Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Pumbavu kweli.
Mnataka hata suala la uongozaji wa magari liongelewe na rais.
Wapuuzi nyie.
Mbona sasa matusi mkuu...jitahidi kujenga hoja mdogo wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pumbavu kweli.
Mnataka hata suala la uongozaji wa magari liongelewe na rais.
Wapuuzi nyie.
mhhh umepata breakfast kweli?Pumbavu kweli.
Mnataka hata suala la uongozaji wa magari liongelewe na rais.
Wapuuzi nyie.
Siishi kwa sababu ya kifungua kinywa.Mmhh
mhhh umepata breakfast kweli?
Sidhani kama kuna haja ya kujenga hoja kwenye hoja za kipuuzi.Mbona sasa matusi mkuu...jitahidi kujenga hoja mdogo wangu
Jinsi ulivyojibu kwa kuhamaki inasadifu picha uliowekaSiishi kwa sababu ya kifungua kinywa.
Roho yangu pia husadifu.Jinsi ulivyojibu kwa kuhamaki inasadifu picha ulioweka
Wanatutesa sana hao na tipper zetu za mchanga ndio mtaji wao mkubwaKuna wafanyakazi wa TANROADS wanakuwa na gari Hardbody Ya Tanroads nyeupe inasimama njia ya Msata - Bagamoyo mida ya usiku, wanakula rushwa kwa kila fuso za mizigo zinazopita njia ile.
Kwa siku wafanyakazi hao huenda nyumbani na sh3m.
Tuanze na jipu hilo kwanza maana huo mchezo ulikuwepo tangu yeye akiwa waziri wa ujenzi.
utaifakwanza
Asante sana sana mkuu.hii ni taarifa muhimu sana. Hatua zitachukuliwa haraka sana. Na je mkuu Huwezi kupata namba za hiyo hardbody? Ili kurahisishia mamlaka husika kutumbua.
Serikali ina washauri inatakiwa wewe ushauri washauri wa serikali ili wao waishauri serikali.
Kama hujaelewa nimemaanisha nini uliza na kama huwezi acha walioelewa wajibu..Kama hujaelewa essence ya thread yangu basi uliza. Na kama huwezi kuuliza acha walioelewa wajibu.
Kama hujaelewa nimemaanisha nini uliza na kama huwezi acha walioelewa wajibu..
[emoji28][emoji28][emoji28]Look here; kwani hao "washauri wa serikali" hawawezi kuja (au hawapo) hapa? Hebu usitoe watu kwenye maada tafadhali.