiza wengine beyond repair ili ujipe raha kwa muda mfupi. Though najua unachangamsha genge mkuu 😁
Huo uchawi kama upo mwambie mzee wa kazi afanye kazi yake hata bila nywele ili tujue ni mwamba kwel😁😁
 
Duuu mwezi na wiki 2 baada ya kujituza kwa muda mrefu
Hadi nastaajabu jinsi mume wangu mtarajiwa alivobadilika na kuonesha upendo ambao sjjawahi kuupata kutoka kwa mtu mwingine ispokuwa wazazi.

Iko hivi huyu kijana nimekutana naye nina kama mwezi na wiki na hii ni baada ya kujitunza kwa muda mrefu, Lakini toka tumeingia kwenye mahusiano hakuwahi kunipa hata hamsini mbovu na mimi skuwahi kumuomba.
Nilikuwa najipa moyo nikasema labda ananipima lakini mpaka unatimia mwezi sjaona akinipa chochote.

Sasa wiki Moja iliyopita amenishangaza baada ya kunambia anataka kunioa,.binafsi skuamini nikajua labda ananitania, kumbe alikuwa serious na ameshajiandaa.

Basi nilivomuona yuko serious nikampa muongozo ndani ya wiki hii akapeleka POSA.

Sasa toka anipose amekuwa akinipa pesa na kunihudumia mpaka nashangaa yani naletewa zawadi kila siku na leo kanambia niseme nataka mahari Tsh ngapi, madai yake anasema hataki mwezi WA Saba uishe kabla hatujaoana

Binafsi nafarijika sana na namuomba Mungu ndoa yetu ipite salama.

Kuna situation Fulani ka raha sana nakapitia.
TBH am so excited nimeamua ni ka share na ninyi

Mwanaume akiwa na malengo na wewe kumbe anakuhudumia hivi🤔
Huyu ndio yule mchizi mwenye lugha ngumu….
Akimaliza kula anakula tena?
🤗🤗🤗
 
Hadi nastaajabu jinsi mume wangu mtarajiwa alivobadilika na kuonesha upendo ambao sjjawahi kuupata kutoka kwa mtu mwingine ispokuwa wazazi.

Iko hivi huyu kijana nimekutana naye nina kama mwezi na wiki na hii ni baada ya kujitunza kwa muda mrefu, Lakini toka tumeingia kwenye mahusiano hakuwahi kunipa hata hamsini mbovu na mimi skuwahi kumuomba.
Nilikuwa najipa moyo nikasema labda ananipima lakini mpaka unatimia mwezi sjaona akinipa chochote.

Sasa wiki Moja iliyopita amenishangaza baada ya kunambia anataka kunioa,.binafsi skuamini nikajua labda ananitania, kumbe alikuwa serious na ameshajiandaa.

Basi nilivomuona yuko serious nikampa muongozo ndani ya wiki hii akapeleka POSA.

Sasa toka anipose amekuwa akinipa pesa na kunihudumia mpaka nashangaa yani naletewa zawadi kila siku na leo kanambia niseme nataka mahari Tsh ngapi, madai yake anasema hataki mwezi WA Saba uishe kabla hatujaoana

Binafsi nafarijika sana na namuomba Mungu ndoa yetu ipite salama.

Kuna situation Fulani ka raha sana nakapitia.
TBH am so excited nimeamua ni ka share na ninyi

Mwanaume akiwa na malengo na wewe kumbe anakuhudumia hivi🤔
Shida ninayoiona hiko hapa
"....... kabla hatujaoana"
Kwahiyo mnaoana? Sio anakuoa? Hapo tegemea ndondi!
 
Back
Top Bottom