Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo PM Kama unahitaji maelezo zaidi, namba ya simu hapa Jukwaani hapana bosi wangu!Mkuu kungekuwa na uwezekano wa kupata no yako tungewasiliana
Pouw mkuuNjoo PM Kama unahitaji maelezo zaidi, namba ya simu hapa Jukwaani hapana bosi wangu!
Nitumie fursa hii kuipongeza nchi yangu Tanzania kwa kitendo cha kishujaa cha kuipinga USA kuhusu Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israel.
Kitendo kilichonikasirisha mimi zaidi ni pale USA wanapotufanya sisi watoto wadogo kwa sababu tu ya vimisaada vyake.
NI HERI KULA PUMBA KAMA WANYAMA PAMOJA NA UHURU KAMILI KULIKO KULA CHAKULA KIZURI BILA UHURU KAMILI.
Mimi ningekuwa na mamlaka ya juu katika nchi hii, ningeanzisha urafiki wa chanda na pete na KOREA KASKAZINI ambayo ndiyo kiboko ya US.
Ningesema "Karibu NORTH KOREA, kwa heri USA"
Wewe kashughulikie kero. Namba haisaidii...vinginevyo tukuhisi kuwa wewe ni majeruhi wa 'utumbuaji' ujao.Mkuu kungekuwa na uwezekano wa kupata no yako tungewasiliana
Big up Kinundu, ila na ajira huku Geita K ni keroooKero yangu kubwa ipo kwenye hii tabia ya kutekana tekana,kupigwa risasi,kupelekwa baharini ukiwa kwenye kiroba na kufariki..naona hivi vitendo vimeshamiri na vimeota mizizi naomba sector husika ilitilie mkazo .... Na kusambaratisha hilo genge..lasivyo tutajua kwamba ni mfumo mpya na mamlaka husika inabariki...
Hiyo ndio kero yangu kuu kuelekea nchi ya vi-wonder
Wew sio mzalendo unapinga maagizo toka juuJipu:kero yangu ni kamata kamata ya viongozi wa upinzani,hii haileti maana kabisa naishauri serikali na pamoja na vyombo husika hii kamata kamata haiwezi kutafutwa njia nyingine ya kushughulika na viongozi hawa wa upinzani mpaka wawekwe ndani? huo ni unyasasaji kwani hawa ni wawakilishi wa wananchi ambao wana kazi walitumwa na wananchi,wanapowaweka ndani ina maana wanashindwa kutekeleza majukumu waliokabidhiwa na wananchi,ushauri wangu watafute njia mbadala ya kuweza kukaa meza moja na iwe ya amani kujadili nini kifanyike ili kuepusha usumbufu kwa viongozi hawa.