kanabyule
JF-Expert Member
- Dec 5, 2016
- 386
- 280
Nimefurahi kwa kauli yenu. Mimi naomba mnielekeze zilipo ofisi zenu nije nisimulie na niwakabidhi nakala za vielelezo ili muandike na kuwasilisha huko mnakodhani zitashughulikiwa, maana nikisema niandike mimi ni marefu na nitakumbuka machungu yaliyokwisha nipata, na Mhe. Rais kwa kushauriwa vibaya akapigilia msumari wa moto.