Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa


Wewe bwana JOHN utakua m.bwa kasoro mkia....huu uzi ufutwe maana alieuleta ana majibu ya ki.maandazi sana....bashite wewe.
 
Katiba ya Tanzania imeelekeza kila kitu kinachotakiwa kufuatwa na Rais wa Tanzania .

Mwl Nyerere aliwahi kusema hivi , nanukuu " HATA KAMA TUTACHAGUA ASIYEAMINI MUNGU , TUTATAFUTA NJIA YA KUMUAPISHA , NA NI LAZIMA AAPE KWAMBA ATAILINDA NA KUITETEA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA " Mwisho wa kunukuu .

Kwahiyo kinachohitajika hapa si jambo alilolifanya , anachotakiwa ni kufuata katiba ya Tanzania aliotumia kuapa .
 
Aondoe kwanza double standard alioanza kuifanya coz matunda yake ni mabaya sana. Aseme ukweli kuhusu Daudi bashite either in possitive way or negative maradi tu tuelewe coz jamaaa kulia mbele za watu kuna jambo limejificha. Pili usemi wa wabunge kuwa halina linachofanya alivunje basi coz tunalipa kodi zetu bora zikajenge barabara na kazi nyingine.kwanza wabunge wote wa ccm washakuwa na say moja hawana tena uhuru wa kimawazo wanaona wanaonewa na kila mtu anajilinda kivyake ccm imekuwa akili ya mtu mmoja anakatanza mpaka wabunge kutembeleana tena kwenye matatizo[emoji36]
 
Aanze kumtaka kila mtu kujieleza mali alizo nazo amezipataje, na zilibganishwe na kipato chake, kama kipato chake hakufanani na Mali aluzo nazo basi mali hizo amezioata kwa ufisadi, ubadhirifu, rushwa, kutumia madaraka vibaya na kufanya biashara ya kulevya.
 
Awarudishe kazini wale wananchi wanyonge aliowafukuza kazi kutokana na kukosa sifa ya cheti ingawa walikuwa wakichapa kazi..
 
Asimamie Mafuta yashuke bei. Ayapunguzie makodi ya kinyonyaji. Both Mafuta ya kula,diesel na Mafuta ya taa.
 
Uvuvi haramu haramu hasa mabomu bahari ya hindi, serikali wameshaambiwa sana lkn mabomu bado yanalia,kumbuka uvuvi huu ukikomeshwa samaki atapatikana kwa wingi bei itapungua hivyo kuwawezesha wafanyabiashara kuwapeleka samaki mikoa ya mbali
 
Aanze kumtaka kila mtu kujieleza mali alizo nazo amezipataje, na zilinganishwe na kipato chake, kama kipato chake hakifanani na mali alizo nazo basi mali hizo anyang'anywe maana amezipata kwa wizi wa mali za umma, amefisadi, amebadhirifu na kufanya biashara ya madawa ya kulevya.
 
Hata wakifanya wasaidizi inahesabiwa kafanya yeye maana ndio mwenye mamlaka ya juu kuliko wote.

Akimuonea au kumpendelea "mtu" hua inaonekana wazi bila kificho.

Rais ndiye mwenye taarifa nyingi kuliko Mimi lakini kuhusu USAHIHI wa taarifa anazopewa sina uhakika bkoz inaonekana baadhi wasaidizi wanatoa taarifa za uongo kwa NIDHAMU YA WOGA.

Mwisho kama ameamua kukaa kimya na kulitendea kazi kibubu bubu basi shaka ondoa maana matunda ya kazi yake yatakua bayana.
Yesu alisema "Kama hamniamini Mimi basi ZIAMININI KAZI NINAZO ZITENDA" Yaani kazi yenyewe haileti maswali kwa wanaoiona. Na "zake" zikiwa wazi tutaamua kuziamini ama la!

Karibu tena!
 
Shikamoo Al Watan (Hata kama nakuzidi umri potelea mbali...)
 
Ajiuzulu tu kwa faida ya wanyonge. Kama mtu mwenyewe anajuta hata kuugombea urais, sitegemei neema yoyote katika utawala wake!
 
Anajenga uwanja wa ndege kule Chato. Ni jambo jema sana hili kwa wanyonge wa kule Chato.
 
PAYE ishuke toka 20% hadi 9%, makato ya loan board kwa wahitimu wa elimu ya juu yashuke toka 15% hadi 5%. Ajira na promotion ziendelee. Aruhusu democracy na Uhuru wa kujieleze na kuhoji kwa upana zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…