Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

Unayempa ushauri huo nani ndugu yangu huyuhuyu baba wa ubaguzi,chuki,kukomoa n.k?
 
Kama ninavyowashauri kila siku naomba awaeleze wajiajiri kwenye shughuli nyingine Za kiuchumi wasitegemee mishahara pekee mbona wengine Hatuna mishahara tunalima bustani na mambo yanaenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maumivu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unayempa ushauri huo nani ndugu yangu huyuhuyu baba wa ubaguzi,chuki,kukomoa n.k?
Mkuu anaweza akachukua mazuri kama ameyaona. Lakini pia ujumbe huu unaenda mbali zaidi hata kwa hao wenye mamlaka za uteuzi.
Wananyanyasa sana hawa watumishi wasio kuwa na wakuwatetea.
 
Asirekebishe chochote. Aendelee tu kuwanyima watumishi wa umma haki zao za msingi na mwisho wa malipo ya hiyo dhuluma ataipata hapa hapa duniani. Yeye hawezi kujua maisha wanayopitia wafanyakazi wa nchi hii kwa sababu halipi kodi, kila kitu anafanyiwa; kiufupi yupo peponi. Siku zote aliyeshiba hawezi kumjua mwenye njaa.
 
Sio ualimu tu ndugu yangu..hata sekta nyingine hii kitu imeshamiri.
Pia ile dhana ya kusema eti degree ya kwanza ndio kila kitu, nadhan serikali ibadilishe muundo au mtazamo na ianze kutambua degree ya pili na hata ya tatu katika utendaji wa kazi. Nadhanii hii itahamasisha watumishi wengi kujiendeleza kinasomo.

Eti unakuta mtu ana degree ya pili, bado kimshahara ni kile kile.. dah inakatisha tamaa sana
 
Kujenga nchi yataka moyo. Namshauri rais wetu mpendwa kutokuongeza hata senti moja kwa watumishi mpaka mikoa yote iunganishwe kwa rami na vijiji vyote nchini vipate umeme wa REA. Baaba ya hayo sasa ruksa kuongeza mishahara na marupurupu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakaimu miaka mingi,mwisho wa siku analetwa mtu kutoka kusiko julikana anakabidhiwa madaraka na stahiki zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aondoke
 
Unakaimu miaka mingi,mwisho wa siku analetwa mtu kutoka kusiko julikana anakabidhiwa madaraka na stahiki zote

Sent using Jamii Forums mobile app
Na kumbuka huyo mtu uwezo wake unakuwa mdogo, hivyo unajikuta kazi zile zile unaendelea kufanya...
Yeye hajui hata aanzie wapi na aishie wapi!! Dah inauma sana. Wanyonge wanaumizwa sana katika ofisi za umma.
Mh Rais anavyosemaga wanyonge pengine afike mbali hata kwa watumishi wa chini ambao hawana wa kuwasemea.
Yan haiwezekan mtu anakaimishwa miaka zaidi ya mwaka afu analetewa tena mtu kukaimu nafasi ile ile. Why??

Na sheria inasema mtu anatakiwa kukaimu kwa miezi sita tu...kama hafai basi wafanye haraka kuleta mtu kujaza nafasi hiyo, na siyo kusubiri mwaka au miaka kupita.
 
We jamaa unataka aanze tena mambo ya uhakiki Mie nataka atie Mpunga wa kutosha kuliko hata ule aliowekeza kwenye SGR na Dreamliner au Stieglier gorge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Traffic barabarani wanavyopendelea, je Rais hajui? Wanavuta magari ya watu wengine njia moja. Kwa kweli inaumiza Sana.

Viongozi wanashindwa kuelewa humu barabarani Kuna magari yamebeba matatizo mengi, akizuia magar akisimamisha eti tu amvute mtu anayemjua, sio ubinadamu.

Junction ya ubungo is going tighten next few months. Those guys knows how to not cause jam, traffic kwa nn hamuwaachii watu wa flay over watumie mbinu..njia zao
 
Hao traffic wanasimamiwa na nani ? Wanafuatiliwa na nani kwenye majukumu yao .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…