nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 1,033
- 895
Mwenye takwimu naomba anitakwimishe, toka miaka ya 60' utawala wa Mwl Julius Kambarage Nyerere (R.i.p)wilaya gani au jimbo gani la uchaguzi haijabahatika kutoa Naibu au Waziri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Mh Godwin Mollel ( MB ) NW Afya, hivi anatokea Wilaya gani?Hai na Simanjiro
SihaHivi Mh Godwin Mollel ( MB ) NW Afya, hivi anatokea Wilaya gani?
Biharamulo-kageraMwenye takwimu naomba anitakwimishe, toka miaka ya 60' utawala wa Mwl Julius Kambarage Nyerere (R.i.p)wilaya gani au jimbo gani la uchaguzi haijabahatika kutoa Naibu au Waziri.
Nilidhani utaongelea ubora, kumbe ni Kila Mkoa uridhishwe!Mwenye takwimu naomba anitakwimishe, toka miaka ya 60' utawala wa Mwl Julius Kambarage Nyerere (R.i.p)wilaya gani au jimbo gani la uchaguzi haijabahatika kutoa Naibu au Waziri.